Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

K
Shule nayo ni Muhimu sana, Wewe unadhani mtu kama Niki Wa pili aka Nikki Mbishi anaweza fanya ujinga huu!!! Wazazi wapeleke Watoto shule!!!
Kweli kabsa
 
Msimchagulie Diamond marafiki ni haki yake kuwana marafiki anaowapenda vyeti vya makonda vinamahusiano gani na urafiki wao...ina maana Makonda awe na.maadui tuuu.achaneni na fikira za kitoto.
Msanii ni kioo cha jamii!!! Kuwa na uswahiba na mtu anayeshukiwa kuwa na tuhuma kibao unageuka kuwa Mchafuzi wa jamii!!!
 
Diamond amekosa shule..!! Hata wanaomvunguka hawajielewi sana
 
Brother acha chuki binafsi suala mnalo lishadàdia ni kosa la jinai na siku zote makosa ya jinai mlalamikaji ni Jamuhuri muacheni jamuhuri aamue kama ataana kuna ushahidi atachukua hatua lakini siyo kwa shinikizo eti kwasababu kazuia madawa ya kulevya kawabana wabadhilifu nk kesi za jinai hazihitaji ushabiki na chuki kama mnavyo jichukulia sheria mikononi kwa kuwaua watu wasio na hatia kwa kisingizio cha mob justice!
 
Nimetokea kukuchukia sana sister coco ingawa sikufahamu kutokana na uandishi wako wa kujipendekeza badilika swaiba .
 
Hahaha
Aiwezekani, diamond anatembelewa na mawaziri kwake,iweje ashangae call ya rais!!
Watamfilisi mtoto wa watu.

Kwa yeye ni kitu kidogo lakini kwa mashabiki ni kikubwa hasa ukizingatia amewasemea wasanii wenzake.
 
diamond wa miaka ya 2015 kurudi nyuma sio huyu wa Leo, amepukutika,
Ndo akili zenu fupi zinavowatuma......mbona mnalalamika sasa kuhudhulia kwny sherehe ya makonda......mnajitekenya afu mnacheka wenyewe
 

Bwana GT kwani hili jukwaa linaitwaje?
 
Ngoja na Mimi nimwambie shoga yangu mke wa Makonda aachane na Makonda. Anayeishi naye ni Bashite siyo Makonda. Paul Christian M. ni muhaya wakati yeye anabeba dushe la Msukuma Daudi Albert Bashite.
 
Usingemtaja huyo sijui.



 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nisinge ntaja huyo ni sawa na kuimba wimbo bila koras.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] mwache Kiba.
Hapa tumjadili Mondi kwanini alishiriki katika mwaka mmoja wa Makonda Bashite

Kumbuka kwenye kampeni pia alikuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…