This is Bongo.
Wangapi mmekuja kukoment hapa mkiwa.
1. Mnajua sheria ya uendeshaji makampuni ya biashara ya mwaka 2002.
2. Wangapi mnajua mgawanyo wa hisa, umiliki wa kampuni na madaraka ya wana hisa katika kampuni ya ushirikiano.
Jaribu to hata kupitia maana ya MOU na AOA na sheria ya uendeshaji makampuni hususani ya Ushirokiano (Pertnership) ndio uje ulete comment zako.
Yaani kuna coment humu ukisoma unaishia kucheka tu😄😄😄😄😄 vitu vinavyoendeshwa proffesonally mtu anakuja kutapika tu cjui kamsikia nani kaandikaa Insta, facebook n.k