Ushauri: Kila binti ninaemtongoza anakataa, anasema ananiona kama kaka, mtu hatari!

Ushauri: Kila binti ninaemtongoza anakataa, anasema ananiona kama kaka, mtu hatari!

MWALIMU DAIMA

Senior Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
129
Reaction score
263
Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakata, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?

Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form six), mmoja wa mwalimu alinambia mimi kumpata mpenzi nikifika chuo itakuwa ni kazi, nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!

Nipo njia panda.
 
Mwanamke yupo kama chura, huwezi kujua kama amekaa, amechuchuma, amesimama au amelala (Kiufupi haeleweki).

Sasa ukiona hivyo basi ujue kiwango chako cha mvuto ni kidogo sana, mwanamke anapenda mwanaume anayempa changamoto na kudhihirisha uanaume wake kwa vitendo (manifest your manhood).

Kuwa mwanaharakati siyo shida, ni kweli wengi hawapendi kuwa wajane.Ungekuwa mwanajeshi sawa anajua atarithi hata mali sasa mwanaharakati anaona anapoteza muda tu.

Just wait utapata mnayependana na kuendana ila endelea kujitafakari why you na siyo wengine?
 
Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakataa, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?

Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form six), mmoja wa mwalimu alinambia mimi kumpata mpenzi nikifika chuo itakuwa ni kazi, nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!

Nipo njia panda.
Una pesa?
 
Back
Top Bottom