Politics! Asubiri akabidhiwe aukatae.Yupo Hadi sasa wizara ya Mambo ya nje kama vile hakipo kilichotokea.
Kuna mdau alisema kuteuliwa Biteko ni kuangushiwa jumba bovu, naanza kuliona,
Maana Badala ya kujiuliza Hali hiyo inefikaje hapo,
Anageuka mshauri wa kuziba nyufa.
Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.
Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.
Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.
Ikiwezekana kamati hiyo huru ihusishe wataalamu Kutoka nje ya Serikali na nje ya nchi kupata UKWELI Ili kupendekeza solution sahihi.
Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.
Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .
NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.
Nawasilisha.🙏
Amen.
Mkuu kwamba hao wakandarasi watakubali kufanya hujuma kwa maagizo ya mtu ama?Wale wakandarasi hiyo project sio ya kwanza kuijenga wanao ujuzi na hawawezi wakafanya vitu vya kijinga namna ile !!
Kama ni kweli !
Narudia kama ni kweli hiyo itakuwa ni hujuma !!
Ishu ni kwamba ujenzi unaendelea, mkandarasi haja- handover mradi, maana yake anayoo nafasi ya kurekebisha kabla ya mradi kuisha na hicho ni kitu Cha kawaida kwenye miradi ya ujenzi,Kama Naibu waziri Mkuu kazinotice na kushauri jinsi ya kukabiliana nazo wewe ni nani ubishane naye?.
Au hujasikia maelekezo yake?.
Hapo wa kuwajibika ni Usalama wa Taifa!Tumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.
Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.
Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.
Ikiwezekana kamati hiyo huru ihusishe wataalamu Kutoka nje ya Serikali na nje ya nchi kupata UKWELI Ili kupendekeza solution sahihi.
Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.
Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .
NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.
Nawasilisha.🙏
Amen.
Achana na kilaza wa "ilm".Mada inashauri uchunguzi ufanyike kubaini tatizo, haisemi nani alaumiwe Kwa nyufa zilizojitokeza.
Consultant mmojawapo wa huo mradi, sijui ni Tanroads... Uzoefu wa usimamizi wa Barabara/ madaraja Vs mabwawa, wapi na wapi...sie macho yetu...Team yenyewe ndo wamejazwa kina maarage, mafundi ving'amuz unategemea Nini[emoji848]
Mashetani wenye chuki na makamba wataumbuliwa tu na Mungu, ni suala la muda tu. Chuki zao dhidi yake zinawafanya wakose akiliBwawa limejengwa kabla hajawa Waziri
Hao wachina kwenye sgr ndo wale wa Kenya!? Kumbe Magu alikuwa Mzalendo hasa.Wakulaumiwa n I mwendazake, tayaribkylikuwa na dizaini nanilikuwa Wabrazil waanze kulijenga, yeye alivyoingia akabadili mambo kwa kukurupuka na kujimwambafai.
Ni hayo hayo kwa SGR, ilikuwa tayari Wachina waanze kazi.
Lakini kiufundi inarekebIshika vizuro tu, sema gharama na muda wa kumalizika vinaongezeka.
Cheap is expensive.
Kwenda, mdini mkubwa.Simkatai mtu. Nawajuwa Wamisri kwa pesa, kuliko wachaga hao. Tulilisema zamani.
Hapo lazima zitutoke tukitaka tusitake.
Point yangu ni, nchi haiendeshwi kwa kujimwambafai.
Bongo miyeyusho sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Expansion joints [emoji1][emoji1][emoji91][emoji209][emoji209]
Wakandarasi hawawezi kuhujumu kazi zao ! Ila wao wanaweza wakajua hiyo hujuma imefanywa na nani kwa sababu ni lazima wao wawajibike maana mradi umo ndani ya dhamana yao !!Mkuu kwamba hao wakandarasi watakubali kufanya hujuma kwa maagizo ya mtu ama?
Wengi wanaochangia humu ni vilaza wasioelewa lolote lile, wao huongozwa na umbea na chuki dhidi ya wamchukiae waliomchagua........humu jf wamewachagua makamba na jkHebu engineers waje kutupa taaluma hapa, hivi si kuna kile kipindi kinaitwa defects liability period ambapo mkandarasi anatakiwa kurekebisha shida zote zilizojitokeza kabla ya kukabidhi final? Au nimekosea? Mimi siyo engineer.
Hivi wanatuonaje?Wanatuona MANYANI cc Sifael Mbarikiwa.
Wanahisi wakitutupia maganda ya ndizi, tshirts na posho ya buku 5 tutatulia.
Tuwaonyeshe sisi sio MANYANI.
Ma shaa Allah badili "mdini" iwe Muislam.Kwenda, mdini mkubwa.
Tegemea kushmbuliwa kila Muislam. Hilo ni kawaida.Mashetani wenye chuki na makamba wataumbuliwa tu na Mungu, ni suala la muda tu. Chuki zao dhidi yake zinawafanya wakose akili
Hili swala limebebwa na wizara husika sisi wananchi litatuhusu pale janga linapotokea kipara unazidi kutuangusha hii sio hakiTumeona Naibu waziri mkuu, Mh Dotto Biteko akifanya ziara katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kutoa ushauri jinsi ya kuziba nyufa zilizoanza kuonekana kwenye ukuta wa Bwawa.
Haiwezekani kuacha jambo hili lipite hivi hivi bila kufanyika uchunguzi na kuchukua hatua Kali dhidi ya wahusika wote.
Nashauri kamati huru ya Bunge iundwe kuchunguza sakata hili huku wahusika wote wakiwa nje ya ofisi za umma.
Ikiwezekana kamati hiyo huru ihusishe wataalamu Kutoka nje ya Serikali na nje ya nchi kupata UKWELI Ili kupendekeza solution sahihi.
Mkopo hata nusu ya robo haujalipika, na Mwekezaji aliongeza gharama zaidi ya Trilioni 1.5 zaidi ya Gharama halisi alizosaini mkataba na Bado tunaona mapungufu haya hata kabla ya uzalishaji kuanza.
Tusipokuwa serious katika masuala muhimu ya nchi, tukiruhusu kuoneana Aibu, kamwe hatutafanikiwa lolote .
NB: Tunapojadili Mada hii inayogusa maslah mapana ya nchi, tuepuke udini, ubinafsi, uchama nk nk, Uzalendo uwe Dira yetu.
Nawasilisha.🙏
Amen.