Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Tunataka jeshi la wasomi wenye GPA kubwa ili wakifanya mambo ya hovyo tuwe na haki zote za kuwanyooshea kidole.
Mtu aliyeishia form 4 na kupata division 4 hawezi kulaumiwa kwani upeo wake hauwezi kuwa wa juu. Muda wote atahitaji kutumia nguvu kuliko akili katika utatuzi wa changamoto mbalimbali.
Natoa wito kwa Mh. Rais ikikupendeza, askari wote wenye sifa chini ya hizi wapewe mafunzo maalumu ya mgambo na watumike kwenye malindo, polisi wabaki wasomi tu.
Mtu aliyeishia form 4 na kupata division 4 hawezi kulaumiwa kwani upeo wake hauwezi kuwa wa juu. Muda wote atahitaji kutumia nguvu kuliko akili katika utatuzi wa changamoto mbalimbali.
Natoa wito kwa Mh. Rais ikikupendeza, askari wote wenye sifa chini ya hizi wapewe mafunzo maalumu ya mgambo na watumike kwenye malindo, polisi wabaki wasomi tu.