Uchaguzi 2020 Ushauri kwa CHADEMA, kuna vitu tuachane navyo. Tujikite na kuwatumikia Wananchi, Uongo hauwezi kutusaidia

Uchaguzi 2020 Ushauri kwa CHADEMA, kuna vitu tuachane navyo. Tujikite na kuwatumikia Wananchi, Uongo hauwezi kutusaidia

Na bado sana, utaumia,
Cha kushangaza utakuta pamoja na dharau lakini wewe mwenyewe unalala na watoto kwenu.
Mkuu huwa silali na watoto ! unanionea bure huwa nalala na mama yako tupo busy tunakutafutia mdogo wako ili uache kudeka au wewe unaonaje mwanangu?
 
Kwa lissu uongo umo kwenye DNA. Na bahati mbaya siku zinaisha sidhani kama zinamtosha kujirekebisha
 
Habari wanajf, leo kuna jambo moja ambalo nimeona nilizungumzie ili tuweze kukaa sawa na kuweza kushinda mapambano yetu yanayokuja.

Ninaamini kuwa hadi sasa CHADEMA ila ilani nzuri sana ambayo ikitekelezwa italeta manufaa kwa nchi na wananchi kwa ujumla.

Nguvu kubwa tuiweke hapa kwa maana ndio utakuwepo utofauti kati ya Chama tawala na chadema.

Kama tunavyojua mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi na tupo kwenye kampeni kipindi hiki, yes propaganda chafu inaweza kuwa moja ya silaha kubwa kuweza kushinda lakini hizi propaganda chafu ziwe zinakaribiana na ukweli.

Nimejaribu kufikiria mara mbilimbili aina ya maneno/tweets anazotoa mgombea wetu nabaki kukosa majibu na kuhisi pengine chama hakijaweza kukaa naye au kumsaidia kufanya hizi propaganda.

Mgombea uraisi wetu ambae tunahitaji kuwa mbadala wa chama tawala anatakiwa kuwa smart mara mbili kuliko aliyepo madarakani ili uhalali wa yeye kumuondoa uwepo.

Ni lazima kujitofautisha, kama wa chama tawala anafanya mabaya, basi wa kwetu afanye mazuri wananchi wawe na imani nae.

Wapiga kura wapo wa ina nyingi, pia kuna kundi kubwa la wasomi ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuchambua yupi ni sahihi na yupi sio. Hapa nazungumzia wale ambao hawana ushabiki.

Tweets za mgombea wetu zinafikirisha sana, unawezaje kutweet jambo ambalo wewe mwenyewe hauna uhakika nalo?

Hebu fikiria siku kadhaa nyuma wakati anahojiwa juu ya kufungiwa kwake alisema mgombea wa CCM anaenda mapumziko ya siku 8 (jambo ambalo sio kweli) na akasema ataanza kampeni tarehe 12(jambo ambalo sio kweli).

Haya maneno mgombea wetu anatakiea kuachana nayo kwa kuwa yanaondoa credibility yake. Haya maneno ni ya kuokoteza mitandaoni wanatakiwa wabaki nayo mashabiki tu wala yasifike kwa mgombea uraisi na kuyazungumza.

Leo mgombea wetu ametweet kuwa wafanyabiashara kariakoo wanalazimishwa kufunga biashaea kwenda uwanjani kwenye kampeni za ccm. Anasema hivi akijua kabisa kuwa ni uongo, watu wapo kkoo na wanaona anayosema, mwisho wa siku nao wanabaki wanajiuliza ni kariakoo ipi hiyo?

Hakuna mfanyabiashara kariakoo anaelazimishwa kwenda uwanjani na haiwezekani, kinachofanyika ni gari ya matangazo kupita na kuwatangazia watu kuwa kuna mkutano uwanja wa taifa ,sasa kwenda au kutokwenda inabaki kuwa uamuzi wako.

Hizi propaganda ashauriwe zibaki kuwa kwa mashabiki tu na sio kwa level yake.

