Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #361
Pole kwa kukosa posho! . Hata hivyo nimeshauri mlipwe tuu kwa vile fungu lilishatengwa, ila sasa kesho mjiunge na JWTZ kufanya usafi!.Pasco acha hahari zako wengine tunahamu ya kuvunja watu wewe unaleta sanaa za kuwapa ushauri sisi tutapata wapi watu wa kupiga? Acha waje tufanye kazi yetu tupate posho za kazi ya kutukuka.
Wanaojua! .Mbowe aliwakataza Bavicha wasiende dodoma watatumia njia za kimahakama kudai haki zao. Sasa nini kimebadili msimamo wao na Lowasa aliyewashauri kuwa maandamano hayasaidii? Hivi hawa ndugu zetu wanajua wanasimamia nini?
Frema, mimi ni mtu wa maandamano, tangu yale ya Mwembechai, yale ya Zanzibar ya 2001, kule Zanzibar nimelala Mwembe Madema!. Maandamano mengine yote nilikuwepo! .Pasco we mjanja sana. Unauma na kupuliza. Nilikusoma hapa ukiunga mkono maandamano, ulikua tayari kuandamana. Bisha!
Nakubaliana na wewe ila bora kujenga daraja kuliko ukuta! .Pasco, Hizo sababu zako zote ndizo zinazofanya Chadema waseme kuwa inatosha. Tuweke ukuta ili Katiba isiendelee kuvunjwa na udikteta usiendelee kushamiri. Inatosha. Lazima kuwe na utawala wa sheria sasa. Inatosha. Lazima mihimili yote iwe sawa! Lazima wazalendo wa kweli wapinge hayo kwa nguvu bila woga! Namuunga mkono Magufuli kwa nia yake njema, lakini Chadema nao wana hoja!!!
Much respect! , kuna watu mliona mbali!.Chadema wametangulia akili sana, ungejiuliza ni kwa nini mikutano imewekwa mwezi mmoja mbele?
Kuna mabingwa wa mikakati wanazijuwa akili zenu mtalipuka mapovu yote kabla hata tarehe waliotangaza Chadema haijafika Dunia nzima itakuwa inajuwa kwamba kuna tatizo Magogoni.
Mimi ningelikuwa Rais ningewaambia wapinzani anaetaka kuandamana hata kila siku ruksa tu na aandamane.
Hii ndio best medicine aliitumia Nyerere kwa Mrema, aliwaambia Polisi wamwache Mrema tena tu si kwa wanaosukuma gari lake bali wambembe kabisa.
Bado sielewi kama ccm mpaka leo kama wanakumbuka sawasawa misingi ya mwalimu ilikuwa ni ipi!
Ili kuweka kumbukumbu sawa, nchi hii mtu wa kwanza kushtakiwa kwa kosa la uchochezi ni Baba wa Taifa.
I'd like to differ, "a dead man is no more!". You better live in shame but alive!. People will call you names, shameful!, coward! , etc but you are a live!, kuliko a dead hero who is just a name and honours but the body inside 6 ft under will rot and reduction to dust!.Pasco, kuna tatizo kubwa la kimantiki katika post yako. Ili kuona jinsi hoja yako isivyokidhi matakwa ya tafakuri ya kimantiki (logical reasoning), ione jinsi ilivyo katika mizania (syllogistic form): (1) Kitiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano kwa uhuru; (2) Rais Magufuli amepiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa; na (3) Chadema wakae kimya! Kutokana na ulivyojenga hoja yako, hitimisho tu ambalo lingeifanya iwe na mantiki ni hili: "Magufuli amevunja katiba hivyo mamlaka husika (bunge) inapaswa kumchukulia hatua". Kwa upande mwingine, kama Chadema watafanya mikutano na madhara yakatokea, kwa kuzingatia kanuni ya causality (uhusiano wa kisababishi na matokeo), mkosaji (culprit) ni yule aliyekiuka matakwa ya katiba na siyo waliotetea na kulinda haki yao ya kikatiba. Kiuhalisia, umewashauri Chadema wawe wanafiki na wasiozingatia kanuni za kimaadili (unprincipled). "It is better to die with honour than to live with shame".
