Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

Nimesema tra waweke mfumo mzuri wa kuwafanya viwanda ndio wawe walipaji wa VAT Kwa kuwa wao ndio wanamiliki chain ya tangu uzalishaji Hadi mtumiaji wa mwisho.

Ni vyema ungeboresha HOJA Badala ya kupinga tu bila fikra.
Soma vizuri concept ya VAT!

Value Added Tax!

Kuna productz zinaenda hadi mizunguko kumi ndo unaingia kuliwa.. ..hiyo mizunguko inatoa nafasi ya ongezeko la thamani...na mikunjo ya kodi ya Ongezeko la Thamani bado inaandamana na huo mzunguko.....au mkunjo...!

VAT haifi...inaendelea kuongezeka kadiri inavyopita kwenye Ongezeko la Thamani...!

Kwa hivo wazo la kukusanya VAT kwenye Viwanda haliwezekani na wala nature ya hiyo kodi haiko hivo!

Kwani mwenye kiwanda Ananua wapi Malighafi?

Na anaponunua VAT yake itaokotwaje?

Elimu
Elimu
Elimu!
 
Ni hivi.

Kiwanda cha maji kikinunua maji kwa shilingi 200 kwa lita, na kuya purify na kuyaweka kwenye chupa kwa gharama shilingi 800 kwa lita, kitalipia VAT hiyo "value added" ya shilingi 800 kwa lita. Ndiyo value iliyokuwa added kwenye maji ya shilingi 200 (ku purify na kuweka kwenye chupa).

Maji hayo yakiuzwa kwa shilingi 1200 kwa muuzaji barabarani, ambaye na yeye anayaweka kwenye friji, kwa gharama ya shilingi 200 kwa chupa, muuza maji naye atailipia hiyo value ya kupooza maji kwa sh 200 kwa lita kwenye friji kodi, hiyo ndiyo "value" aliyo add.

Ndiyo maana inaitwa "Value Added Tax".

Sasa, unatakaje mwenye kiwanda alipie kodi Value Added ya muuzaji kuweka maji kwenye friji, ambayo ni value iliyowekwa na muuzaji, wakati mwenye kiwanda hahusiki na hiyo value added ?
Ukiingalia kwa uzuri hii VAT ni jini tu
 
Soma vizuri concept ya VAT!

Value Added Tax!

Kuna productz zinaenda hadi mizunguko kumi ndo unaingia kuliwa.. ..hiyo mizunguko inatoa nafasi ya ongezeko la thamani...na mikunjo ya kodi ya Ongezeko la Thamani bado inaandamana na huo mzunguko.....au mkunjo...!

VAT haifi...inaendelea kuongezeka kadiri inavyopita kwenye Ongezeko la Thamani...!

Kwa hivo wazo la kukusanya VAT kwenye Viwanda haliwezekani na wala nature ya hiyo kodi haiko hivo!

Kwani mwenye kiwanda Ananua wapi Malighafi?

Na anaponunua VAT yake itaokotwaje?

Elimu
Elimu
Elimu!
Mantiki ya HOJA hujaielewa,

Rudia tena na tena kusoma.
 
Sina hakika kodi ninayo imaanisha mimi inaitwaje ila nitakupa mfano

Pepsi garama zao zote za kutengeneza soda moja ni Sh 250 wanajumlisha na faida yao sh 100 soda inakua 350

Serikali inaweka sh 100 kwenye kila soda, hapo soda hadi inatoka kiwandani inakua inauzwa (garama na faida)350 + 100(kodi) jumla 450

Soda itapita kwa muuzaji wa jumla kisha reja reja

Mushi Wa jumla atainunua soda sh450 ataongeza garama zake na faida sh 100 inakua 550 bei ya kumuuzia wa reja reja

Mangi duka reja reja nayeye akinunua 550 ataongeza 150 garama na faida na bei itakua 700 ambayo atainunua Mayu kukata kiu

Soda ikimaliza mzunguko makusanyo ya kodi yatakua hivi

Pepsi kwanza ataipa serikali ile 100 iliyowekwa kwenye kila soda
Halafu tena Pepsi italipa 18% ya faida aliyoweka kwenye soda

Mushi muuza jumla TRA atalipia 18% ya faida yake

Na Mangi duka atalipa asilimi 18% ya faida yake

Kwa mlolongo huo kuna kodi imewekwa direct na serikali sh 100 na kuna kodi 18% watalipa wafanyabishara kulingana na faida