Chadema tujisahihishe hapa, tumsadie na mgombea wetu nae ajisahihishe.

Hiko chama cha Mbowe kuna punguani wakutosha. Kuanzia mgombea mwenyewe mpaka washabiki zake huku mitandaoni. Chadema ni kachama kadogo mno, hakina ubavu wa kushindana na CCM milele.
 
Binafsi nimeshuhudia madarasa yakifungwa ili watoto na walimu wao waende kwa Magufuli
Haya ndiyo maneno yenu ya kujifariji lakini kipigo kiko palepale. 95% kwa JPM, mwaka huu lazima mzae bila kubeba mimba
 
Lissu anahangaika Sana.Chama cha Mbowe hakiwezi shinda Oct 28, kwa aina ya wapigaji walionao ni kama wamewekeza kwenye biashara yenye kuwapa hasara daily.Hakuna Rais, hakuna diwani hizo ruzuku ndio zimekwisha sasa.
 
Kama nyomi sio muhimu mbona CCM mnahangaika kuleta wasanii,kuwabeba wananchi kwny malori,kulazimisha wafanyakazi wa serikali kuhudhuria mikutano yenu,kuzifunga shule wanafunzi wahudhurie mikutano yenu.
Chadema tayari mchezo umekwisha Magu kawamaluza leo pale temeke.Kesho anaanza kusaka masalia yenu majimboni Dar.Mwaka huu mtabanana kwa Prof Janabi, hali itakuwa si hali.Mbeligiji aliwapa matumaini hewa.Sasa hivi tunamfuatilia alopoke tena ujinga wake,atakula ban tena.Tulieni mnyolewe.Chezea Magu
 
Hilo jamaa ni jinga sana na sijui hata hao chadema waliwaza nini kumpa nafasi ya kuwa mgombea urais wa nchi, eti mgombea uraia unatweet "Nyomi" sijui anataka kutupeleka wapi!!
Ni jambo la kawaida unapopanga kwa matumaini makubwa kufanya kitu lakini matokeo yakawa tofauti kabisa na matarajio yako. Unakuwa na kuchanganyikiwa fulani.
 
Haya ndiyo maneno yenu ya kujifariji lakini kipigo kiko palepale. 95% kwa JPM, mwaka huu lazima mzae bila kubeba mimba
Whether atashinda kwa 2000%, haiondoi ukweli kuwa vipindi vya watoto huvunjwa ili kufanikisha mikutano yake.
 
Chadema tayari mchezo umekwisha Magu kawamaluza leo pale temeke.Kesho anaanza kusaka masalia yenu majimboni Dar.Mwaka huu mtabanana kwa Prof Janabi, hali itakuwa si hali.Mbeligiji aliwapa matumaini hewa.Sasa hivi tunamfuatilia alopoke tena ujinga wake,atakula ban tena.Tulieni mnyolewe.Chezea Magu
Hakika wala hujakosea.
Ej4FXAyWoAAPxtC.jpg
 
Shule ya dizonga.
Mimi hata sishangai kuhusu kufunga shule maana vijijini wanaenda hadi kumlimia mwalimu mkuu itakuwa Raisi? Wakati nasoma sisi tulikuwa tunafanya usafi na kujipanga barabarani ukipita msafara wa Raisi hata kama hasimami tunapunga tu mikono ndo imeisha hiyo itakuwa awamu hii ya UNCLE wanasoma bure afu wasiende khaa..

Kwa taarifa hapo kwa miaka minne(1-4)Wanafunzi wengi wameshajiandikisha kwenye daftari sasa subiri 28OCT ndio utajua kuwa wale wanafunga shule kwa faida na ushindi wa kumzawadia Magu 5 tena ili wadogo zao nao wasome bure.
 
