Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Kawasaki ninja ipo tofauti mzee Kuna jamaa kaeleza vizuri hapo Juu ila kama uko makini unaishi nayo TuHivi dereva anaeweza endesha pikipiki hizi za kawaida kama boxer,kinglion nk hawezi endesha kawasaki ninja?
Fata Ushauri wa Huyu jamaa ila kama Hela huna chukua HONDA CLICKVhukua CBR600 itakufaa sana, hakikisha unavaa safety gears kwa kila safari unayotoka hata kama sio mbali.
Kuhusu uendeshaji, utazingatia tu kwamba hiyo ni sport bike, ina nguvu kubwa tofauti na bike ya kawaida. Anza kwa kuiendesha mdogomdogo usivuke speed 60kph kwa muda wa week moja, alafu baada ya hapo utaanza kuongeza speed mdogo mdogo kadri unavyozidi kuielewa na kuizoea bike.
Katika mwezi mmoja tu wa mwanzo utaweza kuifahamu na kuielewa vizuri bike yako, kuanzia torque, balance kwenye corner na namna inavyo react unaposhika brakes n.k
Usiogope mkuu, ni jitihada na umakini tu.
Anaendesha vizuri kabisa. Mimi sijawahi endesha pikipiki, nikajifunza kwenye kinglion week, yangu CBR650 ikawa ishafika nikaamia, Power difference kubwa lakini kwa heshima nilimudu. Ingawa risk sana.
Vhukua CBR600 itakufaa sana, hakikisha unavaa safety gears kwa kila safari unayotoka hata kama sio mbali.
Kuhusu uendeshaji, utazingatia tu kwamba hiyo ni sport bike, ina nguvu kubwa tofauti na bike ya kawaida. Anza kwa kuiendesha mdogomdogo usivuke speed 60kph kwa muda wa week moja, alafu baada ya hapo utaanza kuongeza speed mdogo mdogo kadri unavyozidi kuielewa na kuizoea bike.
Katika mwezi mmoja tu wa mwanzo utaweza kuifahamu na kuielewa vizuri bike yako, kuanzia torque, balance kwenye corner na namna inavyo react unaposhika brakes n.k
Usiogope mkuu, ni jitihada na umakini tu.
Anaendesha vizuri kabisa. Mimi sijawahi endesha pikipiki, nikajifunza kwenye kinglion week, yangu CBR650 ikawa ishafika nikaamia, Power difference kubwa lakini kwa heshima nilimudu. Ingawa risk sana.
Mkuu tusemezane Pm nina shida hapo UngujaHivi dereva anaeweza endesha pikipiki hizi za kawaida kama boxer,kinglion nk hawezi endesha kawasaki ninja?
Handling na Blake cause by SpeedMkuu naomba experience kdogo risk ni kama zipi[emoji120]
Swala la kuzindukia hospital ukakuta daktari kashika glander cutter anatoa baadhi ya viungo kwenye mwili wako ni kawaida saaanaMkuu naomba experience kdogo risk ni kama zipi[emoji120]
Fuata ushauri huu
Kama hujawahi kutumia/kuendesha sport bikes ni vyema ukaanza na yenye power ndogo/kawaida ili kupata uzoefu.
Sitosahau panigale V4 ilichonifanya siku ya kwanza tu kwa tamaa ya haya madude lakini ndio chombo naipendasana sasa🙌
na nitaisafirisha Mungu akijalia.
Chukua hata yamaa cbr 150 itakufaa ziko njemaHonda click 150cc m5.9 mpya kwa safari za 30km kwa wiki mara 4-5 naambia itachoka mapema pia unguja click ni kila kona naifikilia cbr 600 ila hofu mkuu kwa maneno ya wadau
Mchumba kanitoa jasho sana huyo.View attachment 2778902
Panigale V4.
Hongera Mkuu kumiliki hii chuma.
Hii ni zaidi ya kumiliki dem mkali.
Fuata ushauri huu
Kama hujawahi kutumia/kuendesha sport bikes ni vyema ukaanza na yenye power ndogo/kawaida ili kupata uzoefu.
Sitosahau panigale V4 ilichonifanya siku ya kwanza tu kwa tamaa ya haya madude lakini ndio chombo naipendasana sasa[emoji119]
na nitaisafirisha Mungu akijalia.
Sifahamu kiasi gani lakini kwa ushauri agiza toka kenya hapo I'm pretty sure utaokoa gharama nyingi tu.Mkuu chuma kama hiyo mpaka bongo inaenda ngap
Ingia Cycle trader au mtafute Offshore SeamenWakuu kupitia huu uzi naomba kuuliza hivi hizi pikipiki used kuna soko gani la nje kama vile be forward na SBT unaweza ukaagiza mwenyewe