Ushauri: Iundwe Kamati huru kubaini chanzo cha nyufa JNHP maana kuna harufu ya uhujumu uchumi

Kwani dizaini inayotumika inaruhusu kuwepo na nyufa?
 
Yupo Hadi sasa wizara ya Mambo ya nje kama vile hakipo kilichotokea.

Kuna mdau alisema kuteuliwa Biteko ni kuangushiwa jumba bovu, naanza kuliona,

Maana Badala ya kujiuliza Hali hiyo inefikaje hapo,

Anageuka mshauri wa kuziba nyufa.
Kwanini isiwe ya makambako
 
Simkatai mtu. Nawajuwa Wamisri kwa pesa, kuliko wachaga hao. Tulilisema zamani.

Hapo lazima zitutoke tukitaka tusitake.

Point yangu ni, nchi haiendeshwi kwa kujimwambafai.
Ila inaendeshwa Kwa kuziba masikio
 
Unaota mchana wewe! Nani afanye uchunguzi kumchunguza nani? Kwamba, shetani-ibilisi amchunguze shetani-ibilisi mwenzie; Ili iweje?
Eti Bunge! Bunge hili hili la akina musukuma, lusinde, mkumbo, waitara, and the like?
Acha waifanye Nchi wanavyoona wao, tunafanyaje sasa!
 
Uelewa tangu kwa mtoa maagizo mpaka anaedae iundwe tume ni zero. Waziri kageuka kuwa msimamizi wa mradi mshauri.
 
Consultant mmojawapo wa huo mradi, sijui ni Tanroads... Uzoefu wa usimamizi wa Barabara/ madaraja Vs mabwawa, wapi na wapi...sie macho yetu...
Mkuu wa TANESCO ana taaluma gani? Sijawahi kusikia akitambulishwa kama mhandisi.
 


No research no right to speak.

Nawashauri tumieni muda kidogo kufanya tafiti nyepesi ya kimtandao "simple internet research" kabla ya kuja kudanganyana. Nimeitazama hiyo video sijaona "concern" yoyote ya msingi iiliyooneshwa na engineer anaetowa maelezo wala waziri Biteko. Au tunasikiliza vitu tofauti?

Kuna wanaoonesha wamelishika neno "nyufa" na hawajali hizo nyufa ziko wapi. Nyufa zinazoongelewa hazipigiki picha kama ule uharo uliosambazwa.

Yaani Watanzania mmeshindwa kuelewa maana ya nyufa za kwenye mwamba zinazofanyiwa "grouting" ambazo engineer anazielezea hapo. Hizo kwa macho hazionekani, huwa kwa siku hizi zinaonekana kwa vifaa maalum au vipimo maalum, mradi hakuna nyufa kwenye "diaphragm walls" silioni tatizo.

Huo unaoongelewa kwenye hiyo video ni uboreshaji wa kawaida sana kwenye ujenzi, kama vifaa vilivyowekwa vimeonesha "abnormality".

Mara nyingi kutokana na vipimo vya awali vya mwamba unaweza kuweka grouting kwenye "design" au ikaamuliwa kuwa "grouting" itafanyika au isifanyike baada ya kuwepo na "load" kwenye bwawa. Kwa ujenzi na vifaa vya siku hizi Uwepo au usiwepo, mara nyingi au mara zote hufanyika ujenzi ukifikia stage fulani.

Hilo mbona ni jambo la kawaida kwenye miradi yoyote ya ujenzi mkubwa. Soma:


 
Uelewa tangu kwa mtoa maagizo mpaka anaedae iundwe tume ni zero. Waziri kageuka kuwa msimamizi wa mradi mshauri.
Waziri kaenda kukaguwa mradi baada kuwa waziri wa nishati, tatizo nini?
 
TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwala la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa nenda kasome #99 kwenye hiyo mada.
Umeuliza kasema wapi hizo habari nimekuletea source. That’s about it, I don’t need your lecture.
 
Sijakuelewa point yako, unaongolea watu badala ya uzushi unaosambazwa.
Pitia mada husika usome statement ya TANESCO wanadai kuna team ya usimamizi imara kwenye mradi.

Hiyo post ndio ilikuwa ina address uelewa mdogo on what constitute a project management team.

Na baadae nikaongezea hayo mambo yako ya dam wall stability ndio issue sio nyufa za kuta, kama wanavyojibu.

Why do you think hata kwenye mada hii #28 nikaelezea umuhimu wa kuwa na fluid mechanics engineer kwenye team ya usimamizi.

Hiyo task sio ya sasa, inafanywa kabla ya kujaza bwawa.

👋
 
Wapo kila aiana ya wataalam, usifikiri hakuna mkandarasi waa maana au "consultants" wa maana.

Tanesco ni mteja, ana haki ya kutazama kila kitu kwa mtazamo wake, na yeye kaajiri wataalam "consultants", haya mambo hayaendi kienyeji kama yanavyoletwa hapa na wataalam" wa uzushi wa mitandao.
 
Nakupa siku nzima tuletee jina la ‘project manager’ wa huo mradi kutoka team ya TANESCO.

Achilia mbali wataalamu wengine waliopo kwenye team yake.
 
Nashauri walete wataalamu wa Ethiopia ingawa wengine wataponda ila wao pia wana Dam tena ni kubwa sana
Mradi wao umegharimu $5 billion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…