Whether atashinda kwa 2000%, haiondoi ukweli kuwa vipindi vya watoto huvunjwa ili kufanikisha mikutano yake.
Unaumiaje watoto wasiokuhusu kufunga shule na kwenda kwenye mikutano ya UNCLE ? Kwa maumivu hayo either unamtoto yupo shule ya serikali au ndugu yako hiyo inamaana UNCLE anakusomeshea bure hadi kidato cha nne ,hivyo mpe shukrani maana mnaumia sana mkiwaona wanafunzi .
Magu ndiye ajaye ..hatumtegemei mwingine.
 
Unaumiaje watoto wasiokuhusu kufunga shule na kwenda kwenye mikutano ya UNCLE ? Kwa maumivu hayo either unamtoto yupo shule ya serikali au ndugu yako hiyo inamaana UNCLE anakusomeshea bure hadi kidato cha nne ,hivyo mpe shukrani maana mnaumia sana mkiwaona wanafunzi .
Magu ndiye ajaye ..hatumtegemei mwingine.
Wanangu hawasomi shule za serekali, na hawatasoma huko Mungu akiendelea kunipa afya na uhai. Bado siafiki ratiba za masomo kivunjwa kwa ajili ya kampeni. Inaonwa na aliye staarabika.
 
Pamoja na mapungufu aliyonayo mh. Rais, sitothubutu kumpa kura yangu TL. Naishia hapo.
 
Habari wanajf, leo kuna jambo moja ambalo nimeona nilizungumzie ili tuweze kukaa sawa na kuweza kushinda mapambano yetu yanayokuja.

Ninaamini kuwa hadi sasa CHADEMA ila ilani nzuri sana ambayo ikitekelezwa italeta manufaa kwa nchi na wananchi kwa ujumla.

Nguvu kubwa tuiweke hapa kwa maana ndio utakuwepo utofauti kati ya Chama tawala na chadema.

Kama tunavyojua mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi na tupo kwenye kampeni kipindi hiki, yes propaganda chafu inaweza kuwa moja ya silaha kubwa kuweza kushinda lakini hizi propaganda chafu ziwe zinakaribiana na ukweli.

Nimejaribu kufikiria mara mbilimbili aina ya maneno/tweets anazotoa mgombea wetu nabaki kukosa majibu na kuhisi pengine chama hakijaweza kukaa naye au kumsaidia kufanya hizi propaganda.

Mgombea uraisi wetu ambae tunahitaji kuwa mbadala wa chama tawala anatakiwa kuwa smart mara mbili kuliko aliyepo madarakani ili uhalali wa yeye kumuondoa uwepo.

Ni lazima kujitofautisha, kama wa chama tawala anafanya mabaya, basi wa kwetu afanye mazuri wananchi wawe na imani nae.

Wapiga kura wapo wa ina nyingi, pia kuna kundi kubwa la wasomi ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuchambua yupi ni sahihi na yupi sio. Hapa nazungumzia wale ambao hawana ushabiki.

Tweets za mgombea wetu zinafikirisha sana, unawezaje kutweet jambo ambalo wewe mwenyewe hauna uhakika nalo?

Hebu fikiria siku kadhaa nyuma wakati anahojiwa juu ya kufungiwa kwake alisema mgombea wa CCM anaenda mapumziko ya siku 8 (jambo ambalo sio kweli) na akasema ataanza kampeni tarehe 12(jambo ambalo sio kweli).

Haya maneno mgombea wetu anatakiea kuachana nayo kwa kuwa yanaondoa credibility yake. Haya maneno ni ya kuokoteza mitandaoni wanatakiwa wabaki nayo mashabiki tu wala yasifike kwa mgombea uraisi na kuyazungumza.

Leo mgombea wetu ametweet kuwa wafanyabiashara kariakoo wanalazimishwa kufunga biashaea kwenda uwanjani kwenye kampeni za ccm. Anasema hivi akijua kabisa kuwa ni uongo, watu wapo kkoo na wanaona anayosema, mwisho wa siku nao wanabaki wanajiuliza ni kariakoo ipi hiyo?

