Salaam, Shalom,
Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana.
Kiwanda Cha kuuza maji Cha Kilimanjaro Kwa Mfano, TRA wakiweka mfumo wa kujua Lita kiasi Gani zinazalishwa Kwa siku, mwezi Hadi mwaka, wanao uwezo Kwa kudai Kodi ya ongezeko la thamani VAT Toka kiwandani direct, kwanini wasuburi maji yaendelee kwenye vioski na deports ambazo nyingi hazina, au haxitoi EFD?
Viwanda vya kuzalisha cement, vinywaji, CHUMA ambavyo Bei zake zinafahamika, nk nk, Serikali Ina uwezo wa kukaa na wazalishaji na kukubaliana nao Ili wao ndio wawe wanalipa vat direct bila kusubiri Hadi muuzaji wa mwisho ndiye abanwe kulipa vat.
Hawa wauzaji wa mwisho, wabanwe kulipa Kodi ya mapato pekee, lakini VAT ikusanywe na kiwanda na kiwanda kiwasilishe VAT hiyo direct Kwa Serikali.
FAIDA YA SERIKALI KIKUSANYA VAT KUTOKA KWA KIWANDA DIRECT NI:
1. KUPUNGUZA UKWEPAJI KODI
Wauza maji na wafanyabiashara wauzao bidhaa za viwandani, wanaotembeza juani, hawana EFD hao ndio wauzaji wakubwa wa wauzaji wa depot's kubwa ambazo hushiriki kuhujumu mapato Kwa kutotoa risiti hivyo kupunguza uwasilishaji wa vat hivyo kupotea Kwa mapato.
2. KUPUNGUZA RUSHWA
Utaratibu huu wa makadirio mawilayani inaongeza tu gharama na kutengeneza mwanya wa RUSHWA Kwa watumishi wa TRA. Kodi ya VAT ikikusanywa direct itamsaidia kuondoa RUSHWA maana itakuwa Rahisi kuwadhibiti viwanda.
3. GHARAMA YA KUKUSANYA KODI ITAPUNGUA
Kukusanya Kodi ya VAT direct Toka Kwa kiwanda automatically kutapunguza Mzigo wa Serikali kuajiri wafanyakazi kufuatilia Kodi, au utapunguza KAZI Kwa watumishi hivyo kujikita na shughuli zingine Kwa ufanisi zaidi.
4. MAPATO YA SERIKALI YATAONGEZEKA
Kuminya mianya ya RUSHWA na upotevu wa mapato, automatically kutaipa Serikali mapato ya kutosha, hivyo kusababisha mapato ya Serikali kuongezeka.
Karibuni Kwa maoni na maboresho ya HOJA hapo juu 🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana.
Kiwanda Cha kuuza maji Cha Kilimanjaro Kwa Mfano, TRA wakiweka mfumo wa kujua Lita kiasi Gani zinazalishwa Kwa siku, mwezi Hadi mwaka, wanao uwezo Kwa kudai Kodi ya ongezeko la thamani VAT Toka kiwandani direct, kwanini wasuburi maji yaendelee kwenye vioski na deports ambazo nyingi hazina, au haxitoi EFD?
Viwanda vya kuzalisha cement, vinywaji, CHUMA ambavyo Bei zake zinafahamika, nk nk, Serikali Ina uwezo wa kukaa na wazalishaji na kukubaliana nao Ili wao ndio wawe wanalipa vat direct bila kusubiri Hadi muuzaji wa mwisho ndiye abanwe kulipa vat.
Hawa wauzaji wa mwisho, wabanwe kulipa Kodi ya mapato pekee, lakini VAT ikusanywe na kiwanda na kiwanda kiwasilishe VAT hiyo direct Kwa Serikali.
FAIDA YA SERIKALI KIKUSANYA VAT KUTOKA KWA KIWANDA DIRECT NI:
1. KUPUNGUZA UKWEPAJI KODI
Wauza maji na wafanyabiashara wauzao bidhaa za viwandani, wanaotembeza juani, hawana EFD hao ndio wauzaji wakubwa wa wauzaji wa depot's kubwa ambazo hushiriki kuhujumu mapato Kwa kutotoa risiti hivyo kupunguza uwasilishaji wa vat hivyo kupotea Kwa mapato.
2. KUPUNGUZA RUSHWA
Utaratibu huu wa makadirio mawilayani inaongeza tu gharama na kutengeneza mwanya wa RUSHWA Kwa watumishi wa TRA. Kodi ya VAT ikikusanywa direct itamsaidia kuondoa RUSHWA maana itakuwa Rahisi kuwadhibiti viwanda.
3. GHARAMA YA KUKUSANYA KODI ITAPUNGUA
Kukusanya Kodi ya VAT direct Toka Kwa kiwanda automatically kutapunguza Mzigo wa Serikali kuajiri wafanyakazi kufuatilia Kodi, au utapunguza KAZI Kwa watumishi hivyo kujikita na shughuli zingine Kwa ufanisi zaidi.
4. MAPATO YA SERIKALI YATAONGEZEKA
Kuminya mianya ya RUSHWA na upotevu wa mapato, automatically kutaipa Serikali mapato ya kutosha, hivyo kusababisha mapato ya Serikali kuongezeka.
Karibuni Kwa maoni na maboresho ya HOJA hapo juu 🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