Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Thubutuuu.
Yataka moyo 😛😛
Philip Mpango ako na moyo wa tofauti sana , wako wachache.
Mpango alikuwa anaendana na Magufuli ; Hawa waswahili na staili ya uchawa wake hawezi kufanya kazi nao ! Moreover he has some health issues hivyo hauwezi mtiti wa ccm hivi sasa! Ameona afadhali akapumzike kwao Burundi 😛
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one,
Kwa sasa, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Ccm mmeamza fitina na majungu
Mtaendelea kuuana tu

Sisi wazalendo tunataka katiba mpya tu
 
Mkutano ule unawahusu mawaziri wa fedha na Marais tu, wewe ndo unakuza mambo ,eti doto kama waziri wa nishati 😅🤣🤣🤣 unachekesha sana
Mkutano wa nishati unafanyikaje bila waziri wa nishati? Au hata huelewi unazungumzia nini
 
Mkutano wa nishati unafanyikaje bila waziri wa nishati? Au hata huelewi unazungumzia nini
Hahusiki, jiulize world Bank, na A African development Bank waandaji na wafadhili wa summit walikuwa wajinga kuchagua MAWAZIRI WA FEDHA NA MARAIS??

mawaziri wa nishati hawahusiki, usilete maoni yako!!!
 
Kwakweli sijui, yupo Jimboni kwake? Yupo Dodoma, yupo DSM?? ila nimeshanngaa kuona Dotto Biteko yupo kwenye mkutano wa nishati kwa kofia ya Naibiu PM, wakati PM yupo.

Pia mkutano wa nishati unahusu Marais na mawaziri wa fedha 🤔🤔🤔🚴🤔
Kunajambo halipo sawa mkuu na kabisa halitakuwa sawa!
 
Mkutano wa ulinzi waziri wa ulinzi? Mkutano wa miundombinu? Acha kufikiria kwa kutumia hisia.
We kichwa Yako ni mbovu, Bank ya Dunia na ADB ndo waliamua mawaziri wa fedha na Marais ndo wahudhurie mkutano huo, unafikiri walikuwa wajinga?? Hawakujua kuwa Kuna mawaziri wa nishati??

Acha ujinga wa kuwapangia wafadhili watende kadiri ya interest zako!!! SHAME ON YOU 🤔🤔🤔
 
We kichwa Yako ni mbovu, Bank ya Dunia na ADB ndo waliamua mawaziri wa fedha na Marais ndo wahudhurie mkutano huo, unafikiri walikuwa wajinga?? Hawakujua kuwa Kuna mawaziri wa nishati??

Acha ujinga wa kuwapangia wafadhili watende kadiri ya interest zako!!! SHAME ON YOU 🤔🤔🤔
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
 
Wakati Biashara ya kangomba inamanufaa kwakwe..Hawezi kuacha kugombea maana bado kangomba ipo pale pale🤣
 
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
Ninarudia Tena, kukuelekeza, participants wa mkutano ule walivyotaka wafadhili, Benki ya Dunia na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB, wawakililishi kiserikali ni Marais na mawaziri wa fedha tu!!narudia kiserikali, sio mawaziri wa nishati!!

Naomba ulielewe hilo, unayoyatoa ni maoni yako binafsi ambayo una haki ya kuyatoa.
Ila mimi nacheza kwenye utaratibu wa wwaandaaji wa mkutano waliofadhili.

Nakukaribisha kwa MATUSI ZAIDI, na naendelea kushukuru kwa matusi na lugha Yako ya fedheha!! Mods wataamua wanajua Cha kufanya kwa wanaotoa lugha bya fedheha!!
 
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
Bank ya Dunia na ADB hawajui? Kwanini walitaka mawaziri wa fedha na marais?? eti mawaziri wa kisekta??

Neno mawaziri wa kisekta ni lako, WORLD BANK hawalijui, wao wanajua mpango utatekelezeka,utajadiliwa, utakuwa wa maana.

Platform ile ilikuwa ni ya mawaziri wa fedha na wakuu wa nchi au wawakililishi sio mawaziri wa nishati, ndo maana hakukuwa na waziri wa nishati hata mmoja Toka nchi washiriki, unless alimwakilisha mkuu wa nchi!!!
 
Sina haja ya kuelewa uchawa wako kwa Majaliwa!😳
Mimi sio CHAWA WA majaliwa wala mtu yeyote!

Sifahamianin naye, hanifahanu, nawezaje kuwa CHAWA wake??

Labda wewe ni mtu wa Maandiko ya UCHAWA kwahiyo unafikiri kuwa kila mtoa post ni CHAWA kama ulivyo wewe!!!

Pole sana, una mtizamo finyu sana katika kuyaelewa na kuyatazama mambo!!
 
