CHADEMA haina Sera mbadala za maendeleo ila kuwaghiribu wapiga kuwa ati "sasa ni saa ya ukombozi".
Sera mbadala ya maendeleo ya watu ielezwe vizuri kwa kutumia mifano ya maendeleo ya vitu yaliyofanywa na Serikali ya CCM kama hayakisi maendeleo ya watu kwa maana ya ustawi wao. Isiwe tu kuyabeza ila pia Lissu aeleza akipewa ridhaa atawafikisha wapi Watanzania kimaendeleo, na kwa jinsi gani. Hili la kuweka rehani maliasili ya nchi ni usaliti na uhaini.
CHADEMA haina mwandaaji wa kampeni kama Polepole
CHADEMA haina viongozi mfano wa Mama Samia au Majaliwa, ambao wanakubalika katika jamii kwa kila jambo na matendo yao.
Kinachoendelea Uwanja wa Mkapa Dsm muda huu ni ushahidi kuwa CCM haina chama mshindani. Kupuuza nguvu ya wasanii ni upumbavu na ulofa uliokubuhu