miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
hayaTuliaa weweee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayaTuliaa weweee
akiliNikuejee tenaa am above 18
Vipi, huo umason wako hauwezi kukusaidia kumrudisha?! Nauliza tuu.....wadau vp nimempost ex wangu nliekuwa nampenda sanaa...kaniacha tokaa 2014 ila mm mpaka leo nmeshakua na madem kadhaa ila bado ule upendo wa kwel upo kwake na siwez kumpata tenaa...na sjui kwann naskia rahaa nkiremind those happy moments ambazo tulikua pamoja...au najikuta naskiliza wimbo m1 tyu siku nzima unaonikumbushaa kuhus yeyee....na hapo najikuta nazid kumpendaa...Japo haez kuwa wangu tenaah...naeza mpotezea ataa 4 months ila najikuta namkumbukaa teenah...Ila sasaa nmeamua kuchuku uamuz huu....kwamba ntampendaa lakini sitataka awe mpenz wangu na nikijisikia kumpost ntampost kuonesha upendo wangu japo sitataka tuwe wapenz tena...ili tyu niridhishe nafsi Yangu...Na nafsi yangu isikiee Raahaa...!!
sasaa wataalam wa haya Mambo nishaurini je nipo sawa au nakosea...am 21 na ndo natakaa nianze kuenga life...imaraa.....i need positivee Feedbacks ma people...!!!
Nawasilisha
TheMason-Engineer!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi umri huo hata ndom inakua inakutosha?
za kutafuta pesaakil zp unahtajii
Ni raha kama umri na kipato chako kinaruhusu, lakini kama umri wenyewe ni huo 21st bila Shaka litakua jangaKwani mapenzi na janga au ni raha?
Kwakuwa wewe tayari unachezewa kijambio unataka niwe wakala wa kuwaambia wengine ili upate wafuasi?Mwambie babako na Mamako ivo
hongera sanaNinazo tokaa secondary
[emoji1] [emoji1] [emoji1] so pesa unazo ila mapenzi ndio hamna?! Tafuta lichama lingine ambalo linaweza kukufanikishia mapenzi yakawa smooth mkuu?! [emoji1] [emoji1] [emoji1]U Mason Ni elaah sio Mapenzi na Hairuhusiw kujulikana kwamba napenda
hahaha ni utotokwa nini mnaandika tyu? ni ushamba au ujinga?
Ndio mkuu.....we mrudie Mungu, maana mke mwema anatoka kwa Mungu sio ktk mboni za macho yako.....Dooh Mkuu unakijuaa??