[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] mwache Kiba.
Hapa tumjadili Mondi kwanini alishiriki katika mwaka mmoja wa Makonda Bashite
Kumbuka kwenye kampeni pia alikuwepo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji115][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaan bosi kile kitendo sijakiunga mkono
Sema Ali kaingia kuweka urari wa vina na mizani
Ww ulikua umepotelea wapDiamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji115]
Hawa ndio wasanii wetu. Je bado unaendelea kumshabikia?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo ndio ushabiki sasa.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asee kuacha kumshabikia siwezi ila hiko kitendo nakikemea kabsaa.
Van Ray Van Boooooiiiii.Ww ulikua umepotelea wap
Hahaaa kweli mwana maana toka alhamis ya wiki iliyopita ulikua haupo.Van Ray Van Boooooiiiii.
Though sijawahi kukuona jf jina limekaa vizuri.
Nilikuwa naelekea Congo sasa kuna shda huku ilinipata but niko sawa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo ndio ushabiki sasa.
HahahaaHahaaa kweli mwana maana toka alhamis ya wiki iliyopita ulikua haupo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kabla sijakujibu kwanza.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ila mi team Tanzania
Mwenzangu wewe tim Kiba ee??
Hahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] kabla sijakujibu kwanza.
Team Tanzania ni nani?
Hahaaaa mm ndio nimefikajf muda kipindi tuHahahaa
Yaan wewe joining date yako haiendani na unacho zungumza.
Ahsante lakin kwa ku note kuwa sikuwepo.
Yaan jina la Id yako natamani ningegundua mapema nikuibie.
Nami napenda wasanii wote wanaofanya vizuri.Hahahaa
It means napenda wasanii wote
Sina tim[emoji1]
Labda wewe utujuze uko tim ipi
Hebu nijuze kabla ya kuwa Ray Van ulikuwa unaitwa nan aseeHahaaaa mm ndio nimefikajf muda kipindi tu
D alizunguka nchi nzima kukata viuno kwenye kampeni CCM bila hivyo naye angekuwa mmojawapo wa kutangazwa hadharani na Bashite kwa kujihusisha na unga.
Ukaribu wake na Bashite haina maana kuwa Bashite ni msafi bali ni kwa ajili ya kujilinda ili Bashite asije akaweka mambo hadharani,wakati Bashite mwenyewe ana ogopa kufanya hivyo kwa kukumbuka fadhila za viuno vya D alivyokata nchi nzima kwenye kampeni za CCM.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nami napenda wasanii wote wanaofanya vizuri.
Ila inaonekana humkubali Ali