Ushauri kwa mdogo wangu: Alioa akiwa na umri wa miaka 23 sasa anamkataa mkewe akidai yeye bado mdogo

Ushauri kwa mdogo wangu: Alioa akiwa na umri wa miaka 23 sasa anamkataa mkewe akidai yeye bado mdogo

Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.

Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Usahihi wa mambo kijana anatakia aoe anapo baleghe tu. Shida malezi ya siiu hizi unakuta kijana ana miaka 25 bado hajielewi,yaani kujisimamia mwenyewe tu anashindwa,kuja kumsimamia mwanamke,kumuhudumia,kumungoza na kumtunza huwa muhali na hutokea kama ya huyu dogo.

Huyu dogo ni mjinga sana,mpaka nashindwa kutoa ushauri.
 
Huo umri sio mdogo, umri huo mzee wangu alikuwa na mtoto. Mwambie aache ujinga
 
Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera.

Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.

Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.

Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.

Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"

Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"

Huyu kijana apewe ushauri gani?
Mdogo wako hajielewi huyo wakupigwa makofi,wanatia hasira sana wadogo zetu. Muwekeni chini muelekezeni,asikwambie mtu hakuna umri mzuri wa kuoa kama umri huo na chini yake kidogo,akili inakuwa nyepesi sana.

Sisi wengine tulitamani kuoa chini ya umri huo,sema tulichelewa kidogo ila tulioa kabla ya kufikisha miaka 28. Tuna enjoy sana. Mola adumishe ndoa zetu na atupe uvumilivu.
 
Huo umri sio mdogo, umri huo mzee wangu alikuwa na mtoto. Mwambie aache ujinga
Maana ya yake alikuwa ameoa bila shaka. Hii safi sana,inaleta heshima na ishara ya mtu mwenye akili.
 
Maana ya yake alikuwa ameoa bila shaka. Hii safi sana,inaleta heshima na ishara ya mtu mwenye akili.
Mzee wangu watu wa age wake wanaumia wakati akisimama na wanawe wote wanalingana, kuoa/ olewa mapema Kuna faida nyingi kuliko kujifanya kula ujana ambayo ni kutenda dhambi
 
Mzee wangu watu wa age wake wanaumia wakati akisimama na wanawe wote wanalingana, kuoa/ olewa mapema Kuna faida nyingi kuliko kujifanya kula ujana ambayo ni kutenda dhambi
Umesema ukweli kabisa.
 
Usahihi wa mambo kijana anatakia aoe anapo baleghe tu. Shida malezi ya siiu hizi unakuta kijana ana miaka 25 bado hajielewi,yaani kujisimamia mwenyewe tu anashindwa,kuja kumsimamia mwanamke,kumuhudumia,kumungoza na kumtunza huwa muhali na hutokea kama ya huyu dogo.

Huyu dogo ni mjinga sana,mpaka nashindwa kutoa ushauri.
Ndoa ni majukumu, umri nao unazingatiwa katika kuyahimili hayo majukumu....
 
[emoji16][emoji16][emoji16].dogo kajifunga.
Najiuliza mnaokaa miaka 10 na kuendelea kwenye ndoa mnaweza vipi
Mimi sijaoa nina MWANAMKE mzuri Tu lakini nimeshamkinai.
Yaani nipo nae ila sina mapenzi kama ya mwanzo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16].dogo kajifunga.
Najiuliza mnaokaa miaka 10 na kuendelea kwenye ndoa mnaweza vipi
Mimi sijaoa nina MWANAMKE mzuri Tu lakini nimeshamkinai.
Yaani nipo nae ila sina mapenzi kama ya mwanzo.
Hujawa tayari, ukiwa tayari utaweza
 
Mchapeni vibao mwambieni ''ndoa ni zaidi ya genye''
 
nomegonga 28 lakini naona bado kabisa, uyu dogo miaka 23 kwa dunia ya sasa amewahi kuoa nini sasa? kwakua ameshavulia maji nguo sharti ayaoge uyo ni wakukaa nae chini na kuongea nae vizuri maana hakuna namna.
 
Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera.

Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.

Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.

Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.

Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"

Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"

Huyu kijana apewe ushauri gani?

Mdogo wako ni huyu? Au imetokea tu umri kufanana?
 
Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.

Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Hahahahah Huyo dogo kazingua watu tunaelekea kwenye u-senior bachelor yeye anawahi wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.

Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani

[emoji23][emoji23] Kwa kweli atakulia humo humo kwa ndoa
 
Back
Top Bottom