Hakuna mfanyabiashara kariakoo anaelazimishwa kwenda uwanjani na haiwezekani, kinachofanyika ni gari ya matangazo kupita na kuwatangazia watu kuwa kuna mkutano uwanja wa taifa ,sasa kwenda au kutokwenda inabaki kuwa uamuzi wako.

Hizi propaganda ashauriwe zibaki kuwa kwa mashabiki tu na sio kwa level yake.

Chadema tujisahihishe hapa, tumsadie na mgombea wetu nae ajisahihishe.

Tulia wewe every thing is well organized this time Lisu yuko sahihi
 
Habari wanajf, leo kuna jambo moja ambalo nimeona nilizungumzie ili tuweze kukaa sawa na kuweza kushinda mapambano yetu yanayokuja.

Ninaamini kuwa hadi sasa CHADEMA ila ilani nzuri sana ambayo ikitekelezwa italeta manufaa kwa nchi na wananchi kwa ujumla.

Nguvu kubwa tuiweke hapa kwa maana ndio utakuwepo utofauti kati ya Chama tawala na chadema.

Kama tunavyojua mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi na tupo kwenye kampeni kipindi hiki, yes propaganda chafu inaweza kuwa moja ya silaha kubwa kuweza kushinda lakini hizi propaganda chafu ziwe zinakaribiana na ukweli.

Nimejaribu kufikiria mara mbilimbili aina ya maneno/tweets anazotoa mgombea wetu nabaki kukosa majibu na kuhisi pengine chama hakijaweza kukaa naye au kumsaidia kufanya hizi propaganda.

Mgombea uraisi wetu ambae tunahitaji kuwa mbadala wa chama tawala anatakiwa kuwa smart mara mbili kuliko aliyepo madarakani ili uhalali wa yeye kumuondoa uwepo.

Ni lazima kujitofautisha, kama wa chama tawala anafanya mabaya, basi wa kwetu afanye mazuri wananchi wawe na imani nae.

Wapiga kura wapo wa ina nyingi, pia kuna kundi kubwa la wasomi ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuchambua yupi ni sahihi na yupi sio. Hapa nazungumzia wale ambao hawana ushabiki.

Tweets za mgombea wetu zinafikirisha sana, unawezaje kutweet jambo ambalo wewe mwenyewe hauna uhakika nalo?

Hebu fikiria siku kadhaa nyuma wakati anahojiwa juu ya kufungiwa kwake alisema mgombea wa CCM anaenda mapumziko ya siku 8 (jambo ambalo sio kweli) na akasema ataanza kampeni tarehe 12(jambo ambalo sio kweli).

Haya maneno mgombea wetu anatakiea kuachana nayo kwa kuwa yanaondoa credibility yake. Haya maneno ni ya kuokoteza mitandaoni wanatakiwa wabaki nayo mashabiki tu wala yasifike kwa mgombea uraisi na kuyazungumza.

Leo mgombea wetu ametweet kuwa wafanyabiashara kariakoo wanalazimishwa kufunga biashaea kwenda uwanjani kwenye kampeni za ccm. Anasema hivi akijua kabisa kuwa ni uongo, watu wapo kkoo na wanaona anayosema, mwisho wa siku nao wanabaki wanajiuliza ni kariakoo ipi hiyo?

Hakuna mfanyabiashara kariakoo anaelazimishwa kwenda uwanjani na haiwezekani, kinachofanyika ni gari ya matangazo kupita na kuwatangazia watu kuwa kuna mkutano uwanja wa taifa ,sasa kwenda au kutokwenda inabaki kuwa uamuzi wako.

Hizi propaganda ashauriwe zibaki kuwa kwa mashabiki tu na sio kwa level yake.

Chadema tujisahihishe hapa, tumsadie na mgombea wetu nae ajisahihishe.

Sasa
IMG_20201002_224423.jpeg
IMG_20201009_223951.jpeg
 
Back
Top Bottom