Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

Ukikua kielimu ndio utajua wenzenu tulianza na hadithi za kina snow white, aesop stories ,beauty and the beast and other fantasy stories as kids nyie mmeanza na kina shigongo misamiati murua ya kizungu mtaijulia wapi?at least kwa sasa musome sio kuangalia movie hadithi za kina harry porter !
Endeleeni kufuga ukilaza!
Kakaa am Engineering Student hatuna io misamiati...sisi tuna Geoid....Theodolite...Dynamics...Plane Trusses....na kadhalikaa ninaa uhakikaa ivo pia ww hujui
 
Ndo maana alikuacha maana ulikuwa bado teenager hyo 2014
 
kwa umri wako inawezekana unachofanya kikawa sahihi....ila bdae utagundua u were being childish
 
Nilikuwa na miaka hiyo wakat kikwete bado waziri....humu unaweza kuwa unaomba ushauri kwa wanao kumbe.
 
Kakaa am Engineering Student hatuna io misamiati...sisi tuna Geoid....Theodolite...Dynamics...Plane Trusses....na kadhalikaa ninaa uhakikaa ivo pia ww hujui
Hata kidogo!mimi nitakutajia tu tabia zote za wanyama wakiwemo binadamu na matatizo yao ya ufahamu kutokana na sababu au mazingira mbalimbali!
 
learn to forget and move on achana nae unless kama bado unamtaka
 
Yan kama wewe ni 21st alafu unawaza mapenzi kiasi hki pole sana. Alafu umeanza mapenzi bado mdogo sana bila shaka hio ilikua first love na ndo ulitoa ubikira wako.
Nakushauri acha kumpost wala kumuwaza kama unasoma elekezea akili zako kwenye masomo kama unafanya kazi fanya kazi kwa bidii acha kuwaza mambo ya ajabu hali ni ngumu sana kipindi hiki cha mfalme haambiliki
 
Unampost wapi?

wadau vp nimempost ex wangu nliekuwa nampenda sanaa...kaniacha tokaa 2014 ila mm mpaka leo nmeshakua na madem kadhaa ila bado ule upendo wa kwel upo kwake na siwez kumpata tenaa...na sjui kwann naskia rahaa nkiremind those happy moments ambazo tulikua pamoja...au najikuta naskiliza wimbo m1 tyu siku nzima unaonikumbushaa kuhus yeyee....

Na hapo najikuta nazid kumpendaa...Japo haez kuwa wangu tenaah...naeza mpotezea ataa 4 months ila najikuta namkumbukaa teenah...Ila sasaa nmeamua kuchuku uamuz huu....kwamba ntampendaa lakini sitataka awe mpenz wangu na nikijisikia kumpost ntampost kuonesha upendo wangu japo sitataka tuwe wapenz tena...ili tyu niridhishe nafsi Yangu...Na nafsi yangu isikiee Raahaa...!!

sasaa wataalam wa haya Mambo nishaurini je nipo sawa au nakosea...am 21 na ndo natakaa nianze kuenga life...imaraa.....i need positivee Feedbacks ma people...!!!

Nawasilisha

TheMason-Engineer!
 
Mtengenezee nyimbo kama diamond na wema... ataelewa hisia zako!!!
 
Hutu tutoto twa siku hizi ni Shida sana. Badala ya kukomaa na Shule unafikiria ngono tuu. Acha ujinga Dogo kaza buti mie niliishia darasa la saba kwa kukosa wa kunilipia Shule huwa nilikiona mtu anaacha kusoma anafikiria ujinga natamani nimmeze.
Maisha ni magumu tofauti na unavyofikiri ikitoka na ka GPA cha 2.5 Unakuja kuomba kazi kwangu utaambulia matusi ya nguoni mpaka ujute
huezi kuniajiri wewe acha kujitapavhumu JF
 
Back
Top Bottom