Ushauri: Kaniacha ila upendo bado upo kwake

We kajamaa ina maana Ulianza mapenzi na miaka 14.. Manake uliachana na huyo x wako ukiwa na 17 (2014), nimekukadiria kuwa ulidumu naye kwa miaka 3,, kwa maana hiyo ulianza mapenzi ukiwa 14, dah
daah we jamaa
 
Nilikuwa na miaka hiyo wakat kikwete bado waziri....humu unaweza kuwa unaomba ushauri kwa wanao kumbe.
[emoji23][emoji23][emoji23] ayaa mzee
 
Miss huenda iq yako inakarbia ya kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…