Ushauri: Kila binti ninaemtongoza anakataa, anasema ananiona kama kaka, mtu hatari!

Ushauri: Kila binti ninaemtongoza anakataa, anasema ananiona kama kaka, mtu hatari!

Short and clear, najihisi na shida wakuu. Kila binti ninaemu-approach anakata, anasema aniona mimi kama kaka pia kama mtu hatari sasa sijui shida ni ipi?

Pia nakumbuka kipindi nipo advance ( form six), mmoja wa mwalimu alinambia mimi kumpata mpenzi nikifika chuo itakuwa ni kazi, nilipimuuliza kwanini akasema wanawake hawapendi wanaume wanaharakati!

Nipo njia panda.
acha kuwa serious sana mzee kama umeamua kuwa serious kuwa kama umeamua kuwa skirt chaser kuwa hivo ni kheri ya moto au barid kuliko vuguvugu hakika utapata wa kariba yako
 
Mimi so mutu wa mademu Ila ninao wanangu hawana maisha Ila kwa sababu wameamua kuwa waumini wa chini hakika wanakwenda chini haswa
 
Back
Top Bottom