Ushauri kwa Clouds Media Group kuhusu Diamond


Anajua maana na thamani ya cheti?
 

wewe mjinga kamati ya Nape ilisema Makonda hakuhusika na ile habari ni shilawadu na wakampigia simu makonda

wewe kijana mbona haujawahi kuwalaumu au kuwaonya hao clouds waache huo mchezo??


hasira zako, chuki zako, gubu lako, laana zako hazimpati Diamond

acha afurahie uhuru wake huo unaousema
 
Kijana naona haijui vizuri Clouds awaulize hawa hapa

Rama dee

Mapacha

Sugu(na Antivirus yake)

Ruby

Ibra

Fid Q

MwanaFA

Lady jaydee

N.k

na mlifurahia hao walivyopotezwa na unataka diamond afanyiwe hivyo

ushakuwa mnafiki mpaka hapo
 
Huyu bashite katuvuruga sana..
 
Wananchi gani waliotukanwa wewe ? Ni ukweli wapo wasio Fanya kazi .. Wao no kujadili tu vyeti vyeti .. Alafu wanadai pesa hakuna hali ngumu
 
Mkuu I guess all ur brain is full of mucus.
 
Wimbo mzuri huu ngoja niuweke ringtone
 
Sasa kwanini hamtaki kuvumilia wenzenu wakisema wakati nyie mnasema ooooh mnapigania uhuru wa maoni?
Mtulie dawa iwaingie hayo ndio maoni ya Diamond
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Mkuu Lusinde upo?
 
Huyo naye badala ya kuuonyesha usimba wake kaonyesha ufisi. Maajabu ya dunia Simba kageuka kuwa Fisi.
 
Huyu kijana anadharau sana. Kumsapoti ndiyo kuna mfanya ajione Mkubwa kuliko wananchi...clouds FM msituangushe
Achaneni na Diamond kila mtu ana haki ya kufanya anachoona kinafaa alimradi asivunje sheria za nchi. Tufanye suala clouds lilishapita tuangalie mbele
 
ila kwa kweli Diamond hata mimi nime muona ni kubwa jinga
na nyimbo zake nimezifungia sisikilizi wiki hii yote
Whaaaat! U can't be serious binamu!!! Hata wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…