Ushauri: Je, nilivyojenga juu ya shimo la choo ni sahihi?

Ungeleta wazo lako kabla ya kujenga,nyie mlikua wa 2 ila hapa tupo million,ungepata uchambuzi mzuri,ila sasa omba tu lisitokee lolote
 
Fundi maiko huyo ni taka taka..sasa kwenye ukajenge juu ya shimo la choo...ule mvule umeweka bomba kwa namna gan.

Unge share picha ingekua rahis zaid
Ningeshare picha lkn sitaki exposure

Bomba la mvuke tumeweka na chemba unayounganisha na choo cha master
 
Ungeleta wazo lako kabla ya kujenga,nyie mlikua wa 2 ila hapa tupo million,ungepata uchambuzi mzuri,ila sasa omba tu lisitokee lolote
Wakati naanza kujenga sikuujua huu mtandao mkuu nimeujua juzi tu apa
 
Ulitakiwa kuomba ushauri kabla ya kujenga, sidhani kama kuna usalama hapo.
 
Chini ya choo hapo ndio kuna shimo la choo
 
Uimara unategemea kuta za hilo shimo la choo na slab umetumia material gani.

Shule za umma miaka ya nyuma vyoo vilikuwa vinakuwa juu ya karo lenyewe hata matundu sita na hakuna shida pamoja na idadi kubwa ya wanafunzi.
Shimo linapumua kwenye matundu sita jamaa anaziba pa kupumulia hakuna
 
Mm Ni afsa mipango mji nielekeze nije kwako kuona ujenzi mnk naona unafunja sheria za mipango miji na Kisha kuja hapa kuomba uhaliali wa kufunja sheria
 
Kama ulizingatia kanuni sahihi za ujenzi ikiwemo kusuka nondo vyema simenti ya kwenda, hapo haina kipengele kabisa jiachie kwa amani kabisa cha msingi kuwe na uwazi mahali wa kutoa gesi na joto ndani ya shimo

Ila kama ndio mwenzangu na mie umesunda milunda na ratio ya kubumba, tafuta kabisa boya na jiandae tu kudiba kwenye ding'a
 
Mm Ni afsa mipango mji nielekeze nije kwako kuona ujenzi mnk naona unafunja sheria za mipango miji na Kisha kuja hapa kuomba uhaliali wa kufunja sheria
Sheria gani mkuu
 
Katesh imekutisha unahisi kila kitu kinalipuka

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na unatuomba ushauri ila kulala kwenye hiyo nyumba amani hakuna[emoji23][emoji23][emoji23] maana muda wote unawaza namna linavyodumbukia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shimo linapumua kwenye matundu sita jamaa anaziba pa kupumulia hakuna
Siku hizi bomba la "kupumlia" linawekwa kwenye chamber tu halafu linabanwa ukutani hapo siyo juu ya shimo.
 
Mkuu, mm pia ninalo wazo hilo. Ila mm shimo lilikuwa la (6×6)fts upana na urefu.. kina kina 35fts..ila kipindi naanza kulijengelea,, nilitumia mawe kuanzia chini kuwa kuyapanga then kila baada ya mita 1 nikawa naweka kama renta..nikajanalo mpk juu then nikaweka zege juu.. so nadhani inawezekana tu kujengea juu
 
Kuwezekana inawezekana mkuu nilichofurahia mm mtu akiingia kwangu hawezi elewa shimo la choo na la kisima liko wapi anaona mifumo flani tu
 
Kuwezekana inawezekana mkuu nilichofurahia mm mtu akiingia kwangu hawezi elewa shimo la choo na la kisima liko wapi anaona mifumo flani tu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Tafuta hela simbilisi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…