Ushauri kuhusu Biashara ya Kuagiza Nguo za Special za Kupoint Mtandaoni kutoka Alibaba - Je, Inalipa?

Unamkatisha tamaa ili anunue kwako?
Akitaka kuagiza aagize mkuu, mm siuzi hata nguo moja katika hizo. Wanaonijua wanajua biashara yangu ni machimbo tu. Although aagize kwanza alafu arudi kuleta mrejesho. Mjadala huru na kila mtu ana maamuzi, wewe kama unampa moyo D-Smart muahidi utarudisha nusu ya hela yoyote atakayoingia loss ili iwe win-win situation
 
mkuu kwa ujuavyo wewe kama nikitaka ku base na biashara za mtandaoni Ecommerce ni vitu gani nje ya nguo vinaweza kuleta faida labda
 
 
mkuu kwa ujuavyo wewe kama nikitaka ku base na biashara za mtandaoni Ecommerce ni vitu gani nje ya nguo vinaweza kuleta faida labda
At least vyombo kwa quantity ndogo unaweza kuagiza ukapata faida. Nina rafiki angu alikuwa anaagiza mpaka sufuria 5 na anapata faida. Angalia na phone accessories hasa charge na earphones
 
Inategemea na quality ya bidhaa unayonunua unaweza kuta hiyo bei ya Tsh 14000 ndio zile fwamba jaribu kufua
Hapana, mm mpaka nasema hivyo nishafanya research na nisharialize mana kuna kipindi niliagiza pochi nikakutana na kesi hiyo. So yule jamaa aliagiza mzigo wa kutosha mm niliagiza pochi 25 tu. Ndo nikakutana na kimeo hiko! Kumbe bora ningenunua kwake.

So kama kuna watu wanataka tuone itakuaje, D-Smart tukutoe kafara agiza ulete mrejesho. Hizo tisheti ya 800 china ikifika hapa bongo utaiweka chin ya mlango pale tufutie miguu. Mana wengi walizichukua wakazisweka ndani
 
k
kwa maana hio mkuu cha kuzingatia ni bei na rating za muuzaji maana yake ikiwa juu tegemea mzigu mzuri na bei ya chini ni kituko
 
Vp mkuu kama unapatikana kariakoo nataka nije apo siku so nyingi unisaidie kujua machimbo ya bizaa nipo arusha
 
Usione vyaelea vimeundwa niliagiza Shein track suit nilipoipata quality ovyoo sana , so angalai chines wasijekutia cha kike pisi moja za kupoint huko alibaba sijui kama watakuuzia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…