Ushauri umesikilizwa, jee sasa kimekoma kuwa chama cha siasa? .
Pasco
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, nawashauri kwa dhati kabisa, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia ni dikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!.
The Principle of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powes), huki kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa the executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote inamamlaka na hakuna mhimili wowote uliokuwa unapaswa kuwa na mamlaka kuliko mhimili mwingine, lakini kiukweli, mhimili wa the executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa the executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia bunge, anaingilia mahakama na watu wamenyamaza!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the sepaation po powes kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!".
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana msalie mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo bunge na mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kutimiza wajibu wao!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Pasco
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Ukitoa ushauri fulani, kisha ushauri huo ukafuatwa, mtu unapaswa kuja tena na kumpongeza huyo aliyefuata ushauri wako, hata kama kilichofanyika sio lazima kiwe ni kutekeleza ushauri ulioutoa wewe, bali ni utekelezaji wa ushauri walioutoa wengine, lakini the subject matter ni ile ile ya ushauri wako, kuwa Chadema wasiandamane, na hawakuandamana tena!.
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, nawashauri kwa dhati kabisa, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia ni dikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!.
The Principle of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powes), huki kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa the executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote inamamlaka na hakuna mhimili wowote uliokuwa unapaswa kuwa na mamlaka kuliko mhimili mwingine, lakini kiukweli, mhimili wa the executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa the executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia bunge, anaingilia mahakama na watu wamenyamaza!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the sepaation po powes kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!".
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana msalie mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo bunge na mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kutimiza wajibu wao!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Pasco
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Nafanya Rejea kuhusu the doctrine of separation of powers.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, nawashauri kwa dhati kabisa, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia ni dikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!.
The Principle of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powes), huki kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa the executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote inamamlaka na hakuna mhimili wowote uliokuwa unapaswa kuwa na mamlaka kuliko mhimili mwingine, lakini kiukweli, mhimili wa the executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa the executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia bunge, anaingilia mahakama na watu wamenyamaza!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the sepaation po powes kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!".
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana msalie mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo bunge na mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kutimiza wajibu wao!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
FYIPaskali nakubaliana na wewe kwa mengi uliyoyandika (maandishi mekundu). Ila, kama mwandishi wa habari nguri, unajua visababishi vya matukio amabayo uleta mapambano kati ya Polisi na Raia.
Unaelezaje pale swala linalopaswa kufikishwa mahakamani, viongozi wa kisiasa wanahamsisha wanachama wao, raia wasio na hatia, kuingia barabarani kuandamana, wakati kuna ushahidi kuwa siyo wote huandamana kwa amani, wapo wahalifu hutumia nafasi hiyo kufanya uhalifu au vurugu tu!
Hivi wewe Paskali uliwahi au unaweza kushiriki maandamano yasiyo na kibali, kwa sababu yoyote ile?
P.
Wanabodi,
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
- certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
- mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
- prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
- habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
- quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
- procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.
The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.
Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.
Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
??????????????!!!!!!!!Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
- certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
- mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
- prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
- habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
- quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
- procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.
The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.
Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.
Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
- certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
- mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
- prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
- habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
- quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
- procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.
The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.
Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.
Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...
