Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema unatakiwa ujipange kukabiriana na Majambazi pindi wanapokuja kuchukua Mauzo yako. Maana Majambazi wanavamia sana izi biasharaMafinga jamani nikifungua duka la wine na pombe kali La jumla na rejareja italipa
Me nitakuwa nafunga mapema sana jamaniSema unatakiwa ujipange kukabiriana na Majambazi pindi wanapokuja kuchukua Mauzo yako. Maana Majambazi wanavamia sana izi biashara
Kama uko Mbeya suala la friji sio la muhimu sanaMmi Niko mbeya,
Umefikia wapi mkuuWana JF habari za Jumapili!
Naamini na ntaendelea kuamini kuwa JF ni kisima cha hekima na ushauri na ndio maana naleta kwenu ombi la ushauri juu ya uaanzishaji wa duka la vivywaji vya jumla.
Kimsingi eneo nilipo linauhitaji wa duka la vinywaji vya jumla, baada ya kugundua hilo nimeona nipate ushauri namna ambavyo naweza kuanzisha duka hilo
Kwa haraka haraka eneo (Location) kwa ajili ya biashara hiyo ipo na ni centre nzuri tu.
Mwenye uzoefu namna ambavyo naweza kuanza biashara hiyo, kiasi cha mtaji , vinywaji kipaumblele, namna ambavyo naweza ku-link na depo za makapuni ya vinywaji hasa kwa mkoa wa (Arusha) kwa ajili ya ununuzi na la msingi kabisa upatikaji wa cret kwa ajili ya kuanzia, namna ya ununuzi wa pombe kali yaani gin, grands, wine na jamii zake.
Kwa mawazo na uwezo wangu nilitaka nianze na cred 100 za beer, 100 za soda, kuhusu vinywaji vikali ntaomba kushauriwa zaidi!
Nashukuru kwa ushauri ambao utatolewa!!
Karibuni kwa ushauri.
Kwanza lazima nijue unamtaji kiasi gani, pili biashara ya makreti itakusumbua kama mtaji wako nimdogo kwani kreti 100 huwezi kua agent Bali utanunua kwama agent na faida itakua ndogo. Ila ushauri wangu deal na box tu kama mtaji nimdogo.
Naweza mkuu bila hiyana.kaka nahitaji ufaham kidogo wa biashara hii u naweza nisaidia
Nina mdogo wangu anafanya, yeye yupo Kijitonyama na anafanya jumla. Mtaji wake ulikuwa 13 Million, na anamauzo sasa kwa wastani wa million 1 kwa siku, na faida yake ni 40,000 wastani kwa siku. Ukiangalia kwa karibu utaona faida ni 4% ya mapato baada ya kutoa gharama za uendeshaji, hii (razor skin margin) ni faida ndogo sana na hatari zake ni kwamba ukienda kwenye mtikisiko wowote ule biashara inakufa. Ukiangalia urudishaji wa mtaji utaona kwamba anarudisha 10% kwa mwaka hii inaweza chukua muda mrefu sana yeye kurudisha pesa yake.
Ushauri wangu ni kwamba hii biashara inaitaji uangalizi wa hali ya juu sababu ya mzunguko wake wa fedha ni mwingi lakini faida yake ni ndogo sana. Kama unaweza tazama biashara angalia yoyote yenye 10-15% faida baada ya kuondoa gharama za uendeshaji. Biashara hii nafananisha na upigaji tofali zote hizi maumivu makali.
Boda boda kwa 150? Mkuumkuu nakushauri ungenunua boda boda tu halafu chukua 50 kwa wiki itakulipa sana. sidhani kama biashara ya vinywaji utapata faida hiyo
wewe si umeandika hapo kwamba mtaji uliokuwa nao ni 1.5 MBoda boda kwa 150? Mkuu
Ndiyo mkuu 1.5mwewe si umeandika hapo kwamba mtaji uliokuwa nao ni 1.5 M
ambayo ni million moja na nusu. au nimeelewa vibaya
haya fata Link hii kuna mtu anaweza kukusaidia kwenye biashara ya vinywaji.Ndiyo mkuu 1.5m