Heshima kwenu,

Moja kwa moja kwenye mada husika.

Mheshimiwa PM, Mbunge wa Ruangwa "Makomasho"

Napenda kutoa ushauri wangu kwako, kuhusu upepo A.K.A "mbungo" ambayo inavuma katika viunga vya msitu wa rangi ya uhai kijani.

Jaribio la Mama kujipitisha kwa mfumo wa "hati ya dharula "certificate of emergency/urgency" ambayo iliacha watu midomo wazi na kusabisha wengi kukosa usingizi usiku wa siku ile ya mkutano.

Kadiri ya upepo ulivyo, mimi naiona nafasi yako ni ndogo sana kuendelea vema kwenye siasa za Tanzania baada ya uchaguzi mkuu huu 2025.

Dr Emanuel Nchimbi mgombea mwenza tarajali wa Samia ni team Lowasa/ambayo ni team Rostam Aziz , A.K.A "King 👑 Maker "

Rostam ,is not in favor of you ku hold nafasi kubwa Tena ndani ya Serikali, na hata Mama pasi na shaka ana mtizamo tofauti kabisa juu yako.

Nafasi Yako ilikuwa ,na ulistahili pasi na shaka wewe ndio uwe mgombea Mwenza wa Samia, lakini mambo yamekuwa tofauti na ulivyotarajia/walivyotarajia wajuvi pamoja na mimi binafsi kama self political analyst.

Chemistry imekaa vibaya., kwa hili nisitafsiriwe mimi ni mdini, la hasha!!
Zanzibar Daktari Hussein Mwinyi Muslim, Samia Bara Toka Zanzibar Muslim, na wewe Toka Bara Muslim??

Naiona nafasi ndogo ya kuwa PM baada ya Uchaguzi mkuu ujao.
Uwaziri mkuu wa 2025 October utakuwa na misingi ya dini ,na kanda, hasa kanda ya Ziwa.

Kwanini kanda ya ziwa , watasema tuleteeni "PACHA" tuna mpango naye ili zipatikane kura za kanda ya ziwa za kutosha za CCM.

Nia Yako ya kugombea tena ubunge Ruangwa ni njema sana, kwa kazi kubwa nzuri uliyofanya kwa watu wa Ruangwa miundombinu ya Afya, Elimu na kikubwa zaidi ni barabara ya lami Nanganga, Ruangwa to Nachingwea, kwakweli tunakushukuru.

Pamoja na hayo yote, naona sio vizuri wewe kurudi bungeni ukawe mbunge wa kawaida kutoka uwaziri mkuu, hiyo haijakaa vizuri mbele ya Jamii, vikubwa kwa wale ambao walikuwa chini Yako ulipokuwa PM ambao kwa maagizo Yako na maelekezo yako ya kiutawala wengine walionankama wanachapwa bakora, Kwenzi au "Njingo" nkokota.

Natamani sana kuona haugombei Tena ubunge Ruangwa, sio kwamba sipendi haugombei la hasha!! unless una ahadi isiyo na shaka na Mama ya kukurudisha umalizie U PM kwa miaka mitano ijayo ili mumalize safari pamoja.

Nasema hivyo kwa vile chemistry ili ikae sawasawa ni muhimu PM awe Mkristu, VC Mkristu , Rais Zanzibar Mwislamu na Rais Bara ni Mwislamu.

Ingawa pia niweke "benefit of doubt " bonafide ,kwamba hiyo sio kanuni inaweza isifuate hivyo ila tu ni tahadhari ambayo naiona kwa jicho pekenyevu na fikra tunduizi.

Mwisho Mwishoni natamani kwa kweli kwa ajili ya heshima yako uliyojijengea mbele ya jamii, ni vema ukatafakari ikikupendeza kufuata nyayo za Mzee wetu Daktari Philip Mpango.

Nakuangalia sana katika medani za Siasa kwa sasa ndani ya CCM ulistahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi yetu,lakini mazingira ya siasa,Kuna hila za makusudi , ghiriba, husuda za kuzima nyota yako utoke nje ya duara mapema.

Leo hii wewe unavokubalika kanda ya ziwa, ambayo watu wanaona sura ya Mwamba Jiwe ndani yako ilikuwa ni turufu tosha CCM kupata votes nyingi bila kumtumia "pacha"

Lakini bahati mbaya mfumo hauendi kadiri ya matakwa yetu.

Kugombea ubunge Ruangwa Leo ni sawasawa na kucheza kamari Gambling, unaweza kigombea na Mama akabadili gia angani akakuteu Tena uwe PM.

"To choose between two equal,is bad alternative in serious dillema.

