Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Nunua kitochi cha elfu 25 kipyaaa wakati unajuchanga kuvuta Tecno ya laki moja na nusu... Nani kasema lazima umiliki Samsung??
Kila mtu analazima yake.
Kumbuka wengine kazi na biashara zipo kwenye simu, sasa unanunua kitochi utapataje pesa za kununua Smartphone ilhali Mishe zako ni mtandaoni?
Elewa kuwa Dunia ya sasa kuna maelfu ya Vijana wanafanya kazi wakiwa wamelala NYUMBANI NA wanapata pesa za kutosha kupitia Smartphone.
Imetokea Smartphone imeibiwa, au kuharibika na Hana pesa ya nyingi ya haraka ya kununua simu mpya ndio hapo ananunua Used Kwa muda ili aendeleze biashara zake.
Nokia Tochi ni Kwa mawasiliano, Smartphone ni zaidi ya mawasiliano.