Paulolaurent
Member
- Nov 21, 2024
- 31
- 49
Mkuu em nifanyie na mimi uchunguzi wa tsht na swetaLet's talk, what's your plan? Nikutaftie price za kariakoo kwa nguo gan hapo juu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu em nifanyie na mimi uchunguzi wa tsht na swetaLet's talk, what's your plan? Nikutaftie price za kariakoo kwa nguo gan hapo juu?
Akitaka kuagiza aagize mkuu, mm siuzi hata nguo moja katika hizo. Wanaonijua wanajua biashara yangu ni machimbo tu. Although aagize kwanza alafu arudi kuleta mrejesho. Mjadala huru na kila mtu ana maamuzi, wewe kama unampa moyo D-Smart muahidi utarudisha nusu ya hela yoyote atakayoingia loss ili iwe win-win situationUnamkatisha tamaa ili anunue kwako?
mkuu kwa ujuavyo wewe kama nikitaka ku base na biashara za mtandaoni Ecommerce ni vitu gani nje ya nguo vinaweza kuleta faida labdaAkitaka kuagiza aagize mkuu, mm siuzi hata nguo moja katika hizo. Wanaonijua wanajua biashara yangu ni machimbo tu. Although aagize kwanza alafu arudi kuleta mrejesho. Mjadala huru na kila mtu ana maamuzi, wewe kama unampa moyo D-Smart muahidi utarudisha nusu ya hela yoyote atakayoingia loss ili iwe win-win situation
Habari wana JF,
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuagiza nguo za special za kupoint kutoka kwa wauzaji mbalimbali mtandaoni, hasa kwenye mitandao kama Alibaba. Hii ni biashara ambapo nitachagua nguo chache chache kutoka kwa wauzaji tofauti, badala ya kuagiza kwa wingi.
View attachment 3157898
Ningependa kujua uzoefu wa wale ambao tayari wameingia katika biashara hii, na kama inalipa. Pia, ningependa kujua:
View attachment 3157891
View attachment 3157901
- Je, biashara hii inalipa? – Kama umewahi kuagiza nguo za special za kupoint kutoka Alibaba au mitandao mingine, je, ilikuwaje? Je, ulikuwa na faida?
- Changamoto gani umezikutana nazo? – Zipo changamoto zinazoweza kuharibu biashara hii? Kama ni hivyo, ni zipi na jinsi gani umeweza kuzishinda?
- Vigezo vya kuchagua bidhaa bora – Je, ni vigezo gani vya kuzingatia wakati wa kuchagua nguo za special kutoka kwa wauzaji wa Alibaba ili kuepuka hasara?
- Ushauri kuhusu mifano ya picha – Kama unajua sehemu nzuri ya kupata mifano bora ya nguo za special, tafadhali nipe ushauri au viungo ili niweze kuangalia.
View attachment 3157896
Nitashukuru kwa majibu yenu, na pia nitashirikisha picha za mifano niliyopata kutoka kwa wauzaji wa Alibaba ili mjue aina ya bidhaa ninayozungumzia.
Asanteni!
campuscitymall.com
At least vyombo kwa quantity ndogo unaweza kuagiza ukapata faida. Nina rafiki angu alikuwa anaagiza mpaka sufuria 5 na anapata faida. Angalia na phone accessories hasa charge na earphonesmkuu kwa ujuavyo wewe kama nikitaka ku base na biashara za mtandaoni Ecommerce ni vitu gani nje ya nguo vinaweza kuleta faida labda
Inategemea na quality ya bidhaa unayonunua unaweza kuta hiyo bei ya Tsh 14000 ndio zile fwamba jaribu kufuaMan mm naongea kwa experience. Kun kitu tuliagiza mpaka kufika bongo kikasimamia 17 kipo dukani. Kuna mbongo mwenzetu kariakoo anauza 14 kitu hikohiko
Hapana, mm mpaka nasema hivyo nishafanya research na nisharialize mana kuna kipindi niliagiza pochi nikakutana na kesi hiyo. So yule jamaa aliagiza mzigo wa kutosha mm niliagiza pochi 25 tu. Ndo nikakutana na kimeo hiko! Kumbe bora ningenunua kwake.Inategemea na quality ya bidhaa unayonunua unaweza kuta hiyo bei ya Tsh 14000 ndio zile fwamba jaribu kufua
kwa maana hio mkuu cha kuzingatia ni bei na rating za muuzaji maana yake ikiwa juu tegemea mzigu mzuri na bei ya chini ni kitukoHapana, mm mpaka nasema hivyo nishafanya research na nisharialize mana kuna kipindi niliagiza pochi nikakutana na kesi hiyo. So yule jamaa aliagiza mzigo wa kutosha mm niliagiza pochi 25 tu. Ndo nikakutana na kimeo hiko! Kumbe bora ningenunua kwake.