Watu wa Ng'au ,Chimbila, Nanditi,Manokwe,Chiepo,Mandambe,Mandarawe,Ole, Nanguruwe,Namahema,Nnindu,Nkowe,Kipindimbi, Mitope na Likunja kuwataja wachache, wangetamani sana kuona heshima yetu inasimama mahali pake kutokana na upepo unaoendelea Chamani.

Mimi ni mdogo kiumri Sina mang'amuzibya kutosha,ila naona tu Mungu ameniongoza hivyo,Sina nafasi ya kukuona, Mwishoni mwa mwaka nilisafiri ili kupata angalalau nafasi tutete lakini protocol hazikuruhusu

Ndimi "Mjomba"

Nandagala one,
Kwa sasa, Mpumalanga Afrika Kusini.
🙏🙏
Mwe Anjomba, Kumpumalanga ko mpite kola nndi? gummelekete gowe go nkali nne ndendakugaona, lakini nangali pa kwalugulila, bai ukoto mmwe nnugwile..
vapenyaga, shivatendele liyengo ushauri go.
Numbe ukoto nkali vakagombele ubunge go, amama vo, vavapingaga ku uwashili nkulu go, shivavaagule ubunge gwa iyali nkuvateula uwashili go, shwakwapi sha kuwa mpunga lyuva!!

Numbe mmwe anjomba mmujaga kweneko, nnyakulile nne zawadi... nkali mauta ga kuipepetela ga nunjila!!!
 
saubhona saubhona ntata SALOK👐

Mwe Anjomba, Kumpumalanga ko mpite kola nndi? gummelekete gowe go nkali nne ndendakugaona, lakini nangali pa kwalugulila, bai ukoto mmwe nnugwile..
vapenyaga, shivatendele liyengo ushauri go.
Numbe ukoto nkali vakagombele ubunge go, amama vo, vavapingaga ku uwashili nkulu go, shivavaagule ubunge gwa iyali nkuvateula uwashili go, shwakwapi sha kuwa mpunga lyuva!!

Numbe mmwe anjomba mmujaga kweneko, nnyakulile nne zawadi... nkali mauta ga kuipepetela ga nunjila!!!
Ni ngaa njiheka sana, jika pe shighanishie mbinga putuka!!

Aksante khajekhaje, kumpumalanga nne ngunakamula lihengo, mahengo gangu kumsumbiji na kumpumalanga ku Afrika kusini!! ashin shyaka shya 10, pungunguika kila shaka ku Ruangwa kamo.

Haga malove gangunguru lakini gwa gweli khaje, jupali mmbuga njangu mwali nkati anaulumila ulumila, ashimalanjila mwajumuye,badala ja lepela bhonegana mwezi 12 ,niamua njandishe hamuno!!!

Ngani ja mauta gannunjila mpaka mwezi gwa 12 khabili bapembulaga Achipanganya.

Nimefurahi nimecheka sana kupata jibu kwa lugha yangu ya asili!!
 
Ni ngaa njiheka sana, jika pe shighanishie mbinga putuka!!

Aksante khajekhaje, kumpumalanga nne ngunakamula lihengo, mahengo gangu kumsumbiji na kumpumalanga ku Afrika kusini!! ashin shyaka shya 10, pungunguika kila shaka ku Ruangwa kamo.

Haga malove gangunguru lakini gwa gweli khaje, jupali mmbuga njangu mwali nkati anaulumila ulumila, ashimalanjila mwajumuye,badala ja lepela bhonegana mwezi 12 ,niamua njandishe hamuno!!!

Ngani ja mauta gannunjila mpaka mwezi gwa 12 khabili bapembulaga Achipanganya.

Nimefurahi nimecheka sana kupata jibu kwa lugha yangu ya asili!!
Hahaa, me pia nimefurahi.
nasikitika kizazi cha sasa hakiongei tena lugha yetu hii adhimu... inaelekea kupotea!!!
 
Shida UWT mnaota teuzi, kama ana akili ashughulikie swala la ERVs Marekani amekata misaada
kwanini utengeneze hisia, halafu ujaalie kuwa ndio uhalisia? nway... kuna shida gani UWT kuota Uteuzi ikiwa wanastahili?
Kuhusu ARV's ondoa shaka, usijitie wahka ukajifia kabla ya Muda, Nikuhakikishie utaendelea kuzipata bila shida kwani serikali inawajali na inauwezo wa kuwahudumia...
 
kwanini utengeneze hisia, halafu ujaalie kuwa ndio uhalisia? nway... kuna shida gani UWT kuota Uteuzi ikiwa wanastahili?
Kuhusu ARV's ondoa shaka, usijitie wahka ukajifia kabla ya Muda, Nikuhakikishie utaendelea kuzipata bila shida kwani serikali inawajali na inauwezo wa kuwahudumia...
UWT mnajua kujipa matumaini haswa. hongera
 
Back
Top Bottom