Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Gross Margin yake kutoka kwenye mauzo ni 40,000. Chukua mauzo ya 40,000 gawanya kwa 1,000,000
 
Nina mdogo wangu anafanya, yeye yupo Kijitonyama na anafanya jumla. Mtaji wake ulikuwa 13 Million, na anamauzo sasa kwa wastani wa million 1 kwa siku, na faida yake ni 40,000 wastani kwa siku. Ukiangalia kwa karibu utaona faida ni 4% ya mapato baada ya kutoa gharama za uendeshaji, hii (razor skin margin) ni faida ndogo sana na hatari zake ni kwamba ukienda kwenye mtikisiko wowote ule biashara inakufa. Ukiangalia urudishaji wa mtaji utaona kwamba anarudisha 10% kwa mwaka hii inaweza chukua muda mrefu sana yeye kurudisha pesa yake.

Ushauri wangu ni kwamba hii biashara inaitaji uangalizi wa hali ya juu sababu ya mzunguko wake wa fedha ni mwingi lakini faida yake ni ndogo sana. Kama unaweza tazama biashara angalia yoyote yenye 10-15% faida baada ya kuondoa gharama za uendeshaji. Biashara hii nafananisha na upigaji tofali zote hizi maumivu makali.

Ungemalizia na alternative biashara au afanye nini kuepuka hilo ningekuona wa maana zaidi!
 
Mnaogopa tu biashara, na mtabaki tu kuwa hivyo hivyo, ndo maana Said Bakhresa falsafa yake inawasumbua watu wengi sana. Watu wanapenda shortcuts tu ila ni hivi kwa bidhaa za softdrinks profit margin yake ni ndogo sana, kitu kama tsh 300/carton, sasa inategeme utachukua kiasi gani, kuhusu namna ya kupata mzigo toka kiwandani in bulk ni pm, utapata kwa nafuu sana, wholesale1
 
Habari wana Jamiiforums,

Tunapenda kuwaarifu kwamba kuna duka ambalo lipo tunauza wine tofauti tofauti, tunauza kwa jmla na rejareja kama utahitaji, pia vile vile tupo tayari kukupa mzigo mkubwa kama umeona bei zetu nzuri au upo tayari kukaa na kuongea tunaweza kufanya biashara. Pia kwa wenye baa tunaweza kuwauzia vile vile

Tupo maeneo ya kinondoni makuburini na number yetu ni 0654 214583.

Bei zetu zipo hivi :


HEINEKEN = 3,000/= WINDHOK = 3,000/= REDBULL = 2,500/= BALTICA = 2,000/= DODOMA WINE = 12,000/=

DOMPO = 8,000/= NAMAQUA = 14,000/= CHAMDOR = 12,000/= ALTRA = 8,000/= VALUE = 2,500/=

BAVARIA = 2,000/= KONYAGI 750ML = 7,500/= MATEUS = 20,000/= HEAVEN = 8,000/=
VAT = 20,000/=

JAMESON = 30,000/= JACK DANIEL 750ML = 40,000/= JACK DANIEL 200ML = 15,000/= ST ANNA = 8,000/=

ST CELINE = 7,500/= ST MORAND = 7,500/= ST RAPHAEL = 7,500/= DROSTDHOF RED 750ML = 12,000/=

DROSTDHOF RED 200ML = 12,000/= ROBERTSON RED = 9,500/= ROBERTSON RED = 9,500/=

BEST WISKY = 4,000/= GORDNOS = 25,000/= BLACK LABEL = 50,000/= SMINROFF 750ML = 20,000/=

SMIRNOFF 200ML = 6,500/= AMARULA 750ML = 22,000/= AMARULA 350ML = 14,000/= GRANTS 750ML = 21,000/=

GRANTS 200ML = 7,500/= ZANZI KIROBA = 19,500/= KONYAGI KIROBA = 11,000/= OBIKWA = 12,000/= NEDERBURG = 20,000/=

REDS = 2,500/= DRAGONS = 2500/= PENASOL = 7500/=

Pia vile vile tunatoa offer kama utataka kununua rejareja kuanzia chupa 10 basi tutakulea popote ulipo kwa Dar es saalam.