Paskali umenishangaza unajua na umekiri wazi mahakama haipo huru na tunajua majaji wanateulewa na mwenyekiti wa ccm. Sasa chadema wakafungue kesi wapi? Mbinguni mm nawashauri chadema waandae maandamano nchi nzima
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kutoa ushauri wa bure, huu ni ushauri wa bure kwa Chadema, japo kuandamana na mikutano ya kisiasa ni haki iliyotolewa kihalali ndani ya katiba, kitendo cha rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa ni kinyume cha katiba!, rais Magufuli hana mamlaka ya kuzuia jambo lolote ambalo katiba imeruhusu, hivyo zuio la rais Magufuli kwa mikutano ya kisiasa, japo ni zuio batilii, lakini kwa vile Magufuli ndio Mkuu wa nchi, kila atakalosema, litatekelezwa tuu hata kama ni kinyume cha Katiba, mpaka pale vyombo vyenye uwezo wa kumdhibiti rais, vitakapo mdhibiti. Vyombo hivyo ni Bunge na Mahakama!. Hivyo alichokifanya rais Magufuli is nothing else Zaidi ya udikiteta at the highest nature na highest stages!. Dawa pekee ya kuzuia udikiteta huu sio maandamano, bali ni kutumia legal redress kwa Chadema kufungua shauri Mahakama Kuu, kuomba rasmi tafsiri ya kisheria ya katazo la rais kwa kutumia kitu kinachoitwa prerogative orders kinachoombwa kupitia Judicial Review.
Hizi Prerogative orders ziko 6, ila maarufu zaidi ni 3.
Hivyo nawashauri kwa dhati kabisa Chadema, udikiteta haupingwi kwa maandamano, kama Chadema mnajipenda, tafadhalini sana msiandamane, sitisheni hiyo Operesheni UKUTA, na badala yake undeni jopo la wanasheria nguli, mfungue shauri mahakamani, badala ya kuwasumbua wanachama na wafuasi wenu kuandamana for nothing, kwa sababu kwenye udikiteta, kutumia maandamano kupingwa kuvunjwa kwa katiba, ni nothing!, mtaachieve nothing, na sana sana mtaishia kuumizwa na kuwaumiza wanachama, wapenzi na wafuasi wenu kwa kuutumia ule msemo wa Kiswahili "Mwenye nguvu mpishe", hata kama una haki, usitake kujipima nguvu kwa kutunishiana misuli na mtu mwenye nguvu zaidi yako, utaumia!. Na sio tuu mtu huyo ana nguvu zaidi yako, bali tayari, umeishajua pia kuwa ana hulka ya udikiteta, na ndio mwenye nguvu ya dola mikononi mwake!.
- certiorari, an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
- mandamus, an order issued by a higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
- prohibition, directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
- habeas corpus, demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
- quo warranto, requiring a person to show by what authority they exercise a power.
- procedendo, to send a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment.
Misingi ya Katiba na The Rule of Law
Tanzania ni nchi inayofuata misingi ya katiba na sheria, (the rule of law) ambapo nchi inapaswa kuendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni, na sio kwa matamko ya viongozi yanayokwenda kinyume cha katiba!. Tangu rais Magufuli ameingia madarakani, ameisha onyesha kwa kauli na matendo kuwa kwake Katiba sio kitu!, it is nothing!, dawa ya mtu wa aina hii ni kuitumia katiba kumuwajibisha kwa kumfikisha mahakamani, akumbushwe kuwa nchi haindeshwi kwa matakwa binafsi ya mtu, bali inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kama zilivyoainishwa kwenye katiba. Rais Magufuli atakumbushwa kuwa, kwa vile aliapishwa kuifuata, kuilinda na kuitekeleza katiba ya JMT, then ni lazima akiheshimu kiapo chake, kinyume cha hapo ni udikiteta tuu huu!.
The Doctrine of Separation of Powers With Check and Balance.
Nchi yetu ina mihmili mikuu mitatu, Serikali, (the executive), Bunge (The Legislature) na Mahakama (The Judiciary). Mihimili hii yote mitatu, ina nguvu za mamlaka sawa zinazojitegemea, bila kuingiliana, (powers), lakini nguvu hizo zinatenganishwa ili nguvu ya mamlaka moja isiingilie nguvu ya mamlaka nyingine, (separation of powers), huku kila mhimili ukiwa ni mwangalizi na mlinzi wa mhimili mwingine usivuke mipaka ya nguvu na mamlaka yake, kwa kufanya checks and balance, yaani ku act as a watchdog wa muhimili mingine.
