[emoji106]Wajina lolo123 na Mimi ni lolowapi. Usijali pamoja mkuu.
sent from my Samsung S9 plus using jamiiforums mobile application.
swala la imani na afya ni vitu viwili tofautiKwa Uungwana zaidi mwisho wa maelezo yako ungeomba radhi kwa Waislamu waliopo humu ambao hiyo kitu ni ' haram / mwiko ' Kwao ili wasikwazike na huu uzi wako. Huu Mtandao siyo tu wa Wakristo Mkuu hivyo ' busara ' kubwa mno inahitajika pale unapotaka kuwasilisha jambo ambalo lina sura mbili hasa ya Kimtizamo na ya Kiimani.
Nikutakie tu kila la kheri Mkuu katika Biashara yako hiyo ya Ng'ombe Katoliki / Ngurumwe / Kitimoto / Noah / ARV.
We muislam?swala la imani na afya ni vitu viwili tofauti
mm muislam bt kitimoto nakula km kawaida
*waislam tusiwe wanafki
Aisee mbona unaongea kwa lugha nyepesi kama vile hilo unalolifanya ni kawaida kwenye uislam kaka. Ni sawa tunafanya dhambi mbalimbali kama waislam lakini nakushairi usijivunie dhambi hizoswala la imani na afya ni vitu viwili tofauti
mm muislam bt kitimoto nakula km kawaida
*waislam tusiwe wanafki
Wakiiteka unawatupia nyamaMashehe hawawezi kuiteka hiyo gari kweli?
inachukua muda gani kwa nguruwe kukua na kumuuza kwa bei hiyo?Hi I bussnes tamu sana ukipata goli nzuri mm npo kigo a huk nafuga nkipata namba ya kutisha ntawatafta wanunuz coz nguruwe mkubwa kabisa huku ni 300000
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakushauri jaribu kucheki kwenye hizi grocery zilizopo pembeni mwa moro Road kwani bei zake si kubwa kulinganisha na barHabari wakuu...mimi ni kijana mjasiriamali mwenye jiko la kupika kitimoto kimara...ninahitaji kupanua biashara yangu, yaani nifungue jiko lingine maeneo ya kimara mpaka mbezi mwisho. Hivyo ninaomba msaada kama una bar au unamfaham mtu mwenye bar eneo lililochangamka na anahitaji mtu wakufungua jiko...please ni pm
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asante sana kwa ushaurii wako mkubwa,Unaeza kuanza na kilo saba kwanza...kilo moja ni sh elf 7,kilo saba itakua elf 49
Ndiz za elf 5
unga wa sembe(wanaume wa dar) kilo tatu
Viungo vya elf 10
Mafuta lita tatu
Kodi ya eneo husika
Majiko ya mkaa
Jiko la gas..kwa order za haraka