Pre GE2025 Ushauri kwa Kassimu Majaliwa: Mjomba kesho yako imevurugwa kwa Makusudi, fuata nyazo za Dkt. Mpango Philip

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Thubutuuu.
Yataka moyo πŸ˜›πŸ˜›
Philip Mpango ako na moyo wa tofauti sana , wako wachache.
Mpango alikuwa anaendana na Magufuli ; Hawa waswahili na staili ya uchawa wake hawezi kufanya kazi nao ! Moreover he has some health issues hivyo hauwezi mtiti wa ccm hivi sasa! Ameona afadhali akapumzike kwao Burundi πŸ˜›
 
Ccm mmeamza fitina na majungu
Mtaendelea kuuana tu

Sisi wazalendo tunataka katiba mpya tu
 
Mkutano ule unawahusu mawaziri wa fedha na Marais tu, wewe ndo unakuza mambo ,eti doto kama waziri wa nishati πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£ unachekesha sana
Mkutano wa nishati unafanyikaje bila waziri wa nishati? Au hata huelewi unazungumzia nini
 
Mkutano wa nishati unafanyikaje bila waziri wa nishati? Au hata huelewi unazungumzia nini
Hahusiki, jiulize world Bank, na A African development Bank waandaji na wafadhili wa summit walikuwa wajinga kuchagua MAWAZIRI WA FEDHA NA MARAIS??

mawaziri wa nishati hawahusiki, usilete maoni yako!!!
 
Kunajambo halipo sawa mkuu na kabisa halitakuwa sawa!
 
Mkutano wa ulinzi waziri wa ulinzi? Mkutano wa miundombinu? Acha kufikiria kwa kutumia hisia.
We kichwa Yako ni mbovu, Bank ya Dunia na ADB ndo waliamua mawaziri wa fedha na Marais ndo wahudhurie mkutano huo, unafikiri walikuwa wajinga?? Hawakujua kuwa Kuna mawaziri wa nishati??

Acha ujinga wa kuwapangia wafadhili watende kadiri ya interest zako!!! SHAME ON YOU πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
 
Wakati Biashara ya kangomba inamanufaa kwakwe..Hawezi kuacha kugombea maana bado kangomba ipo pale pale🀣
 
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
Ninarudia Tena, kukuelekeza, participants wa mkutano ule walivyotaka wafadhili, Benki ya Dunia na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB, wawakililishi kiserikali ni Marais na mawaziri wa fedha tu!!narudia kiserikali, sio mawaziri wa nishati!!

Naomba ulielewe hilo, unayoyatoa ni maoni yako binafsi ambayo una haki ya kuyatoa.
Ila mimi nacheza kwenye utaratibu wa wwaandaaji wa mkutano waliofadhili.

Nakukaribisha kwa MATUSI ZAIDI, na naendelea kushukuru kwa matusi na lugha Yako ya fedheha!! Mods wataamua wanajua Cha kufanya kwa wanaotoa lugha bya fedheha!!
 
Mawaziri wa kisekta lazima wahudhurie, waziri wa nishati wa nchi mwenyeji alizungumzq pale kama host huwezi kufanya mkutano kama huo bila kuhusisha mawaziri wa kisekta maana ndo wataenda kuimplement maamuzi na maazimio ya huo mkutano.
Bank ya Dunia na ADB hawajui? Kwanini walitaka mawaziri wa fedha na marais?? eti mawaziri wa kisekta??

Neno mawaziri wa kisekta ni lako, WORLD BANK hawalijui, wao wanajua mpango utatekelezeka,utajadiliwa, utakuwa wa maana.

Platform ile ilikuwa ni ya mawaziri wa fedha na wakuu wa nchi au wawakililishi sio mawaziri wa nishati, ndo maana hakukuwa na waziri wa nishati hata mmoja Toka nchi washiriki, unless alimwakilisha mkuu wa nchi!!!
 
Sina haja ya kuelewa uchawa wako kwa Majaliwa!😳
Mimi sio CHAWA WA majaliwa wala mtu yeyote!

Sifahamianin naye, hanifahanu, nawezaje kuwa CHAWA wake??

Labda wewe ni mtu wa Maandiko ya UCHAWA kwahiyo unafikiri kuwa kila mtoa post ni CHAWA kama ulivyo wewe!!!

Pole sana, una mtizamo finyu sana katika kuyaelewa na kuyatazama mambo!!
 
Mwe Anjomba, Kumpumalanga ko mpite kola nndi? gummelekete gowe go nkali nne ndendakugaona, lakini nangali pa kwalugulila, bai ukoto mmwe nnugwile..
vapenyaga, shivatendele liyengo ushauri go.
Numbe ukoto nkali vakagombele ubunge go, amama vo, vavapingaga ku uwashili nkulu go, shivavaagule ubunge gwa iyali nkuvateula uwashili go, shwakwapi sha kuwa mpunga lyuva!!

Numbe mmwe anjomba mmujaga kweneko, nnyakulile nne zawadi... nkali mauta ga kuipepetela ga nunjila!!!
 
Ni ngaa njiheka sana, jika pe shighanishie mbinga putuka!!

Aksante khajekhaje, kumpumalanga nne ngunakamula lihengo, mahengo gangu kumsumbiji na kumpumalanga ku Afrika kusini!! ashin shyaka shya 10, pungunguika kila shaka ku Ruangwa kamo.

Haga malove gangunguru lakini gwa gweli khaje, jupali mmbuga njangu mwali nkati anaulumila ulumila, ashimalanjila mwajumuye,badala ja lepela bhonegana mwezi 12 ,niamua njandishe hamuno!!!

Ngani ja mauta gannunjila mpaka mwezi gwa 12 khabili bapembulaga Achipanganya.

Nimefurahi nimecheka sana kupata jibu kwa lugha yangu ya asili!!
 
Hahaa, me pia nimefurahi.
nasikitika kizazi cha sasa hakiongei tena lugha yetu hii adhimu... inaelekea kupotea!!!
 
Shida UWT mnaota teuzi, kama ana akili ashughulikie swala la ERVs Marekani amekata misaada
kwanini utengeneze hisia, halafu ujaalie kuwa ndio uhalisia? nway... kuna shida gani UWT kuota Uteuzi ikiwa wanastahili?
Kuhusu ARV's ondoa shaka, usijitie wahka ukajifia kabla ya Muda, Nikuhakikishie utaendelea kuzipata bila shida kwani serikali inawajali na inauwezo wa kuwahudumia...
 
UWT mnajua kujipa matumaini haswa. hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…