Sijui nimeeleweka
Weka kimahesabu kabisa
 
Sina hakika kodi ninayo imaanisha mimi inaitwaje ila nitakupa mfano

Pepsi garama zao zote za kutengeneza soda moja ni Sh 250 wanajumlisha na faida yao sh 100 soda inakua 350

Serikali inaweka sh 100 kwenye kila soda, hapo soda hadi inatoka kiwandani inakua inauzwa (garama na faida)350 + 100(kodi) jumla 450

Soda itapita kwa muuzaji wa jumla kisha reja reja

Mushi Wa jumla atainunua soda sh450 ataongeza garama zake na faida sh 100 inakua 550 bei ya kumuuzia wa reja reja

Mangi duka reja reja nayeye akinunua 550 ataongeza 150 garama na faida na bei itakua 700 ambayo atainunua Mayu kukata kiu

Soda ikimaliza mzunguko makusanyo ya kodi yatakua hivi

Pepsi kwanza ataipa serikali ile 100 iliyowekwa kwenye kila soda
Halafu tena Pepsi italipa 18% ya faida aliyoweka kwenye soda

Mushi muuza jumla TRA atalipia 18% ya faida yake

Na Mangi duka atalipa asilimi 18% ya faida yake

Kwa mlolongo huo kuna kodi imewekwa direct na serikali sh 100 na kuna kodi 18% watalipa wafanyabishara kulingana na faida

Sijui nimeeleweka
Unamaanisha 100 tayari kiwanda kimeilipa na imo kwenye Bei ya soda.

Sasa kwann Serikali isiidai Moja Kwa moja Kutoka kiwandani,

Au kwanini Serikali usiweke sh 200 kwenye Bei Ili ije kuidai direct Toka Kwa kiwanda?

Hapo ndipo kwenye chanzo Cha tatizo🤔
 
Imekataliwa Kwa grounds zipi?

Funguka tafadhali.
Marekani kuna ugatuzi mkubwa sana wa mamlaka kutoka serikali kuu kwenda serikali za chini za majimbo na wilaya, mpaka za miji.

Hawa watu wanaamini sana katika local governments, watu wajipangie kodi zao nyingi wao wenyewe.

Sasa katika mfumo huo ambao una serikali za majimbo 50 (plus DC and territories), serikali za wilaya (counties) zaidi ya 3,000, na serikali za miji maelfu, ambazo nyingi zina maoni tofauti na hata kupingana kifalsafa kuhusu mambo ya kodi, ni vigumu kuwa na VAT moja ya kitaifa.

Hata Tanzania tukiwa na mfumo wa majimbo na ugatuzi wa madaraka kwenda serikali za chini/mitaa, hizi kodi nyingi wananchi watakuwa na nafasi kubwa ya kuzipinga na ku,iondoa, au kuzibadilisha ziwe na manufaa kwao zaidi.
 
Soma vizuri concept ya VAT!

Value Added Tax!

Kuna productz zinaenda hadi mizunguko kumi ndo unaingia kuliwa.. ..hiyo mizunguko inatoa nafasi ya ongezeko la thamani...na mikunjo ya kodi ya Ongezeko la Thamani bado inaandamana na huo mzunguko.....au mkunjo...!

VAT haifi...inaendelea kuongezeka kadiri inavyopita kwenye Ongezeko la Thamani...!

Kwa hivo wazo la kukusanya VAT kwenye Viwanda haliwezekani na wala nature ya hiyo kodi haiko hivo!

Kwani mwenye kiwanda Ananua wapi Malighafi?

Na anaponunua VAT yake itaokotwaje?

Elimu
Elimu
Elimu!
Mara zote GT unatakiwa kufikiri nje ya box.

Tukifanya hivyo, tutaweza kutatua matatizo am Ayo viongozi wetu wameshindwa yatatua.
 
Marekani kuna ugatuzi mkubwa sana wa mamlaka kutoka serikali kuu kwenda serikali za chini za majimbo na wilaya, mpaka za miji.

Hawa watu wanaamini sana katika local governments, watu wajipangie kodi zao nyingi wao wenyewe.

Sasa katika mfumo huo ambao una serikali za majimbo 50 (plus DC and territories), serikali za wilaya (counties) zaidi ya 3,000, na serikali za miji maelfu, ambazo nyingi zina maoni tofauti na hata kupingana kifalsafa kuhusu mambo ya kodi, ni vigumu kuwa na VAT moja ya kitaifa.

