Ushauri kwa Mange Kimambi

Usimlaumu mange kufungia vyeti vyake(halisi) kabatini maana hapa kwetu wasio na vyeti halisi ndo kama hao wanapewa majukumu wasiyoyaweza wakati wenye vyeti halisi wanazurura na bahasha za kaki
 
Mkuu hilo jina hata wewe wa kumuita jamaa yetu hivyo?????
 
Ingawa hua sipendi anayaofanya Kimambi ila we jamaa umezidi kumtetea Kondakta, hivi mnajuana naye?
 
Thread yako ni ya kinafiki sana.

Wanao andamwa na Mange kimambi sio Daudi pekee tu, Mange ameshawa wachafua wengi sana tena wengine hata hawana hatia ni kwa sababu ya chuki zake binafsi tu..

Lakini leo kuweka wazi uhalali wa elimu ya bwana Bashete umekuja kufungua thread kwa ajiri yake, je umewahi kumkemea kama hivi huko nyuma alivyokuwa ana wachafua wengine!?

BTW tunahitaji e-warriors wengine aina ya Mange Kimambi
 
Mbona unazidi kunichanganya? 2013 uliandika kuwa wanaume siku hizi nyie ni wambea sana hapa tena unasema wewe ni mama.
Aisee jamani nisaidieni au huku JF kuna majini 12[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Leo nimeandika tena Mimi mwanamke, sasa kazi kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…