So kama kuna watu wanataka tuone itakuaje, D-Smart tukutoe kafara agiza ulete mrejesho. Hizo tisheti ya 800 china ikifika hapa bongo utaiweka chin ya mlango pale tufutie miguu. Mana wengi walizichukua wakazisweka ndani
Vp mkuu kama unapatikana kariakoo nataka nije apo siku so nyingi unisaidie kujua machimbo ya bizaa nipo arushaAkitaka kuagiza aagize mkuu, mm siuzi hata nguo moja katika hizo. Wanaonijua wanajua biashara yangu ni machimbo tu. Although aagize kwanza alafu arudi kuleta mrejesho. Mjadala huru na kila mtu ana maamuzi, wewe kama unampa moyo D-Smart muahidi utarudisha nusu ya hela yoyote atakayoingia loss ili iwe win-win situation
Usione vyaelea vimeundwa niliagiza Shein track suit nilipoipata quality ovyoo sana , so angalai chines wasijekutia cha kike pisi moja za kupoint huko alibaba sijui kama watakuuzia .Habari wana JF,
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuagiza nguo za special za kupoint kutoka kwa wauzaji mbalimbali mtandaoni, hasa kwenye mitandao kama Alibaba. Hii ni biashara ambapo nitachagua nguo chache chache kutoka kwa wauzaji tofauti, badala ya kuagiza kwa wingi.
View attachment 3157898
Ningependa kujua uzoefu wa wale ambao tayari wameingia katika biashara hii, na kama inalipa. Pia, ningependa kujua:
View attachment 3157891
View attachment 3157901
- Je, biashara hii inalipa? – Kama umewahi kuagiza nguo za special za kupoint kutoka Alibaba au mitandao mingine, je, ilikuwaje? Je, ulikuwa na faida?
- Changamoto gani umezikutana nazo? – Zipo changamoto zinazoweza kuharibu biashara hii? Kama ni hivyo, ni zipi na jinsi gani umeweza kuzishinda?
- Vigezo vya kuchagua bidhaa bora – Je, ni vigezo gani vya kuzingatia wakati wa kuchagua nguo za special kutoka kwa wauzaji wa Alibaba ili kuepuka hasara?
- Ushauri kuhusu mifano ya picha – Kama unajua sehemu nzuri ya kupata mifano bora ya nguo za special, tafadhali nipe ushauri au viungo ili niweze kuangalia.
View attachment 3157896
Nitashukuru kwa majibu yenu, na pia nitashirikisha picha za mifano niliyopata kutoka kwa wauzaji wa Alibaba ili mjue aina ya bidhaa ninayozungumzia.
Asanteni!
Ushauri mzuri sanaAgiza kupitia Watanzania mawakala walioko kulekule, hii itakusaidi kupata hata Ushauri wa Nguo zinazouzika ..
Mtafute Kibenje KK
Watu washaagiza hizo wakalia ukitaka nikupe namba zao uwaulize ilikuaje nikutumie mmk
kwa maana hio mkuu cha kuzingatia ni bei na rating za muuzaji maana yake ikiwa juu tegemea mzigu mzuri na bei ya chini ni kituko
Nicheki inbox mkuu, mm nipo na hii ndo biashara yanguVp mkuu kama unapatikana kariakoo nataka nije apo siku so nyingi unisaidie kujua machimbo ya bizaa nipo arusha
Kelvin haagizi kila kitu... hiyo utaifanya kwa kelvin lazima iwe katika customised . Kuna wengine wanaitwa chapchapAgiza kupitia Watanzania mawakala walioko kulekule, hii itakusaidia kupata hata Ushauri wa Nguo zinazouzika ..
Mtafute Kibenje KK
Hivi kwa akili yako ya kawaida tisheti kali imesimama inaweza kuuzwa 800? Huo mtumba wenyewe hupati bei hiyok
kwa maana hio mkuu cha kuzingatia ni bei na rating za muuzaji maana yake ikiwa juu tegemea mzigu mzuri na bei ya chini ni kituko
Ndio ndionamanisha value for money mkuu unapata kulingana na hela yako pia kuzingatia rating za supplier