nadorim
Senior Member
- Jun 12, 2015
- 158
- 24
Habari zenu jamani,
Mimi ninarafiki yangu anatafuta mtoto tangu mwaka jana hapati, yeye na mumewe wapo tayari kuzaa ila ndo mimba haishiki. Huko nyuma aliwahi kutumia njia za uzazi wa mpango za vidonge na sindano. Sahivi hatumii njia yoyote lakini hata dalili ya mimba hamna.
Ameniomba ushauri na mimi nawasilisha kwenu wakuu
Thanks
Mimi ninarafiki yangu anatafuta mtoto tangu mwaka jana hapati, yeye na mumewe wapo tayari kuzaa ila ndo mimba haishiki. Huko nyuma aliwahi kutumia njia za uzazi wa mpango za vidonge na sindano. Sahivi hatumii njia yoyote lakini hata dalili ya mimba hamna.
Ameniomba ushauri na mimi nawasilisha kwenu wakuu
Thanks