Ushauri: Kafaulu lakini anataka kuolewa

Ushauri: Kafaulu lakini anataka kuolewa

Kuolewa sio dhambi, mshauri mwanao aendelee na shule baada ya ndoa huku ukimwambia huyo mkweo mtarajiwa amshawishi mwanao asome baada ya ndoa
 
Wakati mwingine demokrasia ikishindwa kufanya kazi basi udikteta lazima utumike
Got damn right. Malezi ya kizungu yanawazaja watoto viburi.
Na hii ina apply hadi ngazi ya taifa. Mambo mengine bila mjeledi hayaendi
 
Shule kinguvu mtoto aliyemaliza kidato cha nne??? Mkuu sio darasa la saba kusema hajitambui
Haijalishi. Kwa hiyo miaka halaf eti ana div 1? Hiyo ni bad influence.
Tandika mbaya, unamchekea chekea ndio maana anaona anaweza amua na usimfanye kitu
 
Hapo ongea nao kikubwa wote wawili bint na huyo bwana wake. Wajaze ujinga waambie mapenz yao uwezi yaingilia cha msingi mtafutie bint day school iliyo karibu na bwana wake ili wawe wanatiana huku bint anasoma......

Cha kuwasisitiza zaidi watumie kalenda vizuri ili kujikinga na mimba.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hapo ongea nao kikubwa wote wawili bint na huyo bwana wake. Wajaze ujinga waambie mapenz yao uwezi yaingilia cha msingi mtafutie bint day school iliyo karibu na bwana wake ili wawe wanatiana huku bint anasoma......

Cha kuwasisitiza zaidi watumie kalenda vizuri ili kujikinga na mimba.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hahaaahaaaa mkuu acha utani yaani ni halalishe uzinzi kwa binti yangu mwenyewe, si bora nimuozeshe tu kwa kufuata taratibu mambo ya kusoma wataenda kujuana wenyewe huko....! Ila wasi wasi wangu ni je sitopata usumbufu kwa kuruhusu binti aliyefaulu kidato cha nne kuolewa?
 
Kuolewa sio dhambi,mshauri mwanao aendelee na shule baada ya ndoa huku ukimwambia huyo mkweo mtarajiwa amshawishi mwanao asome baada ya ndoa
Hayo mimi hayanihusu tena akishaolewa, ila wasi wasi wangu nikupata usumbufu toka kwenye vyombo vya sheria kwa kuruhusu binti aliyefaulu kuolewa
 
Dah,Kamata huyo mwanaume akamsomeshe;

Yani mwanaume alipe mahari,alipe ada kisha binti aende shule akirudi likizo aende kwa mumewe.Mengine waache wapambane ila ada kamili aache hapo kwako.

Pembeni ya hapo POLE sana haya kweli ni ya kuomba yasikukute
 
Hahaaahaaaa mkuu acha utani yaani ni halalishe uzinzi kwa binti yangu mwenyewe, si bora nimuozeshe tu kwa kufuata taratibu mambo ya kusoma wataenda kujuana wenyewe huko....! Ila wasi wasi wangu ni je sitopata usumbufu kwa kuruhusu binti aliyefaulu kidato cha nne kuolewa?
Duh sorry my broo mitazamo imetofautiana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu usithubutu kumuozesha huyo binti utafungwa. Nimekua mkuu wa shule kwa miaka kadhaa. Selection zikitoka atachaguliwa serikalini na utaonekana umeozesha mwanafunzi. Mshauri aende shule akimaliza form 6 na matokeo kutoka muozeshe! Ushauri unahitajika zaidi na kumwambia madhara ya kisheria na si kwamba unamkatalia
 
Hayo mimi hayanihusu tena akishaolewa, ila wasi wasi wangu nikupata usumbufu toka kwenye vyombo vya sheria kwa kuruhusu binti aliyefaulu kuolewa
Utapata matatizo mkuu. Acha kabisa hilo wazo asee!
 
una wakati mgumu kama mzazi pole sana kwa mtihani. kuhusu serikali sidhani kama wanasumbuka na mtu aliyemaliza kidato cha nne akaamua kufuata mlengo mwingine wa maisha. miaka 18 kisheria ni mtu mzima. mshauri yeye pamoja na kijana kwamba aendelee kusoma hata ikibidi kuanza chuo certificate itamsaidia huko mbeleni.
Mkuu huyo dogo atachaguliwa na kuonekana ameozesha mtu mwenye status ya uanafunzi. Akitaka kuhalalisha, ampeleke vyuo vya kati, apate registration aanze chuo then amuoe kama mwanafunzi wa chuo, otherwise haitakua fresh kiserikali!
 
Pole sana! Mtoto wako ulishindwa kudhibiti tabia zake toka zamani na alipofikia wewe hutoweza zaidi ya kutoa ushauri!

Malezi ya mtoto huchangia sana kwenye kila jambo lake analotaka kulifanya...bado siamini huyu mtoto ameamka tuu leo baada ya matokeo akaona aolewe kuliko kusoma hii haiwezekani!

Ni wazi huyu mtoto alishaolewa sana na amekuwa akiolewa na wewe umekuwa ukiona tabia hizi au umekuwa ukihisi lakini uliamua kuacha mpaka tabia imekomaa!

Tabia za kutaka ndoa lazima alizianza mapema na mazingira na malezi yenu yalifanikisha kabisa yeye kupenda kuolewa...pengine huyu mtoto alikuwa ana lala kwa wanaume au anatabia ya kulala na wanaume na nyie hamkuchukua mapema hadi ameshakole namna hii!

Pia inawezekana kutokana na mazingira ya malezi na hali aliyopitia wakati anasoma ameona ni bora kuolewa kuliko kusoma pengine ameteseka sana kwenye kusoma kwake hivyo anaona hakuna sababu ya kuendelea kusoma!

Ushauri!

Kaa na binti yako umuulize na umueleze madhara na hasara ya jambo analo likimbilia na umuweke wazi kuwa wewe hujahafiki kabisa na uwezi kukubali yeye kuolewa kwa wewe kutoa ruhusa na pia uwezi kumlazimisha kusoma hivyo achague la kufanya!

Kuhusu kushitakiwa!

Kama serikali itatambua umemuoza mtoto basi ni kosa na utashitakiwa kimsingi usichukue mahari muache afanye atakavyo wewe jitenge na hayo maamuzi yake!
 
Sikiliza mruhusu aolewe ila aendelee na shule jua tu Magufuli kaisha kufa ndo alikuwa anawakomalia Sasa hiv ni mwendo wa mdebwedo huyo dogo alishatiwa kitambo anaweza endelea soma uku anakalia mpini
 
Ungewacharaza viboko wote na huyo mchumba wake na umpeleke shule huo ni utoto unamsumbua, baadae akiharibikiwa ataanza tena kukulaumu wewe kwa kutompa haki yake ya elimu.
 
Back
Top Bottom