Serikali yenye Nguvu, Bunge Butu na Mahakama Kibogoyo!.
Mihimili hii, inaongozwa na viongozi ambao wana mamlaka kuu kuhusu mihimili yao. President ndio mkuu wa The Executive, Spika ndio mkuu wa The Legistlature, na Jaji Mkuu, ndie mkuu wa The Judiciary, lakini pamoja na nia njema kuwa mihimili yote ina mamlaka na hakuna mhimili wowote unaopaswa kujiinua juu Zaidi na kuwa na mamlaka kuu kuliko mhimili mwingine in theory, lakini kiukweli in practical, mhimili wa The Executive ndio mhimili mkuu unaomiliki vyombo vya dola na kuitawala mihimili mingine yote!, hivyo mkuu wa The Executive, yaani rais, ndio kila kitu!, akisema!, amesema!. Rais anaingilia Bunge, Bunge lipo na linaingiliwa huku linatazama tuu na linanyamaza, hili ni Bunge gani kama sio Bunge Butu?!, rais anaingilia mhimili wa Mahakama, Mahakama ipo na ina meno, lakini haiwezi kung'ata, hii ni Mahakama gani kama sio Mahakama Kibogoyo?, ila yote ni tisa kumi ni sisi wananchi, ndio wenye katiba, ndio tuliomuajiri rais Magufuli awe rais wetu kwa kura zetu, hivyo sisi ndio mabosi wake!. Serikali ipo kwa ajili yetu, Bunge lipo kwa ajili yetu, na mahakama ipo kwa ajili yetu, ila nasi kwa sababu hatujui wajibu wetu, nasi tupo tuu tumenyamaza tunaangalia!.
Rais Magufuli na Uvunjaji wa Katiba.
Tuambiane ukweli, tangu rais Magufuli ameingia madarakani, sio mara moja au mbili amekuwa akitoa kauli tata, zinazokwenda kinyume cha katiba, na kinyume cha kanuni ya the separation of powers kwa kuiamumuru mihimili ya Bunge na Mahakama kufanya hiki au kile, wakati mihimili hiyo ilipaswa kuingilia kati kwa kuicheck serikali kwa kumcheck mkuu wa the executive, lakini vyombo hivyo vimekaa kimya hivyo kumfanya rais ajisikie kuwa he is eveything, the big boss and he is always right! kwa kanuni ya "the boss is always right!". Njia pekee kuzuia uvunjwaji huu wa katiba ni kupitia mahakama.
Udikiteta wa Magufuli.
Hoja kama Magufuli ni dikiteta au la, haina mjadala, Magufuli ni dikiteta wa ukweli ambaye hana mswalie Mtume, na alipoingia tuu madarakani, alianza kuonyesha udikiteta wake right away kwa kuliingilia bunge na mahakama kuziweka chini ya amri zake!. Lile katazo lake la watumishi wa umma hawaruhusiwi kusafiri safari za nje bila kibali chake kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi, liliwahusu watumishi wote wa serikali, likiwemo wabunge na watumishi wa bunge, wakiwemo majaji na watumishi wa mahakama!, just imagine Jaji Mkuu na Spika wa bunge wakapige magoti kwa rais kuomba kibali cha kutimiza wajibu wao!, huu sui tuu ni udikiteta, pia ni udhalilishaji wa bunge na mahakama!.
Baada ya katazo lile, checks and balance zingepaswa kuanzia hapo kwa Jaji Mkuu kumweleza rais huko ni kuingilia uhuru wa mahakama (the independence of the judiciary) hivyo muhimili wa mahakama haukupaswa kujisubmit chini ya the executive, bali mamlaka hayo ya kuzuia safari za nje, Spika alipaswa kuwa nayo kudhibiti safari za mhimili wa bunge, na Jaji Mkuu alipaswa kuwana nayo kudhibiti safari za mhimili wa mahakama, lakini mihimili hii ilikaa kimya kwa kujisubmit chini ya the executive, hivyo kumfanya rais kuwa ndio kila kitu!.