Hata Tanzania tukiwa na mfumo wa majimbo na ugatuzi wa madaraka kwenda serikali za mitaa, hizi kodi nyingi wananchi watakuwa na nafasi kubwa ya kuzipinga na ku,iondoa, au kuzibadilisha ziwe na manufaa kwao zaidi.
Serikali ya majimbo kumbe itatusaidia!!
 
Serikali ya majimbo kumbe itatusaidia!!
Sana tu, watu hawaelewi hivi vitu.

Zitasaidia kupinga sera za kijinga kutoka serikali kuu.

Na wananchi wataamua kama gavana wa jimbo analeta ujinga, wanamtoa kwenye kura. Gavana anakuwa si mteule wa rais, anakuwa anachaguliwa na wananchi.
 
Wewe umekakariri elimu ya mkoloni
Tunataka watu wanaotumia akili ya kuja na solution sio kutuletea theory walizo kariri za mazingira ya wazungu.
Kwa sasa suala la kukusanya VAT kwa mazingira yetu halitekelezeki kwa sababu
1. Wafanya biashara waliowengi hawana elimu (darasa la saba)
2. Wakusanyaji wanatumia ujinga wa wafanya biashara kujinufaisha
3. Rushwa kwenye kila hatua

Lazima tuje na njia rafiki itakayo endana na mazingira yetu; hiyo ulityo soma inaendana na mazingira ya Wazungu ambapo factor nilizotaja hapo juu kwao hazipo
Hajiulizi kwanini nyumba za watumishi wa TRA Zina sefu/ kasiki za kutunzia pesa za RUSHWA!!

Mtumishi anakutwa na 7 bn, huo mfumo wa Kodi corrupt upitiwe UPYA.
 
Tunataka watu wanaotumia akili ya kuja na solution sio kutuletea theory walizo kariri za mazingira ya wazungu ambayo ni tofauti kabisa na ya kwetu;
Kwa sasa suala la kukusanya VAT kwa mazingira yetu halitekelezeki kwa sababu;
1. Wafanya biashara wetu waliowengi hawana elimu (darasa la saba)
2. Wakusanyaji wanatumia ujinga wa wafanya biashara kujinufaisha
3. Mifumo ya manual ya ufuatiliaji wa kodi ambapo hutumia gharama kubwa na kuleta usumbufu kwa wafanya biashara
4. . Rushwa kwenye kila hatua

Tatizo la elimu yetu tangu chekechea inafundisha watu kukariri, haifundishi watu kutumia akili ili kutatua changamoto; ndio sababu kila mtu hata Doctor anawazia kuajiriwa.....
Tukitaka kufaniliwa lazima tuje na njia rafiki itakayo endana na mazingira yetu; hiyo uliyo soma inaendana na mazingira ya Wazungu ambapo changamoto nilizotaja hapo juu hazipo kwao ...
Mazingira ya wazungu. Kwamba kuna standard ya waAfrika na standard ya kizungu? Vipi utafuata mfumo watu waliotumia wakafanikiwa au wwwe utakuja na wa kwako mpya ambao ni unproven na untested?
 
Mazingira ya wazungu. Kwamba kuna standard ya waAfrika na standard ya kizungu? Vipi utafuata mfumo watu waliotumia wakafanikiwa au wwwe utakuja na wa kwako mpya ambao ni unproven na untested?
Huo mfumo ni failure kwetu.

Watanzania wangapi Wana account bank na wanapitishia mzunguko wao bank na kutunza kumbukumbu za matumizi ya biashara zao Kwa ajili ya return?

Inawezekana vipi mtu mwenye mtaji wa ml 5 kwenye biashara yake kuajiri muhasibu wa kupeleka return Kila mwezi?

Huoni mfumo huu upo kuwatajirisha watumishi wa TRA?

Mfumo wa Kodi ni copy na paste, kwetu Hauna reality,

Tukae chini tuufumue,tuuboreshe Ili tusonge mbele.
 
Salaam, Shalom,

Wote tunafahamu kuwa uagizaji wa mafuta Kwa Mfano, Huwa mafuta yanapopakuliwa Kutoka kwenye meli, Huwa Lita zinafahamika na Kodi ya Serikali Huwa tayari inajulikana.