Karibuni sana na number yetu ni hii piga utoe order na upate information zaidi au kwa maulizo ya bei piga hii number
0654 214583.
 
Hizo ndiyo bei tunazonunulia huku mtaani.

Hebu angalia vizuri hizo bei kwanza then sema mkuu...vile vile kama unaona bei sana na unataka mzigo wa kutosha wewe piga simu utapewa kwa bei nzuri....
 
Hebu angalia vizuri hizo bei kwanza then sema mkuu...vile vile kama unaona bei sana na unataka mzigo wa kutosha wewe piga simu utapewa kwa bei nzuri....

Kiongozi, sijasema kwa lengo baya bali nimejaribu kukupa changamoto. Hizo bei ulizoainisha ndiyo bei tunazonunulia asilimia kubwa ya vinywaji ulivyotaja.

Na nyingine bei yako ni kubwa hata kuliko bei ya mtaani: Mf: Konyagi Ml. 750 unauza Tsh. 7500 wakati mtaani inauzwa kwa Tsh. 6000, Baa Tsh. 7000 Labda kama bidhaa zako zina ubora zaidi ya hizi tunazonunua huku kitaa.
 
Kiongozi, sijasema kwa lengo baya bali nimejaribu kukupa changamoto.
Hizo bei ulizoainisha ndiyo bei tunazonunulia asilimia kubwa ya vinywaji ulivyotaja. Na nyingine bei yako ni kubwa hata kuliko bei ya mtaani:

Mf: Konyagi Ml. 750 unauza Tsh. 7500 wakati mtaani inauzwa kwa Tsh. 6000, Baa Tsh. 7000
Labda kama bidhaa zako zina ubora zaidi ya hizi tunazonunua huku kitaa.

Mkuuu kila biashara changamoto lazima iwepo na kueleweshana kama hivi ni muhimu ila nadhani bei zipo sawa kabisaaa ndio maana hapo mwanzo nikasema endapo unachukua mzigo mkubwa mazungumzo yapo.
 
Mkuuu kila biashara changamoto lazima iwepo na kueleweshana kama hivi ni muhimu ila nadhani bei zipo sawa kabisaaa ndio maana hapo mwanzo nikasema endapo unachukua mzigo mkubwa mazungumzo yapo...

Sawa.
Kila la heri Kiongozi.
 
Viywaji bado vipo vya kutosha na bei rahisi.
 
Hizo ndiyo bei tunazonunulia huku mtaani.

Hizo heineken bar yenyewe tunanunua 2500 tena kino hapo hapo, nenda Dar joint pale ndo bei, pitia full shangwe ndo bei hyo
 
Hizo heineken bar yenyewe tunanunua 2500 tena kino hapo hapo, nenda Dar joint pale ndo bei, pitia full shangwe ndo bei hyo

Powaa kabisaa mkuu wala hamna tatizo ni bora kufunguka so bei zetu kwa ujumla umezionaje lakini??pia vile vile tunaendelea ku review hizo amount hapo juu
 
Habari wandugu,

Katika kuhangaika nimepata mtaji kidogo.

Na kutokana na mazingira nikaona duka la Jumla la vinywaji pamoja na mikate ama vitafunwa litanifaa. Ila nimekwama kwa wapi naweza kupata kiwanda ama mtengenezaji bora wa vitafunwa vilivyookwa kwa wingi kwa mjini Dar es salaam.

Pia ninawezaje kupata vinywaji vya Jumla kwa mfano take away za cocacola na vingine kama twist.
Maji ya kunywa n.k.

Msaada tutani Tafadhali.
 
Pia ninawezaje kupata vinywaji vya Jumla kwa mfano take away za cocacola na vingine kama twist,
Maji ya kunywa n.k.
Msaada tutani Tafadhali.

Mwenge karibu na kilipokuwa kituo cha zamani...

Ukimaliza tu stendi ya zamani kama unaelekea Nakiete kuna jamaa wanauza bidhaa za Cocacola kwa jumla...

Nadhani pia kiwanda cha Cocacola huwa kinauzia watu bidhaa zake kwa wale mnaotaka kwa jumla kama wewe na hukodisha/hutoa viti, meza na miamvuli...
 
Back
Top Bottom