Ushauri Kwa BAVICHA na CHADEMA; Someni Historia ya Nchi hii, mnajidhalilisha kwa wenye akili

Ingekuwa inatenda haki mahabusu wasingejaa
 

Kumbe ulikuwa umesema haya:

"Wanajeshi hawa ukisoma kesi hii walipitia msoto wa uhakika ikiwemo torture ili kupata kiundani mipango yao"

Si ungejitolea mkuu kutoa ushahidi upande wa utetezi kuwa washitakiwa kwa standard za polisi wetu, watakuwa wamepitia msoto wa uhakika ikiwamo torture?

Kumbe wewe hujui kuwa upande wa mashtaka unakanusha hilo kata kata?

Unajua jaji anauhitaji ukweli wa nini haswa kilijiri ambao ndiyo ulio msingi wa pingamizi lililopo mikononi mwake sasa hivi?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!

Hiiiiii bagosha.
 
Kama unakubali kuigwa ya Guantanamo kwa nini unapinga ushoga?
Torture haiigwi ni human nature, before mzungu afike Africa torture ilikuwepo kwenye chiefdoms, jiulize kwanini Shaka Zulu alikimbiwa uje na majibu…huo ushoga wenu its against nature. …
 
Nyie mnaonufaika na utawala dhalimu lazima muutetee tu bila kujali watu wanateseka na kufa ili mradi matumbo yenu yajae.

Hawa Vijana wanaoshabikia ccm wanasumbua sana mtaani kutwa kuomba vihela, kazi hawafanyi kutwa kuvaa Minguo ya kijani na kuwapamba wabunge wao na madiwani....Ohhhhh sijui wateleta maji, ooohhh mara barabara kwani kusingekuwepo ccm barabara maji na n.k visingekuwepo? Kwan hela za maendeleo wanatoa mifukoni mwao?
vijana fanyeni kazi achaneni na kijani kutwa kushinda kwenye viofisi vya kijani na njano.....shikeni jembe mkalime....mnatuangusha sana.
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Wanauhuru wa kuongea, kutoa maoni au kuonesha misimamo Yao...
 
Nyie acheni uzwazwa, kesi gani ambayo washitakiwa hawateswi? Kama kutesa ni warrant ya kufuta kesi, basi wote walioshitakiwa waachiwe huru.
Upumbavu at its best kwa middle class wa kitanzania
 
Ujumbe gani sasa uliotoa hapo au unahisi nani halifahamu hilo swala la kina Hanspope?? Na je Hio inshu ya kina Hanspope na ya Mbowe vina relation mkuu?? Au na wewe ulisimuliwa halaf umekuja na ki-thread ukoko chako hapa.

Hivi huyu mwamba amebadili gia lini maana kumbukumbu zangu za kipindi cha uchaguzi mwaka jana yeye ndo alikuwa anajaza threads hapa kumponda Magu na kumtetea Lissu? Huyu jamaa kama sio Kigogo mwenyewe sijuhi!!Sio kwa hii U-turn.
 
Mbowe haponi hata kura yangu haikupona mliikomba, wanaccm ndio raia daraja la kwanza nchi hii. Wewe ungejua historia ya nchi hii ungejua mwingereza hakuwaua wala kuwafunga waliopigania uhuru, aliondoka bila kuacha kesi yoyote ya ugaidi.
Mwisho, BAVICHA na CHADEMA wanahusikaje kwenye kesi zaidi ya wewe kujionesha ni mpenda kubambikia watu kesi. Hilo la Mbowe si gaidi ni la wapenda haki wote kasoro wewe mwanaccm na baadhi ya wanaccm. Ujue leo Jumamosi wapo wanaccm watakaomtembelea Mbowe jela kwa kuwa wanaamini hakuna ugaidi wa shilingi laki sita na kununuliana nyama choma.
 
Mtoa mada tupo kwenye utawala wa sheria na si zama za dictator nyelele.hao kina kingai na mahita baada ya kesi kumalizia lazima tuwatafute wakiwa hai au wamefariki ili walipe gharama za matendo yao.haiwezekani wanajeshi wateswe Kisha watesaji waendelee kunywa mvinyo kwenye sturi ndefu,watesaji wataishi maisha mithili ya digdigi.
 

Kwamba Mbowe haponi?

Kama kupata Maelezo ya Adamoo, sheria ilikiukwa, Yatatupwa

Habari ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…