Ushauri kwa Mange Kimambi


Hivi mtu ukilambishwa unaweza jitoa akili hivi?
 
Anamnanga Makounder kwenye social networks ilhali yeye na usomi wake vyeti kafungia kwenye kabati, labda huko US haajiriki, hana kwolifikeshen za kupata ajira rasmi, anachoweza huyu dada ni kupiga domo mitandaoni.
Lakin kama anaishi na anatimiza majukum ya familiar yake kwake ni sawa tu...
 
Aje Tanzania mumkamate? Kwani ye mjinga. Usimchukie mtu kwa sababu anasema ukweli hizo ni tabia za kichawi watanzania mkoje?
Kama ni ukweli anaogopa nini sasa? Kama ni uchawi dhahiri yeye ndo atakiwa mwanga namba moja maana ni bingwa wa kuchukia wenye mafanikio. Mwambie afanye kazi child support ina ukomo mwache aendekeze roho mbaya tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huu ni uchochezi wa kumwagia petrol kwenye moto[emoji23]
 
Anaogopwa makonda peke yake,chezeya central weye

WEWE KAPAKE LIPTI
Menopause inakusumbua


Itakua inakusumbua wewe zaidi usiyejua kuchambua mambo na kujua which issue is sensitive kwa taifa ,Hata wewe ni mmojawapo wa watu wanotumia vyeti fake mwisho wa siku mnaishia kusign deed pole na kuacha majina yenu halisi

wewe unayejiita warumi elimu yako imekusaidi na kitu gani hasa?GROW UP
 
Umelala wapi mkuu??
Mbona kama unatoka usingizini halafu unaanza kupayuka hovyo??
 
Kama ni ukweli anaogopa nini sasa? Kama ni uchawi dhahiri yeye ndo atakiwa mwanga namba moja maana ni bingwa wa kuchukia wenye mafanikio. Mwambie afanye kazi child support ina ukomo mwache aendekeze roho mbaya tu.
We wawapi.kama hapa tu watu wanaongea wanapelekwa jela ye akija si ndo watamnyonga kabisa. Hajawahi kumchukia mtu bila sababu usimzushie Dada wa watu tabia yake ya kuwaumbua wanafiki hasa maccm inawauma sana ila si tunampenda anatusaidia.
 
Kaachwa bila kijiko manina povu lazima limtoke
 
mna furahisha sana mnavo mtetea bwana Daud A. Bashite ana walipa kiasi gani??

Maana wew kutwa kumsafisha uku JF na kule insta yupo Le mtumbozz shati kuuuubwa kama Shuka za mashineni yey kutwa kumtetea et Fact Fact wakat ana andika utumbo..
 
Sina uhakika kama anapitia Huku Mange ila unaweza ukamdm instagram au what's app namba yake ipo kwa page uone moto wake
Hapa hatukujui wewe jinsia gani ila kwa mange naamini tutakujua mpka bibi zako
 
Alijua kukaa marekani ndo kupatia maisha, kutwa wabongo wanamnyima usingiz
Mafanikio ya watu yanamfanya achanganyikiwe kutwa ana kazi ya kuandama waliomzidi. Na ni muongo namba moja. Rejea talaka yake ndo utajua ni muongo. Anapenda kuaminiwa asilimia Mia moja ikiwa ni muongo wa kiwango cha lami. Ndo maana yuko Kama skeleton[emoji23][emoji23][emoji23]
 
True fact Mkuu yan kafanya insta kama ofisi japo ndio afanyacho kina manufaa kias flan ila ujuzi wake upo stoo
We waste our time....declining our growth....hakuna anachopata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…