Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay inawezekana, Ila mi kwangu hapanaBinafsi naamini miaka 23 inatosha kuoa. Kikubwa uwe stable financially.
Kuhusu huyo bwana anayejihisi bado mdogo atafute mume aolewe.
Binafsi naamini miaka 23 inatosha kuoa. Kikubwa uwe stable financially.
Kuhusu huyo bwana anayejihisi bado mdogo atafute mume aolewe.
Haya sasa ndio maneno.....yani hapa ni mwendo wa kulana tuuMsilalamike pia papuchi zikichakatwa...
Kufuri likiwa linafunguliwa na kila aina ya funguo hilo halifai au nimekosea mkuu??Msilalamike pia papuchi zikichakatwa...
Ha ha noted mkuuOa mkuu hawa hawa mafundi cherehani wauza mboga niwashamba, mpaka aje kuwa mjanja ana 40 au 45 hapo ashazaa watoto 3 sasa jifanye unataka wale wa viatu virefu uone, yaani hawa wa kitaa akija gheto haruki
I wonder piaMwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.
Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Hyo siyo ya kikatoliki haiwezi kuwa ya haraka kama hivyo.Wachunguzeni marafiki zake, kama ana marafiki vijana kama yeye na hawana ndoa hiyo ndo sababu. Pia mke wake afanyiwe training kuwa wao bado vijana hivyo ndoa iwarahisishie kufurahia ujana na si vinginevyo.
Wasijifanye wao ni watu wazima wafanye maujinga yote ya ujanani bila kuvunja sheria za nchi na kwa kiasi. Wasimsahau MUNGU pia.
Mwisho mkumbushe kuwa kama ni ndoa ya kikatoliki kuvunjika ni ngumu kama kumeza wembe bila kuchanika.
Kama si ya kikatoliki inavunjika tu. Ila awe na uhakika kuwa anataka ivunja, isiwe ni mihemuko maana kupata mwanmke wa kuoa ni rahisi ila kupata mke bora si rahisi.Hyo siyo ya kikatoliki haiwezi kuwa ya haraka kama hivyo.