Ushauri kwa mdogo wangu: Alioa akiwa na umri wa miaka 23 sasa anamkataa mkewe akidai yeye bado mdogo

Ushauri kwa mdogo wangu: Alioa akiwa na umri wa miaka 23 sasa anamkataa mkewe akidai yeye bado mdogo

Kila kukicha papuchi zinazidi kuongezeka na zinazidi kuwa tamu nioe nigundue nini sasa ...tena mapema yote hiyo na hapo bado hajakutana na wanaojua kuifinyia kwa ndani




Huyo dogo kama sio msukuma basi anatokea pwani mfano kama tanga
 
Washamba ndio choices unazopenda? Au unaoa tu ilimradi unaoa? afu mkeo umuwekee ndani kama utumbo, uanze kusumbua wake za wenzio waliovaa viatu virefu?

Ana mindset ya ajabu kabisa. Anataka kuoa mwanamke anayetawalika [emoji17][emoji848] sio anaoa mwanamke anayempenda ili wafanye maisha. Hawa ndo wanaosimanga wake zao kwa kuwa hawana alternative ya maisha. Anatafuta mwanamke masikini wa kuoa ili amsimange atakavyo ili ku feed ego yake. Pathetic
 
Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.

Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Kabisa atulie ndoani tyuuh, hakna namna
 
Washamba ndio choices unazopenda? Au unaoa tu ilimradi unaoa? afu mkeo umuwekee ndani kama utumbo, uanze kusumbua wake za wenzio waliovaa viatu virefu?
ndio ivo tangu lini wavaa viatu virefu wakawa wake za watu.
 
Back
Top Bottom