Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

Watu humu naona wanajadili bila kuelewa jinsi mfumo wa hisa unavyofanya kazi.

Wengine naona wanadai kuwa ukiwa na hisa nyingi ndio unakuwa na nguvu ya kufanya maamuzi(sio siku zote iko hivyo)

Kampuni inayomilikiwa kwa mfumo wa hisa huwa inakuwa na bodi ya directors ambao ndio wanahisa.

Kitendo cha kumiliki hisa nyingi ama kuwa mwanzilishi haimanishi kuwa ndio utakuwa unaingilia utendaji wa kampuni moja kwa moja.

Kwa sababu wanahisa huajili CEO ambaye ndio atashughulika na utendaji wa manbo yote ya kampuni.

Mnaweza pitia hapa historia ya kampun ya apple inc jinsi steve jobs alivyopoteza nguvu kwa kampuni aliyoianzisha na kisha kujiuzulu.

Wanahisa watampa malengo wanayoyataka ya kampuni hivyo CEO atajua mwenyewe jinsi ya kufanya.

Kwa mujibu wa page ya instagram ya diamondplutnumz inaonyesha kuwa diamond ndio CEO na MD wa wasafitv na radio.

Maana yake wanahisa wamemchagua yeye kwenye hilo jukumu hivyo operations zote za tv na radio yeye ndio anasimamia na sio mtu mwenye hisa nyingi.

Lakini wanahisa wanaweza wakamuondoa kwenye hiyo nafasi iwapo malengo hayajafikiwa ila hisa ataendelea kuwa nazo.

Nguvu ya maamuzi inategemea na kiasi cha hisa ambacho wanabodi wamelewana.

Inaweza ikawa kwa mfumo wa kula kwa kuangalia watu gani wana hisa nyingi.

Au inaweza ikawa mtu mwenye 55% ya hisa ndio mfanya maamuzi yaani final say.

Ila bado diamond ni mmiliki pia wa wasafi kwa 45% japokuwa huyu mwenye 53% nafasi ya ku-control ni kubwa ila tu jinsi wanahisa walivyoelewana kwenye hilo swala.
 
Sasa kama unataka waachane that means hakuna biashara yoyote ya kampuni duniani ingesimama. Mbona Samsung, CocaCola, Volkswagen,etc zote zinamilikiwa na watu kibao wenye hisa kiwango tofauti. Kwanza sheria ya kampuni kwa Tanzania sijui lakini najua nchi nyingi haziruhusu mtu mmoja kumiliki exactly 100% ya business entity. Una hofu ya bure
 
Kuwa Mjanja mdogo wangu,
Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump

Kuwa makini Diamond
Pengine unaumia na uamini kuw Diamond ni mmiliki wa Wasafi Tv na radio.......lakini ukweli ni kwamba Diamond ni mmiliki wa hicho kituo kwa asilimia 45 usidanganywe na Diva ana hasira zake tuu hahahaha hata hapa ilishawekwa thread na taarifa ya TCRA Kuhusu umiliki wa radio hiyo
 
Sasa kama unataka waachane that means hakuna biashara yoyote ya kampuni duniani ingesimama. Mbona Samsung, CocaCola, Volkswagen,etc zote zinamilikiwa na watu kibao wenye hisa kiwango tofauti. Kwanza sheria ya kampuni kwa Tanzania sijui lakini najua nchi nyingi haziruhusu mtu mmoja kumiliki exactly 100% ya business entity. Una hofu ya bure
Kama ni hivyo why diamond awe na asilimia ndogo sana kuliko kina kusaga? Why asingekuwa na asilimia za juu ya hisa zake. Anasimama kama mdoli tu na sio mmiliki.
 
Kama ni hivyo why diamond awe na asilimia ndogo sana kuliko kina kusaga? Why asingekuwa na asilimia za juu ya hisa zake. Anasimama kama mdoli tu na sio mmiliki.
Kwanini unataka Diamond awe na hisa zaidi na si Kusaga. Kuna chochote unaelewa katika masuala ya partnership kwenye biashara au unatumie ile " Diamond babalao, Chibu babalao" kwenye uhalisia
 
Microsoft ile kampuni ya Bill Gates
~Steve Ballmer - 28%
~Bill Gates - 24%

Kwa mujibu wa wachangiaji ukihusianisha na hapa ni kuwa bill gates si chochote si lolote pale microsoft na siku akizingua atatemwa.!
Hahahahaaah! Wabongo sijui mnakula maharage ya wapi?

Mnawaziaga kwenye "Nyumba Ni Choo" ya Sanchoka au?
 
Sasa kama unataka waachane that means hakuna biashara yoyote ya kampuni duniani ingesimama. Mbona Samsung, CocaCola, Volkswagen,etc zote zinamilikiwa na watu kibao wenye hisa kiwango tofauti. Kwanza sheria ya kampuni kwa Tanzania sijui lakini najua nchi nyingi haziruhusu mtu mmoja kumiliki exactly 100% ya business entity. Una hofu ya bure
Kati ya hizo biashara ulizozitaja nyingi kama sio zote Ni public yaani unanewa kununua his aa zake kwenye masoko. Ni kama TBL kampuni ya bia. Kusema kuwa sheria hairuhusu umiliki was 10o% kwa kampuni binafsi hiyo si sawa.
 
Tatizo la wabongo Siku izi kila Mtu ni Mchambuzi na Ana Maono Ya Mbali

hajui hata biashara Inaendaje hata radio kwake hana, unakuta nae anatoa Ushauri
 
Kuwa Mjanja mdogo wangu,
Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump

Kuwa makini Diamond
Ficha ujinga wako.
Diamond ana hisa nyingi tu japo huyo mwanamke ana hisa nyingi zaidi. Hiyo ni biashara na ndiyo maana halisi ya kampuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi discussion ndio zinamfanya Diamond akaze zaid maana naamin baadae anaeza akaongeza hisa nyingi ili kulinda kampun yake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom