Shukrani kwa ushauri mkuu ...! Huu ndio ushauri niliokua nahitajiMkuu usithubutu kumuozesha huyo binti utafungwa. Nimekua mkuu wa shule kwa miaka kadhaa. Selection zikitoka atachaguliwa serikalini na utaonekana umeozesha mwanafunzi. Mshauri aende shule akimaliza form 6 na matokeo kutoka muozeshe! Ushauri unahitajika zaidi na kumwambia madhara ya ksheria na si kwamba unamkatalia
Tumieni lugha zenye staha kumbukeni aliyeomba ushauri ni mzaziSikiliza mruhusu aolewe ila aendelee na shule jua tu Magufuli kaisha kufa ndo alikuwa anawakomalia Sasa hiv ni mwendo wa mdebwedo huyo dogo alishatiwa kitambo anaweza endelea soma uku anakalia mpini
Mh aisee try your best kuwaconvice wote wawili huyo mwanao aende shule. Huyo mtoto bado hajayajua maisha, anaweza kuja kukulaumu baadaye.Ndio nimeamua kumuacha aolewe lakini vipi sheria inasemaje kuhusu hilo? Siwezi kuletewa usumbufu kwa kuruhusu binti aliyefaulu kuolewa? Maan huwa nasikia Visa huko mikoani mara mkuu wa wilaya wakamata wazazi kwa kuoza binti yao badala ya kumpeleka shule
Very good plan, vyuo vya Kati[emoji106][emoji106]Mkuu huyo dogo atachaguliwa na muonekana ameozesha mtu mwenye status ya uanafunzi. Akitaka kuhalalisha, ampeleke vyuo vya kati, apate registration aanze chuo then amuoe kama mwanafunzi wa chuo, otherwise haitakua fresh kiserikali!
Mkuu nashangaa kwanini baadhi ya member wanakosa stahaTumieni lugha zenye staha kumbukeni aliyeomba ushauri ni mzazi
Ahsante kwa mchango wakoHapo mwache afanye yote, aoelewe wakati anafaidi dudu huku asome diploma, ambapo hawakatazi kuolewa
Ukimaliza form four serikali ushaagana nayo, ndio maana unaweza kuamua kwenda Advance au college
Wasamehe tu ndugu yanguMkuu nashangaa kwanini baadhi ya member wanakosa staha
Aisee very bad mindset... Unafikiri mtoto wa kike huwa anaanza kutamani kuolewa akiwa na umri gani?? 😂 eti tabia ya kutaka ndoa. Umenikumbusha kitabu Three Suitors One Husband, wanaume wameleta posa wamuoe Binti Binti anakataa anasema mimi I'm in love with someone. Aunty anamuuliza "Who allowed you to fall in love?"Tabia za kutaka ndoa lazima alizianza mapema na mazingira na malezi yenu yalifanikisha kabisa yeye kupenda kuolewa...pengine huyu mtoto alikuwa ana lala kwa wanaume au anatabia ya kulala na wanaume na nyie hamkuchukua mapema hadi ameshakole namna hii!
Ahsante mkuu...! Nimeongea nae saana ila anaonyesha alichokiamua yy ni kuolewa tu....! Na mimi nimeamua kubariki apate haja ya moyo wake, ila changamoto kisheria ikoje kuozesha binti aliyefaulu 4m4Pole sana mkuu, kweli kua mzazi kuna mambo mengi....
Nakushauri yafuta mda, mchukue binti yako muende eneo mbali kabisa...
Kama unaishi Dat, nenda na binti yako hata bagamoyo mkiwa wawili tu.
Ingia hotel nzuri yenye bichi nzuri, kaa nae huku mkila chakula kizuri...
Ongea nae kama mzazi, mwambie huna shida ya yeye kuolewa. Amalize angalau form 6 ndipo utakua na aman kwa yeye kuingia kwenye ndoa.
Ongea kwa utulivu kama mzazj, mpe muda wa kufikiria.
Asipo elewa mbariki, ila utahitaji kukaa na huyo kijana...
Pole mkuu
Ahsante kwa ushauri.....! Mimi nimeshaamua kumruhusu tu aolewe ila changamoto ndio hiyo sheria inaruhusu...! Na mimi siko tayari kabisa kumlipia chuo akiwa anaolewaMe nikipata Binti nitamuozesha chap maana najua mauzauza niliyoyapitia.. Marriage is a good thing jamani hivi hamuoni dunia ilivyochafuka!
Huyo ni mwanao. Usimsuse. Unless unaona huyo mchumba hafai kuwa mume, mlipie tu ada aende kusoma chuo, mume atamalizia vingine. Muozeshe. Hata akipata ujauzito anaweza ku post pone azae akiwa mke wa mtu, atarudi shule.
Otherwise tambua Kuna maisha mengine zaidi ya kusoma/kufanya kazi. Ukimfanyia ugumu unaweza kufanya aishie tu kuwa single mother either wa mtoto aliye hai au marehemu!! na kumuongezea body count!!!!
Wala mimi sitaki aje kujuta na mbariki kiroho safi, maana ni maisha yake aliyoamua kuyachaguaMtoto akililia wembe mpe
Hapo alipo atakua anakujibu jeuri sana ila mbeleni atajuta
Haya mwenye vitafunwa agaweDogo kumbe una miaka 27, hii chai.
Ushauri: Baba hataki nimuoe binti kisa baba yake mkubwa alikuwa mwizi!
Habarini za wakati huu mabibi na bwana wa JF.......! Mimi ni kijana wa kwanza kuzaliwa kwa wazazi wangu. Kwa sasa nina umri wa miaka 27, kama mjuavyo huo ni umri sahihi kabisa wa mimi kuwa na mwenza wa kusaidiana nae kulisongesha gurudumu la maisha...! Na mzee wangu amekua mastari wa mbele...www.jamiiforums.com