Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

Vyuo vingi kwa sasa wako likizo sijui wanafungua lini?
 
Maalim sema nn tafta wako na mpost mbona umri huo tayar kufanya nusra kabisa mkuu acha maneno ya watu eti mdogo khaaa anaetoa riziki ni mungu ukimpata sahihi acha zinaa fanya nusra oa tyu chuo ndo nn binafsi nipo chuo nakula MD bt soon nataka kuokoa jiko Allah atuongozee
 
wadau vp nimempost ex wangu nliekuwa nampenda sanaa...kaniacha tokaa 2014 ila mm mpaka leo nmeshakua na madem kadhaa ila bado ule upendo wa kwel upo kwake na siwez kumpata tenaa...na sjui kwann naskia rahaa nkiremind those happy moments ambazo tulikua pamoja...au najikuta naskiliza wimbo m1 tyu siku nzima unaonikumbushaa kuhus yeyee....na hapo najikuta nazid kumpendaa...Japo haez kuwa wangu tenaah...naeza mpotezea ataa 4 months ila najikuta namkumbukaa teenah...Ila sasaa nmeamua kuchuku uamuz huu....kwamba ntampendaa lakini sitataka awe mpenz wangu na nikijisikia kumpost ntampost kuonesha upendo wangu japo sitataka tuwe wapenz tena...ili tyu niridhishe nafsi Yangu...Na nafsi yangu isikiee Raahaa...!!

sasaa wataalam wa haya Mambo nishaurini je nipo sawa au nakosea...am 21 na ndo natakaa nianze kuenga life...imaraa.....i need positivee Feedbacks ma people...!!!

Nawasilisha

TheMason-Engineer!
Una jua maana ya kupost kwenye social media?maana yake hayo unayopost si private tena ,sasa unamaanisha nini kupost mpenzi wa watu halafu kushirikisha watu wengine ambao hawana uhusiano nae?wewe ni past yake na kama kweli bado unampenda basi heshimu privacy yake si vyema kuweka picha au vitu vimuhusuvyo bila ridhaa yake na hswa mkowa hamna mashirikiano tena na umekiri mwenyewe hawezi na hutataka awe mpenzi wako tena sasa hizi genye mshindo za nini?
 
Fairy dust ni nn
Ukikua kielimu ndio utajua wenzenu tulianza na hadithi za kina snow white, aesop stories ,beauty and the beast and other fantasy stories as kids nyie mmeanza na kina shigongo misamiati murua ya kizungu mtaijulia wapi?at least kwa sasa musome sio kuangalia movie hadithi za kina harry porter !
Endeleeni kufuga ukilaza!
 
We kajamaa ina maana Ulianza mapenzi na miaka 14.. Manake uliachana na huyo x wako ukiwa na 17 (2014), nimekukadiria kuwa ulidumu naye kwa miaka 3,, kwa maana hiyo ulianza mapenzi ukiwa 14, dah
 
Hahaha! Nimeleta ukatuni humu!!! Potezea mkuu
Kwa copy wanazosoma na movie and katuni wanazoangalia huo msamiati hauwezi mwambie tu huyo Themason wale fairy waki grant wish ya mtu basi ile magic wand inatoa kama vumbi fulani hivi hicho kikitokea ndio mtakutana themason -refer cinderela cartoon(sisi tulianza kusoma vitabu vyake kwanza)
 
Kwa copy wanazosoma na movie and katuni wanazoangalia huo msamiati hauwezi mwambie tu huyo Themason wale fairy waki grant wish ya mtu basi ile magic wand inatoa kama vumbi fulani hivi hicho kikitokea ndio mtakutana themason -refer cinderela cartoon(sisi tulianza kusoma vitabu vyake kwanza)
Asante kwa kunisaidia mkuu!
 
Una jua maana ya kupost kwenye social media?maana yake hayo unayopost si private tena ,sasa unamaanisha nini kupost mpenzi wa watu halafu kushirikisha watu wengine ambao hawana uhusiano nae?wewe ni past yake na kama kweli bado unampenda basi heshimu privacy yake si vyema kuweka picha au vitu vimuhusuvyo bila ridhaa yake na hswa mkowa hamna mashirikiano tena na umekiri mwenyewe hawezi na hutataka awe mpenzi wako tena sasa hizi genye mshindo za nini?
umemaliziaa vibayaaa
 
Back
Top Bottom