Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Kwa mimi binafsi nilishindwa kuendesha duka la Wines &Spirits kutokana na kuwa ni mnywaji mno, nikaishia kulifilisi flat kabisa! KWAHIYO SITOONGEA NENO!

Lakini ukiwa na nia ya kufungua duka la aina hiyo kwanza ujiridhishe sana na sehemu husika!

Duka la Wines and Spirits linatakiwe liwe strong sana, lakini liwe na system ya surveilance maana mtu akichukua katoni moja ya eg Barcadi au Amarula, then ana uhakika kula siku kadha.

Ni njema kama litakuwa mjini, au eneo lenye constant patrols za wanausalama, hii ni kutokana na Sales zake kuwa za amounts kubwakubwa, na ni rahisi sana kuingiliwa na wajasiriamali wenye mtaji AMBAO NI NGUVU YAO WENYEWE!

PJ mmh

Kwa hiyo ulikuwa unaingia dukani unafungua Whisky moja unakandamiza ,huku ukiamini utailipia pale ukiwa na hela
ikawa safari moja uanzisha nyingine mpaka duka letu ukalifilisi.

Asante sana kwa mchango wako na ushauri nimepata kitu. Ne je ni kweli mpaka niwe na mtaji kuanzia 100m?
 
Mi ukiniweka meneja kazi itafanyika kwa ufanisi alafu Asprin anakuwa jikoni
Hapo inategemea na mtaji wako unaweza anza kidogo kidogo huku ukiendelea kuongeza mtaji.

Unaweza anza na creti 200 za bia ili wateja wasikose biya na unaweka mavinywaji yanayo nyweka sana kama mdogo ake safari, mjomba ake safari, binamu yake safari bila kusahau viloba vya kutosha kwa bei ya jumla hayo maBallantines mdogo mdogo

Fidel80 huna nia njema
Meneja Fidel80
Asprin Jikoni
Bigirita...Kuhakikisha stock haikosekani
TF
Hapa nitafunga bar
 
Mkuu FL1,
Ona mfano wa duka la vinywaji vikali!

Ushauri wa Bure:
Jaza aina tofauti za viroba kwa wingi sana, maana ndizo pombe kali za Wanywaji wa hali ya kati na chini!... ha ha haa!
Kuhusiana na mtaji wa 100M, si lazima...wekeza hela kwenye uimara wa duka kwa kuanzia, mtaji waweza weka hata nusu ya hiyo fedha(lakini isipungue).

inside_shop.jpg
 
Kuna kipindi nilikuwa nina mpango wa kufanya hii biashara hasa kuagiza spirits kutoka Europe na sehemu nyingine niliposhauriwa kuna feki nyingi sikuendelea tena lakini bado nina amini ni biashara nzuri sana kwa sababu ya wingi wa wanywaji.

Mtazamo wangu kama hauingizi kutoka nje ni vizuri ukaanza na mtaji mdogo(chini ya 100m) ukailewa hiyo biashara kwanza
 
POMBE SHOP ni wazo zuri sana mkuu, lakini pia lazima uangalie mazingira unayoweka wateja wako wakubwa ni wapi, naamini unataka kuuza jumla kwa wenye Bar na wauzaji wengine wa rejareja. Nakushauri ufanye research ya soko lako kwanza, vinginevyo utawekeza fedha nyingi kwenye bidhaa isiyo na mlaji.
 
pombe shop ni wazo zuri sana mkuu, lakini pia lazima uangalie mazingira unayoweka wateja wako wakubwa ni wapi,naamini unataka kuuza jumla kwa wenye bar na wauzaji wengine wa rejareja. Nakushauri ufanye research ya soko lako kwanza, vinginevyo utawekeza fedha nyingi kwenye bidhaa isiyo na mlaji.

Asante sana kwa ushauri amoeba nimekuelewa nitaufanyia kazi.
 