Kiwanda Cha kuuza maji Cha Kilimanjaro Kwa Mfano, TRA wakiweka mfumo wa kujua Lita kiasi Gani zinazalishwa Kwa siku, mwezi Hadi mwaka, wanao uwezo Kwa kudai Kodi ya ongezeko la thamani VAT Toka kiwandani direct, kwanini wasuburi maji yaendelee kwenye vioski na deports ambazo nyingi hazina, au haxitoi EFD?

Viwanda vya kuzalisha cement, vinywaji, CHUMA ambavyo Bei zake zinafahamika, nk nk, Serikali Ina uwezo wa kukaa na wazalishaji na kukubaliana nao Ili wao ndio wawe wanalipa vat direct bila kusubiri Hadi muuzaji wa mwisho ndiye abanwe kulipa vat.

Hawa wauzaji wa mwisho, wabanwe kulipa Kodi ya mapato pekee, lakini VAT ikusanywe na kiwanda na kiwanda kiwasilishe VAT hiyo direct Kwa Serikali.

FAIDA YA SERIKALI KIKUSANYA VAT KUTOKA KWA KIWANDA DIRECT NI:

1. KUPUNGUZA UKWEPAJI KODI
Wauza maji na wafanyabiashara wauzao bidhaa za viwandani, wanaotembeza juani, hawana EFD hao ndio wauzaji wakubwa wa wauzaji wa depot's kubwa ambazo hushiriki kuhujumu mapato Kwa kutotoa risiti hivyo kupunguza uwasilishaji wa vat hivyo kupotea Kwa mapato.

2. KUPUNGUZA RUSHWA
Utaratibu huu wa makadirio mawilayani inaongeza tu gharama na kutengeneza mwanya wa RUSHWA Kwa watumishi wa TRA. Kodi ya VAT ikikusanywa direct itamsaidia kuondoa RUSHWA maana itakuwa Rahisi kuwadhibiti viwanda.

3. GHARAMA YA KUKUSANYA KODI ITAPUNGUA
Kukusanya Kodi ya VAT direct Toka Kwa kiwanda automatically kutapunguza Mzigo wa Serikali kuajiri wafanyakazi kufuatilia Kodi, au utapunguza KAZI Kwa watumishi hivyo kujikita na shughuli zingine Kwa ufanisi zaidi.

4. MAPATO YA SERIKALI YATAONGEZEKA
Kuminya mianya ya RUSHWA na upotevu wa mapato, automatically kutaipa Serikali mapato ya kutosha, hivyo kusababisha mapato ya Serikali kuongezeka.

Karibuni Kwa maoni na maboresho ya HOJA hapo juu 🙏

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
NAUNGA MKONO HOJA
 
Mzalishaji wa kiwandani atachajiwaje kodi ya value ambayo ataongeza muuzaji wa mwisho?

Unaelewa kwamba muuzaji wa mwisho naye anaongeza value?

Hujaelewa wapi huo mfano wa muuzaji wa mwisho kuongeza value ya maji kwa kuyaweka kwenye friji na kuyapoza?
Mkuu VAT haina uhusiano na added value on a product
 
Mzalishaji wa kiwandani atachajiwaje kodi ya value ambayo ataongeza muuzaji wa mwisho?

Unaelewa kwamba muuzaji wa mwisho naye anaongeza value?

Hujaelewa wapi huo mfano wa muuzaji wa mwisho kuongeza value ya maji kwa kuyaweka kwenye friji na kuyapoza?
Hii ni njia sahihi ya kukusanya hiyo kodi na kuandoa double taxation na kila muuzaji atairejea kupitiaa bei ya bidhaa husika hadi mraji wa mwisho. Tukumbuke kuwa VAT ni kodi ya mraji ambao ni mtu wa mwisho.
Aidha njia hii itaogeza wigo wa kodi na kuleta usawa wa mazingira kwa wafanyabiashara wote. Kwa sasa hali ilivyo bidhaa za wafanyabishara walio na usajili wa VAT ziko juu kuliko za wasio na usajiri. Mazingira haya yanaleta pool and push factor na kwa hulka ya binadamu ya kutaka unafuu, wananunua kwa wafanyabiashara wasio na usajiri wa VAT. Mazingira hayo yanawafanyawale waliosajiria VAT kuingia kwenye majadiliano na wanunuzi ili wapunguziwe bei kama watakubali kutopewa risiti
 
Back
Top Bottom