Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #61
Hata mimi piaKweli uhalisia upo lakini wengi maisha tumeanzia huko mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi piaKweli uhalisia upo lakini wengi maisha tumeanzia huko mkuu.
Sometimes hata hilo godoro huna unaenda kuomba mabox kwa wauza fridge unatandika siku zinaenda. "Adui hana alama"
Ukiwa mwema hakuna shida kabisaSometimes hata hilo godoro huna unaenda kuomba mabox kwa wauza fridge unatandika siku zinaenda. "Adui hana alama"
Hivyo vyombo vya ulinzi vinatakiwa kuwa much active kumjua adui wa kweli.
SawasawaHivyo vyombo vya ulinzi vinatakiwa kuwa much active kumjua adui wa kweli.
wakati wa magufuli ndio tuliishi sana kwa hofu,ya kutekwa,kupewa kesi ukikosoa, na mauchafu kibaoFuraha inatoka wapi kama unaandika mambo ya uhalifu kuongezeka kwa kasi!???
Hii si ni dalili ya kuanza kuishi kwa hofu
Mbona unajikanganya kwenye maelezo mkuu
dah,basi inaonyesha washawapiga wengi kwa style iyoUTAPELI UMERUDI KWA KASI
Kwa wakazi wa Dar es Salaam, chukueni tafadhari.
Hii imenitokea leo, kwenye mataa ya mtaa wa Lindi na Msimbazi. Nilifanya kosa pale (nilitakiwa kunyoosha moja kwa moja kutoka Kkoo kuja Karume, mie nikapinda kulia kuyafuata mataa ya Uhuru na Msimbazi). Nilipofika mataa ya Uhuru, mara wakatokea vijana wawili watanashati, wakiwa na pikipiki. Wakazuia gari kwa mbele; wakatoa vitambulisho, mmoja ni mfanyakazi wa UDART na mwingine ni askari wa Usalama barabarani. Kisha wakasema umefanya kosa kwa mujibu wa sheria za UDART. Hivyo unapaswa kwenda kizuizini kwa siku 14 kisha utalipa faini tsh 850,000 ndipo utakuwa huru. Haya ongoza Yadi. Kijana mmoja akapanda garini, yule mwingine akawa anatufuata nyuma na pikipiki. Nikatumia muda huo kuomba msamaha na kuomba kupunguziwa faini ili tumalizane yaishe. Lakini afisa yule alikuwa mkali, King'ang'anizi. Mara akapiga boss wake, akiagiza nipelekwe haraka Yadi, nikaomba kuongea na boss. Sasa ikabidi nipaki maeneo ya jirani na uwanja wa Karume (TFF). Katika maongezi yetu boss yule alitaka nilipe fine ya tsh laki 6 badala ya 860,000/=
Lakini wakati hayo yanafanyika kichwani nilikuwa nawaza "Hawa jamaa wanaweza kuwa matapeli". Sasa nikazima gari. Nikawaomba hawa jamaa wawili nishuke nikatafute pesa kwa ndugu yangu ambaye anafanya biashara hapo jirani ( kwenye kituo cha daladala cha karume). Jamaa wakakubali. Tukaongozana; nilipomkuta dada nikamsimulia tukio hili kwa kifupi, kisha nikamwambia aende pale kituo cha polisi (jirani) aulize uhalali hii operation ya maafisa wa UDART. Wale jamaa walipoona dada anaenda kituoni wakanifuata, wakasema niwape hela yoyote niliyonayo ili mambo yaishe.. tukiwa bado tunabishana mara akatoka askari mmoja namimi nikaitwa kituoni. Wale jamaa walipoona hayo wakakimbia kwa kasi. Kumbe walikuwa Matapeli tu, sio UDART wala sio askari, ni Matapeli.
Basi nikawashukuru wale askari kisha nikaondoka.
Mtaarifu na mwingine, asije akaibiwa kizembe.
Copy & Paste as received