Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[USER=156619]Bw.Daffa unamaanisha kua hata kutoa ushauri imani yako haikuruhusu?
Waweza kuanzisha biahsara yoyote mahari popote ili mladi tu kuna watu wanao hitaji huduma zako, kingile labda inabidi ujiulize ze ni watu wangapi wanao hitaji huduma yako? Pili je wako tayali kununua/kulipa kiasi gani kupata kile wanachohitaji?. maana biashara ya wine inahitaji uvumilivu sanaaa haiko kama biahsara zingine
/QUOTE]
Mkuu jaribu tu kunielewa sina nia mbaya,so long kuna vitu kadhaa umevitaja kama kiwango cha uhitaji na uwezo wa kununua(level of demand and quantity demanded as well as purchasing power) Labda niseme kwamba moja ya factor yenye nguvu kwenye hiyo biashara yako ni Mahali(Location where business is found) hii ni kwa sababu kuna maeneo unaweza kuinga hata kwenye migigoro na watu wanaokuzunguka(kwa sababu za kiimani au kistaarabu) pamoja nakukosa soko kabisa:Zingatia hilo Mkuu.
Bw.Daffa unamaanisha kua hata kutoa ushauri imani yako haikuruhusu????????????????
waweza kuanzisha biahsara yoyote mahari popote ili mladi tu kuna watu wanao hitaji huduma zako, kingile labda inabidi ujiulize ze ni watu wangapi wanao hitaji huduma yako???????? pili je wako tayali kununua/kulipa kiasi gani kupata kile wanachohitaji?. maana biashara ya wine inahitaji uvumilivu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haiko kama biahsara zingine
Mkuu jaribu tu kunielewa sina nia mbaya,so long kuna vitu kadhaa umevitaja kama kiwango cha uhitaji na uwezo wa kununua(level of demand and quantity demanded as well as purchasing power) Labda niseme kwamba moja ya factor yenye nguvu kwenye hiyo biashara yako ni Mahali(Location where business is found) hii ni kwa sababu kuna maeneo unaweza kuinga hata kwenye migigoro na watu wanaokuzunguka(kwa sababu za kiimani au kistaarabu) pamoja nakukosa soko kabisa:Zingatia hilo Mkuu.
Biashara ya wine nijuavyo mimi sio fast moving kwa baadhi ya maeneo kama vinywaji vingine. Ukiweka bia za jumla walau utauza kwa kutegemea na grocery na bar zilizopo eneo husika ila uwe na mtaji wa kueleweka uweze kuweka varieties za kutosha sio mteja anakuja mara aina hii imeisha hizo siweki nk
Hongera kwa kuwa na wazo.Ukianza ni note nitakuunganisha kwa kampuni wanayoweza kununua kutoka kwako wanakulipa in 35 days.Watakupa hata confirmed orders hata kama ni kidogo lakini average kama za laki 2 kwa mwezi . Kwa kujua tu,kwanini kwenye makao mapya na si penye wateja wa wines na spirits.
Ndugu zangu salam. Napenda kujua ni mtaji kiasi gani unahitajika kuanzisha biashara tajwa hapo juu ya vinywaji baridi kwa jumla kama maji ya kunywa, soda na juice za azam. Asanteni
Tatizo la Watanzania huwa hawajielezi vizuri, mi nashindwa kukusaidia. Sema upo wapi? Una mtaji wa shilingi ngapi? Nataka ufanye biashara eneo gani? unataka vinywaji vya kampuni gani?
Tatizo la wtanzania huwa hawajielezi vizuri, mi nashindwa kukusaidia. sema upo wapi?, una mtaji wa shilingi ngapi? unataka ufanye biashara eneo gani? unataka vinywaji vya kampuni gani?
Ukiangalia urudishaji wa mtaji utaona kwamba anarudisha 10% kwa mwaka hii inaweza chukua muda mrefu sana yeye kurudisha pesa yake.