Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Sio mabanzi haya mabaki ya nje ya mbao, ni miti fulani migumu inaitwa mikambaa hiyo ni migumu inadumu hata miaka 100Are you serious mabanzi ni Bora kuliko nono? Ungetumia nondo nzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mabanzi haya mabaki ya nje ya mbao, ni miti fulani migumu inaitwa mikambaa hiyo ni migumu inadumu hata miaka 100Are you serious mabanzi ni Bora kuliko nono? Ungetumia nondo nzito
Ndy mkuu nmeweka na chemba yahivi likijaa tunaweza kufyonza lkn uwezekano wa kujaa ni mdogo kwakuwa chini hatujasakafiaUnauliza baada ya kujenga? Kama nimelewa vizuri ujenzi wako, shimo la choo linahitaji sehemu ya ''kupumua'' kwani kunakuwa na production ya gas ndani. Uliweka chimney ya kutolea gas?
Namimi nilifanya kwa mawazo haya nikaona inawezekanaUimara unategemea kuta za hilo shimo la choo na slab umetumia material gani.
Shule za umma miaka ya nyuma vyoo vilikuwa vinakuwa juu ya karo lenyewe hata matundu sita na hakuna shida pamoja na idadi kubwa ya wanafunzi.
Kama uliweka ndefu na hewa inatoka kwenda juu bila kuathiri ndani ya nyumba sioni tatizo. Cha kuzingatia ni kuwa ujenzi uwe imara ili kusiwepo na weakness zozote. Mafundi wetu nawajua hivyo kama uliwasimamia vizuri it should work. pia uwe unafanya assessment za mara kwa maraNdy mkuu nmeweka na chemba yahivi likijaa tunaweza kufyonza lkn uwezekano wa kujaa ni mdogo kwakuwa chini hatujasakafia
Zaidi ya 60% humu tumekulia kwenye vyoo vya namna iyo...hakikisha tu ilo zege ni imara na angalia pia nature ya eneo isije kuwa mfinyazi pakatitiaKama heading inavyojieleza, nilinunua kiplot kidogo ivi nikajenga kajumba ka vyumba vitatu mbele kuna kanafasi ka parking ya gari ndogo na nyuma kukabaki nafasi ndogo ambayo nikatumia kuchimba shimo la choo.
Nilivyopata vihela kidogo nikashawishika kuzunguusha fence, sasa baada ya kumaliza fence nikaona ile nafasi ya nyuma ya nyumba ni kubwa kiasi na nnaweza kujenga store na vyoo viwili na jiko la nje la kishkaji nikafanya ivo.
Tukashauriana na fundi kuwa tutumie ukuta wa fensi kuamsha vile vyumba na tufunike shimo la choo kwa zege ili ile sehem ndo tuitumie kujenga vyoo na upande mwingine uwe kwa ajili ya jiko na store na tukafanya ivo.
Sasa hofu yangu ni kuwa lile shimo haliwezi kuleta shida baadae likaporomoka au msuguano wa joto likaripuka na kuleta madhara, je njia sahihi ni ipi au nisiwe na wasiwasi halitaleta shida ushauri wenu wanajenzi.
Hela za kuunga unga mkuuPole sana. Ujenzi unaumiza sana kichwa haswa kama huna plan.
Swali lako linaonyesha kwamba hukujipanga kabla ya kujenga.
Sioni sababu ya kujenga karo wakati kuna mashimo ya kisasa yenye kutumia eneo dogo na hayajai.
Upo sahihi mkuu kuna na watu walinieleza ivo tuweke mabanzi kwani yanadumu sana kuliko nondo ndo nikakata shauri niweke lkn pia gharama zilikuwa afadhari kuliko ningetumia nondo zile panaSio mabanzi haya mabaki ya nje ya mbao, ni miti fulani migumu inaitwa mikambaa hiyo ni migumu inadumu hata miaka 100
Kupunguza athari hao watakokua wanapika wawe wanavaa helmet ngumu wakiwa jikonFundi alisema zile ndo nzuri ili maji yapenye yanyonywe na ardhi
Sasa kwa usalama zaidi ili kupunguza athari nifanyeje mkuu
Sawa ila unatakiwa uwe mwangalifu kwa sababu nyumba ukiijenga ndivyo isivyo ni kama kilema kila ukiingalia unakasirika.Hela za kuunga unga mkuu
Hapana mkuu, karibia mawazo yote katoa fundi mm nimepitisha tu hadi nakuja huku naona kama kutakuwa na shida japo fundi(maiko) ananihakikishia hakutakuwa na shidaCHANGAMOTO YA MBONGO.
- boss yeye.
- designer yeye
- Qs
- Vendor yeye
- Qualitu assuarance yeye
- injinia yeye
- badala ya fundi kumshauri, yeye ndio anamshaur fundi
AKIMALIZA ANAKUJA KUOMBA USHAURI.
Fundi maiko huyo ni taka taka..sasa kwenye ukajenge juu ya shimo la choo...ule mvule umeweka bomba kwa namna gan.Hapana mkuu, karibia mawazo yote katoa fundi mm nimepitisha tu hadi nakuja huku naona kama kutakuwa na shida japo fundi(maiko) ananihakikishia hakutakuwa na shida