Ushauri kuhusu uchaguzi wa godoro bora

Upo wapi mkuu?
 
Godoro langu lilinesa nesa siku ya kwanza kulalia ila baada ya hapo ni majanga na limekuwa ulimi kinoma .Nliambiwa ni tanform nkatoa 150k,kuja kusoma vizuri limeandikwa Dodoma sijui nn...kuwa makini mkuu usiuziwe fyamba
 
Godoro langu lilinesa nesa siku ya kwanza kulalia ila baada ya hapo ni majanga na limekuwa ulimi kinoma .Nliambiwa ni tanform nkatoa 150k,kuja kusoma vizuri limeandikwa Dodoma sijui nn...kuwa makini mkuu usiuziwe fyamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gogoro n kuanzia laki nne kwenda mbele

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Tanform Walinipigia Wakaniambia Popote Ulipo Tanzania Wana Mawakala Wao
Unachofanya Unawasiliana Arusha Unapewa Ya Kiwandani Unaelekezwa Ulipo Na Wakala Wao Unabeba
 
Reactions: Tui
Mkuu chukua godoro Dodoma hutajuta, nafikiri ina lifetime guarantee maana mimi nimetumia zaidi ya miaka 15 na hayaonyeshi dalili ya kuchakaa.
Dodoma ndo best miaka buku.
 
Mkuu chukua godoro Dodoma hutajuta, nafikiri ina lifetime guarantee maana mimi nimetumia zaidi ya miaka 15 na hayaonyeshi dalili ya kuchakaa.
Inategemea na Dodoma upi
 
Hilo godoro la tanfoam la spring silielewagi kabisa.

Yaani unalala kama unaelea vile na zile spring zinaumiza pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…