Hivyo sasa rais Magufuli ndio kila kitu, hakuna cha bunge, mahakama, wala katiba, amri ya rais ndio kila kitu na ndio sheria kuu!, hivyo nawashauri Chadema kwa dhati kabisa, wasitishe maandamano yao, wasifanye kabisa mchezo wa kumjaribu Ngosha, wataumia bure!, na badala yake waitumie mahakama kutoa tafsiri ya katazo la rais na sio kushindana nae au kutaka kupimana naye kwa kutunishiana msuli!.
Hili la udikiteta wa rais Magufuli, tumeisha lizungumza sana humu
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ...
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...
Dawa ya Udikiteta
Dawa pekee dhidi ya Udikiteta ni kupitia a legal redress kwa kufungua shauri mahakama kuu itoe tafsiri rasmi ya kisheria kama rais anavunja katiba au laa, kama amevunja katiba, then mahakama kuu kupitia prerogative orders, inamuamuru rais kwa kumlazimisha lazima afuate katiba, hivyo analazimishwa kufuta tamko lake, apende asipende, atake asitake, katiba ndio iko juu ya kila kitu, hata rais wa JMT, yuko chini ya katiba!.
Kama Chadema wanavyojinasibu wana wanasheria manguli, huo unguli wao kwenye sheria ni unguli wa kwenye nini kama serious issues kama hizi za kukiukwa kwa katiba, wanazipinga kwa maandamano na mikutano?!. Sio kila kitu kinapingwa kwa maandamano, na mikutano ya hadhara. Kuna wakati CHADEMA mnahamasisha maandamano ya kijingajinga. Sometimes Chadema wawe wanachukua ushauri kwa wenye busara wao kabla hawajafanya maandamano. Sikumbuki ni lini Moshi wamewahi kuandamana. Hii maana yake Ndesamburo ni miongoni mwa wenye busara wachache ndani ya Chadema. Sikumbuki kuwahi kumuona Ndesamburo, Prof. Beregu, Prof. Safari na Mzee Victor Kimesera wakishiriki maandamano yeyote zaidi ya yale ya Arusha. Hivyo sio kila kitu ni maandamano tuu!.
Uzuri wa Magufuli
Ila kitu kimoja kuzuri kuhusu udikiteta wa rais wetu, ni Rais Magufuli, japo ni dikiteta kweli na amevunja katiba kuzuia mikutano ya hadhara, yeye sio mwanasheria, hivyo baada ya kuchaguliwa rais, anajua yeye ndio kila kitu!, wala hajui kuwa mamlaka yake yana mipaka, hajui kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi, yeye anajua maadam ameshinda urais, na yeye ndio rais, hivyo anajiamini kyeye ndio kila kitu na anaweza kufanya chochote!, hivyo amefanya hayo ya nia njema, na dhamira safi hivyo ni dikiteta mzalendo!, mwenye uchungu na umasikini wa nchi hii, mwenye nia njema ya kusafisha uozo wote wa uzembe, rushwa na ufisadi, na kulikomboa taifa letu toka kwenye lindi la umasikini uliotopea na kuwa nchi ya maziwa na asali kupitia uchumi wa gesi na viwanda.
Mungu mbariki Magufuli!.
Mungu ibariki Tanzania.
Wasalaam.
Paskali
Rejea za shauri za bure
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa ...
Ushauri wa Bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared for ...
Ushauri wa Bure kwa Mhe. Lowassa: Ili kuilinda Heshima yako ...
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!, Be Calm!, Keep ...
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la ...
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report: Please Keep Quite ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Magufuli, Futilia Mbali Utawala wa Sheria ...
Ushauri wa Bure kwa Rais Kikwete, muombe msamaha Lowassa kabla ya ...
Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Usikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!.
Ushauri wa Bure kwa Dr. Shein: Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar ...
Ushauri wa Bure kwa Magufuli, DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es ...