FirstLady

pia hii wanaita Liquor Shop au Bottle store, ukiweza kupata space kubwa unaweza ukawa na coldroom au Beer Cellar (walk in display cold freezers) ukaweka vinywaji vya aina zote vikiwa baridi especially beers, ukauza vinywaji hivi kwa wingi sana, wenye sherehe na shughuli mbali mbali watakimbilia kwako kwani utauza wholesale na vinywaji vikiwa baridi, hii style niliionaSouth Africa.

wazo ni zuri ukiweka ubunifu ikawa na uniqueness, kwa nje unaweza weka jiko zuri na mchoma nyama na kuku kama take away ili kuweza ku attract biashara

beer cave.jpg
 
Fungua mwanza pale mjni italipa vizuri dar biashara itakuwa ngumu, usiende kufungua makoroboi, mahina weka duka sehemu iliyo pembezoni mwa barabara kuu c'se wateja wako wengi watakuwa ni wale wenye usafiri binafsi. Na pia kuhusu mtaji si lazima uwe wa mamilioni 40 unaweza kuwa na hata chini ya 15m.

Nakushauri kwenye hilo duka uweke na wine za hapa nyumbani ndio zinapendwa sasa hivi, kuna vikundi vya wajasiliamali wanatengeneza natural wine nzuri sana with pure organic grapes na hazina makemikali na bei zao ni rahisi. Binafsi huwa nanunua wine za nyumbani ni nzuri sana ukilinganisha na za nje.

Ukishaonana nao unaweza kukubaliana nao wakutengenezee wine zenye specifications unazozitaka wewe, hapa utafanikiwa sana. Kuhusu vikundi vya wasindikaji unaweza kuwapata dodoma, tabora. Hii pia itakusaidia kumatch na budget yako

Hii biashara ni ngumu kwa kiasi fulani ukizingatia hali ya kifedha ya watanzania wengi, usiweke ma whisk ya 600,000/= yataozea dukani. Jaribu kuweka bidhaa ambazo ni affordable kwa wengi, kwa mwanza am sure italipa c'se soko bado halijavamiwa
 
Fungua mwanza pale mjni italipa vizuri dar biashara itakuwa ngumu, usiende kufungua makoroboi, mahina weka duka sehemu iliyo pembezoni mwa barabara kuu c'se wateja wako wengi watakuwa ni wale wenye usafiri binafsi. Na pia kuhusu mtaji si lazima uwe wa mamilioni 40 unaweza kuwa na hata chini ya 15m.

Nakushauri kwenye hilo duka uweke na wine za hapa nyumbani ndio zinapendwa sasa hivi, kuna vikundi vya wajasiliamali wanatengeneza natural wine nzuri sana with pure organic grapes na hazina makemikali na bei zao ni rahisi. Binafsi huwa nanunua wine za nyumbani ni nzuri sana ukilinganisha na za nje.

Ukishaonana nao unaweza kukubaliana nao wakutengenezee wine zenye specifications unazozitaka wewe, hapa utafanikiwa sana. Kuhusu vikundi vya wasindikaji unaweza kuwapata dodoma, tabora. Hii pia itakusaidia kumatch na budget yako

Hii biashara ni ngumu kwa kiasi fulani ukizingatia hali ya kifedha ya watanzania wengi, usiweke ma whisk ya 600,000/= yataozea dukani. Jaribu kuweka bidhaa ambazo ni affordable kwa wengi, kwa mwanza am sure italipa c'se soko bado halijavamiwa

Asante sana kwa mawazo mazuri kuna mtu kasema 100m ndo inaweza nitosha nafanyia kazi mawazo yako asante.
 
FirstLady

pia hii wanaita Liquor Shop au Bottle store, ukiweza kupata space kubwa unaweza ukawa na coldroom au Beer Cellar (walk in display cold freezers) ukaweka vinywaji vya aina zote vikiwa baridi especially beers, ukauza vinywaji hivi kwa wingi sana, wenye sherehe na shughuli mbali mbali watakimbilia kwako kwani utauza wholesale na vinywaji vikiwa baridi, hii style niliionaSouth Africa,

wazo ni zuri ukiweka ubunifu ikawa na uniqueness, kwa nje unaweza weka jiko zuri na mchoma nyama na kuku kama take away ili kuweza ku attract biashara

View attachment 48935
Asante sana ndugu nathamini mchango wako nitaufanyia kazi.
 
