Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

wadau vp nimempost ex wangu nliekuwa nampenda sanaa...kaniacha tokaa 2014 ila mm mpaka leo nmeshakua na madem kadhaa ila bado ule upendo wa kwel upo kwake na siwez kumpata tenaa...na sjui kwann naskia rahaa nkiremind those happy moments ambazo tulikua pamoja...au najikuta naskiliza wimbo m1 tyu siku nzima unaonikumbushaa kuhus yeyee....na hapo najikuta nazid kumpendaa...Japo haez kuwa wangu tenaah...naeza mpotezea ataa 4 months ila najikuta namkumbukaa teenah...Ila sasaa nmeamua kuchuku uamuz huu....kwamba ntampendaa lakini sitataka awe mpenz wangu na nikijisikia kumpost ntampost kuonesha upendo wangu japo sitataka tuwe wapenz tena...ili tyu niridhishe nafsi Yangu...Na nafsi yangu isikiee Raahaa...!!

sasaa wataalam wa haya Mambo nishaurini je nipo sawa au nakosea...am 21 na ndo natakaa nianze kuenga life...imaraa.....i need positivee Feedbacks ma people...!!!

Nawasilisha

TheMason-Engineer!
Vipi, huo umason wako hauwezi kukusaidia kumrudisha?! Nauliza tuu.....
 
Mwambie babako na Mamako ivo
Kwakuwa wewe tayari unachezewa kijambio unataka niwe wakala wa kuwaambia wengine ili upate wafuasi?
Umepotea step na uzi wako wa ki-delicious,pole mtoto wa watu,mwenye tabia ya mkasi,kukata mbele nyuma kuingizwa vidole.
Karibu mijini ukutane na mabahsha wakubwa.
Ila kesho ulipie tangazo.
 
U Mason Ni elaah sio Mapenzi na Hairuhusiw kujulikana kwamba napenda
[emoji1] [emoji1] [emoji1] so pesa unazo ila mapenzi ndio hamna?! Tafuta lichama lingine ambalo linaweza kukufanikishia mapenzi yakawa smooth mkuu?! [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] so pesa unazo ila mapenzi ndio hamna?! Tafuta lichama lingine ambalo linaweza kukufanikishia mapenzi yakawa smooth mkuu?! [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Dooh Mkuu unakijuaa??
 
Hutu tutoto twa siku hizi ni Shida sana. Badala ya kukomaa na Shule unafikiria ngono tuu. Acha ujinga Dogo kaza buti mie niliishia darasa la saba kwa kukosa wa kunilipia Shule huwa nilikiona mtu anaacha kusoma anafikiria ujinga natamani nimmeze.
Maisha ni magumu tofauti na unavyofikiri ikitoka na ka GPA cha 2.5 Unakuja kuomba kazi kwangu utaambulia matusi ya nguoni mpaka ujute
 
Usijiue tu.

Maana nyie wanaume wa mikoani kujiua ndio zenu.
 
Back
Top Bottom