Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msisahau kulala na panga chini ya kitanda..
11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kamandaHahaaaa Mshana umenikumbusha mbali
Kuna nyumba tulikuwa tunashare na dada mmoja
Wezi wakaiba siku ya kwanza bila kushtukiwa, siku ya pili wakarejea kubeba vilivyobaki kuna pipa lilijaa maji, hivyo wakasukuma maji ya mwagike
Yule mwenzangu Alipuliza filimbi Mara moja tu, tukaambulia vishindo vya kuruka ukuta
Mpaka Leo nikikumbuka huwa nacheka mno Yaani Yule mrembo kuwa na filimbi sikutegemea kabisa,
Ila ilitusaidia na wezi hawakurudi tena.
Umejuaje...!!!! Mi kulala geto bila panga uvunguni sipati amani kabisa....babu alinipa mkuki nimeuacha Tukuyu, kila siku naukumbuka,yaani sina amani kabisa huku niliko....Msisahau kulala na panga chini ya kitanda..
Mimi nina tunguli na hiriziUmejuaje...!!!! Mi kulala geto bila panga uvunguni sipati amani kabisa....babu alinipa mkuki nimeuacha Tukuyu, kila siku naukumbuka,yaani sina amani kabisa huku niliko....
[emoji3516]Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Hatuishi jana... [emoji848]Kikubwa tuna furaha.. Ndio maana tunaweza hata kuambiana haya
Utamkumbuka wewe na watoto zako sio Mimi
Uhalifu ni uhalifu na furaha ni furaha usijaribu kuchanganya hivi vitu viwili.. Nilichotoa ni ushauri wa kuongezeka uhalifu si kwamba uhalifu umekuwa tishio..
Hapo kabla uhalifu ulikuwepo na ulifanywa na mamlaka kwa hiyo kilichopo sana ni change of scene
Ahaaaa, binafsi nimeelewa kwamba furaha ipo kwa watenda ubalifu, maana sasa Wana uhuru.Uhalifu ni uhalifu na furaha ni furaha usijaribu kuchanganya hivi vitu viwili.. Nilichotoa ni ushauri wa kuongezeka uhalifu si kwamba uhalifu umekuwa tishio..
Hapo kabla uhalifu ulikuwepo na ulifanywa na mamlaka kwa hiyo kilichopo sana ni change of scene
Sina wasiwasi tena!una furaha huku una wasi wasi na wizi!!!bro akili zako umacha wapi??
Nina furaha kwakuwa hakuna kutekana tena . hilo ni kubwa sana na watekaji sasa wanadondoka mmojammojabasi huelewi maana ya neno furaha.
furaha ni hali unayokuwa nayo unapokuwa na amani,ukiona huna amani na unajihisi kufurahi,jua unaigiza furaha.
hakuna wasi wasi kwamba kwa sasa uhalifu umeamka tena,Mama mwenye nchi anakiri wazi wazi.
kitendo ch wewe kutoa vijihera kwa wakala halafu huna uhakika kama utafika navyo nyumbani ni tatizo kubwa sana,huwezi sema una fulaha kwa mazingira hayo.
Hiyo namba 5 ina matatizo kidogo boss.Kwa kipindi hiki ambapo uhalifu umeongezeka Mtaani waelimishe yafuatayo wanaoshinda nyumbani.
1. Wasiwaamini wasiwaruhusu kuingia ndani wauza urembo.waokota makopo,watembeza nguo na wanaosajili line za simu.
2. Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani warembaji wa kucha na wasugua miguu.
3.Tusiwaamini/tusiwakaribishe ndani wanaopita na bidhaa wakikopesha ili baadae wafuate elfu Moja kila siku.
4.Tusiruhusu maeneo ya jirani na nyumba zetu kuwepo na vijiwe vya bangi.
5.Wenye nyumba za kupangisha Tuwachunguze wapangaji wanaohamia na Vyombo vichache mfano godoro,Jiko na sufuria mbili tu.
6.Toa taarifa ya viashiria vyovyote vya wizi.
7.usiilaze Simu kwenye charge au sehemu ya wazi. Usisahau kuwa na filimbi ndani
8.Usiweke kiasi kikubwa Cha pesa nyumbani.
9. Usiweke vitambulisho vyako muhimu kwenye pochi.
10.Anayeondoka mapema nyumbani asisahau kuwaamsha wenzake ilu wafunge milango kwa mda
11.Punguza Ulevi au acha pombe kabisa.
12.Kwa wenye nyumba ndogo ukienda huko fanya kilichokupeleka tu---
Usimhadidhie siri zako zote mchepuko wako.ikiwemo biashara zako faida, kiasi Cha pesa ulichonacho nyumbani password za ATM namba za siri za M pesa tigo nk huwezi kujua mko wangapi.
Kweli uhalisia upo lakini wengi maisha tumeanzia huko mkuu.