Uchaguzi 2020 Ushauri kwa CHADEMA, kuna vitu tuachane navyo. Tujikite na kuwatumikia Wananchi, Uongo hauwezi kutusaidia

Uchaguzi 2020 Ushauri kwa CHADEMA, kuna vitu tuachane navyo. Tujikite na kuwatumikia Wananchi, Uongo hauwezi kutusaidia

Mwenyewe umejitutumua kuandika kama vile unakitu cha kuandika kumbe tope tu!

Kwanini usimshauri mgombea wa CCM asiendelee na kampeni maana wananchi wanamwelewa akikaa kimya kuliko akiongea!

Fikiria ujumbe waliotokanao wananchi jana kwenye bonanza la Dai, Kiba na Kondeboy uwanja wa Mkapa kipaumbele chake ni wanawake weupe! Khaaa!
 
Walioko wewe unajua?nendeni mkawaambie waje kupiga kura maana kichapo mtapigwa asubuhi mapema
Azory na B saanane njooni kupiga kura.

A dead man never cast vote for the living.
kumbe wamekufa? sikujua mgombea wenu aliwauwa. Hizo damu za wasio na hatia hazitomuacha salama
 
Back
Top Bottom