Wapendwa,

Samahani kama hili lilishaulizwa lakini ni kwa nia ya kujua na kuelimishana kwa wale watakaosoma uzi huu mara ya kwanza.

- Naomba kujua pa kuanzia ninapotaka kuwa na biashara ya vinyaji vya jumla, bidhaa inapatikana wapi?
Faida yake ni sh ngapi kwa:

1. Crate ya beer
2. Crate ya soda
3. Maji madogo
Maji makubwa

- Je, nisajili biashara, TRA nalipia kiasi gani kwa mwezi au inategemea na mauzo?
 
Wapendwa,
Samahani kama hili lilishaulizwa lakini ni kwa nia ya kujua na kuelimishana kwa wale watakaosoma uzi huu mara ya kwanza.
- Naomba kujua pa kuanzia ninapotaka kuwa na biashara ya vinyaji vya jumla, bidhaa inapatikana wapi?
Faida yake ni sh ngapi kwa:
1. Crate ya beer
2. Crate ya soda
3. Maji madogo
Maji makubwa

- Je nisajili biashara, TRA nalipia kiasi gani kwa mwezi au inategemea na mauzo?
Crate za bia na soda unanunua kwa wauzaji eg cocacola au pesi kwa soda na za bia unanunua kwa kampuni husika au wakala wao. maji unaenda azam unanunua kiasi chako. TRA kulipia ni baada ya mauzo. Biashara hii ni nzuri na inalipa sana kama una wateja wengi au upo katika location nzuri- kwa sababu faida per crate ni kidogo hivyo lazima mauzo kwa siku yawe makubwa sana.
 
Heshima kwenu mtakaopitia uzi huu kwa kweli ninahitaji msaada wa kimawazo jinsi ya kuanzisha huu mradi huu kwani frame ninayo haiitaji kodi na pia friji ninalo.

Mradi huu utahusisha vinywaji mbalimbali mfano wa bar (mini-bar) na nina mtaji wa shilingi 250000 tu.
hivyo naomba ushauri wenu wadau.

Natanguliza shukurani zangu kwenu
 
Heshima kwenu mtakaopitia uzi huu kwa kweli ninahitaji msaada wa kimawazo jinsi ya kuanzisha huu mradi huu kwani frame ninayo haiitaji kodi na pia friji ninalo.

Mradi huu utahusisha vinywaji mbalimbali mfano wa bar (mini-bar)
na nina mtaji wa shilingi 250000 tu.
hivyo naomba ushauri wenu wadau.

Natanguliza shukurani zangu kwenu

Kwa ufupi jaribu kutambua aina ya vinywaji ambavyo vinapendwa na watu wa eneo ulilopo. Na pia ulipaswa kufanya japo utafiti mdogo wa kuweza kutambua aina ya vinywaji ambavyo unataka kuuza na bei zake,ususani kwa bei ya jumla.

Lakini nakupa siri nyingine,ukitaka kufanya kitu kama hicho jaribu kuwadodosa au kuwachunguza wanaofanya biashara ya aina hiyo.
 
Kwa ufupi jaribu kutambua aina ya vinywaji ambavyo vinapendwa na watu wa eneo ulilopo. Na pia ulipaswa kufanya japo utafiti mdogo wa kuweza kutambua aina ya vinywaji ambavyo unataka kuuza na bei zake,ususani kwa bei ya jumla.
Lakini nakupa siri nyingine,ukitaka kufanya kitu kama hicho jaribu kuwadodosa au kuwachunguza wanaofanya biashara ya aina hiyo.
Asante sana kaka mungu akubariki na kukufungulia zaidi riziki zako.
 
Hello wajasiriamali, poleni na shughuli za hapa na pale.

Samahani napenda kujua kuhusiana na biashara hii, changamoto zake na kama inalipa.

Natamani kufungua duka hili katika makazi mapya ambapo naona huduma hii haipo.

Natanguliza shukrani zangu.
 
Back
Top Bottom