Uchaguzi 2020 Ushauri kunusuru upinzani ‘kidharura’: CHADEMA msimamisheni Membe, ACT msiweke mgombea bara; Haitawapa ushindi ila itawasaidia kuendelea ku 'savaivu'

Nashukuru umenielewa na ndio maana ukajibu.

Mara ya mwisho nimeitwa baby baada ya kumbanjua demu mmoja mkali usiku kucha, today is the second time

Thanks sweetie
Kumbe demu wangu una demu, huwa namuita baby "niliemkaza".

Don't waste my time next time, usinilazimishe kuwa na akili ndogo kama zako, niletee mwingine kwenye kundi lenu.
 
Kumbe demu wangu una demu, huwa namuita baby "niliemkaza".

Don't waste my time next time, usinilazimishe kuwa na akili ndogo kama zako, niletee mwingine kwenye kundi lenu.
Sawa kisura
 

Azizi Mussa, wewe nadhani una tatizo lako binafsi....

Unatetea jambo hili kwa hoja dhaifu sana zilizo ktk msingi wa HOFU tu. Nimelieleza hili kwa ufasaha hapo juu post #50. Unaweza kurudia kusoma tena....

Labda nikuulize jambo moja. Suppose tungekuwa na mfumo wa wagombea huru (wasio na vyama vya siasa). Akagombea Urais na kushinda. Huyu atawezaje kuongoza serikali?

Sijui wewe utajibu nini. Lakini jibu rahisi ni hili. Tanzania ina watu zaidi ya 55,000,000. Ashindweje mtu huyu kuunda serikali huku taifa likiwa na hazina ya human resources ya zaidi ya milioni 55??....Sijui kama unanielewa...

Hapa hata ndugu John Pombe Magufuli yumo kwenye namba hii ya watu milioni 55 na katika serikali mpya anaweza jikuta ameukwaa uwaziri wa miundonbinu au samaki kwa sababu ya uzoefu na uwezo wake wa kukariri kilometa za barabara na idadi ya samaki na dagaa majini....

Nimefafanua jambo hili vizuri hapo juu ktk post #50, kwamba, mifumo ya kidola na kiutumishi ya nchi iko yoyote static. Yenyewe haiathiriwi na nani ni Rais ama chama gani kimeshinda urais....

Kinachoweza kubadilika ni kidogo ni miundo tu ya taasisi hizi ili kuweza ku - accomodate Sera na mipango ya aliyeshinda....

Kumbuka jambo hili pia, kwamba, wanaotawala nchi ni WANANCHI mwenyewe kupitia kwa mtu aliyewashawishi kwa sera na mipango yake ya atafanya nini iwapo atachaguliwa ktk uchaguzi wowote...

Tukieelewa dhana hii ya demokrasia na kuifanyia kazi kwa uaminifu sawasawa na inavyotakiwa na kuachana na UONGO na UKIRITIMBA tunaolishwa na vyama vya siasa, nchi hii itapiga hatua za haraka sana za maendeleo ya KIJAMII na KIUCHUMI kuliko ilivyo sasa....
 
Membe ni mgombea Urais kupitia CCM, ni suala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…