Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!
Inaonekana una harakati kama mnyama huyu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!
Una kipato cha uhakika?Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakataa, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?
Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form six), mmoja wa mwalimu alinambia mimi kumpata mpenzi nikifika chuo itakuwa ni kazi, nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!
Nipo njia panda.
Ila nyege haina kuumwa mkuuNdio. Naumwa miaka miwili...hata nyege sina.
Jina lake nani?Inaonekana una harakati kama mnyama huyu...
![]()
Jina lake nani?
Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakata, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?
Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form six), mmoja wa mwalimu alinambia mimi kumpata mpenzi nikifika chuo itakuwa ni kazi, nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!
Nipo njia panda.
hahahahahahaInaonekana una harakati kama mnyama huyu...
![]()
Una stress sana naona tangu uachwe na mtuwako jikaze tu mapenzi hayako serious hivo utakutanabm na mtu wakat usiotarajia hebu move on kwanza ishi maishayako
Without Mtonyo How do they survive?Wanaharakati hawaangalii pesa
Hivi bado watu wanaamini huuu utopolo 😂😂Kasome Isaya 4:1
Kuna wanawake 7 watakufuata mwanaume mmoja Imeandikwa, kikubwa uusubiri wakati utafika
Yes sir, Imeandikwa King Solomon alioa wanawake 700 na masulia 300 na wote akawatia mimba kiasi Cha kutokujua idadi ya watoto alionao, kwa hio kuna wanawake 7 wanakulia Mingo muda ukifika watakufuata wenyewe wajielezeeHivi bado watu wanaamini huuu utopolo 😂😂
Njaa banaWe tafuta hela alafu ule ushibe mda mwingine ni njaa tu inakusumbua. Jipende kabla hujahitaji kupendwa.
We ushawahi fuatwa mkuuu 🤔Yes sir, Imeandikwa King Solomon alioa wanawake 700 na masulia 300 na wote akawatia mimba kiasi Cha kutokujua idadi ya watoto alionao, kwa hio kuna wanawake 7 wanakulia Mingo muda ukifika watakufuata wenyewe wajielezee
Mara nyingi tu Ila nimewapiga za uso,We ushawahi fuatwa mkuuu 🤔
Embu tupeamo visa kidogo kama visa 2 tu vinatosha mkuu tujue zaidiMara nyingi tu Ila nimewapiga za uso,
Kuna mmoja yupo single young lady hajavuka hata 25 ni mdogo kwangu mimi ni mkubwa sana kwake Ila alinasa, akajieleza wee nikampa za usoEmbu tupeamo visa kidogo kama 2 tu vinatosha mkuu
Duuh sawasawa mkuuu shukran 😁🚶Kuna mmoja yupo single young lady hajavuka hata 25 ni mdogo kwangu mimi ni mkubwa sana kwake Ila alinasa, akajieleza wee nikampa za uso
Mwingine pia the same 25+ alikua amenidondokea na maelezo ya hapa na pale nikamtolea nje, akala za uso
Wote walikua wanataka niwapige kwenye (....) Ushaelewa
Hao tu km sample, wanakuja 7 muda ukifika utawaona mwenyewe ISAYA ni nabii mkubwa sio nabii mdogo