Usahihi wa mambo kijana anatakia aoe anapo baleghe tu. Shida malezi ya siiu hizi unakuta kijana ana miaka 25 bado hajielewi,yaani kujisimamia mwenyewe tu anashindwa,kuja kumsimamia mwanamke,kumuhudumia,kumungoza na kumtunza huwa muhali na hutokea kama ya huyu dogo.Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.
Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Mdogo wako hajielewi huyo wakupigwa makofi,wanatia hasira sana wadogo zetu. Muwekeni chini muelekezeni,asikwambie mtu hakuna umri mzuri wa kuoa kama umri huo na chini yake kidogo,akili inakuwa nyepesi sana.Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera.
Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.
Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.
Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.
Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"
Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"
Huyu kijana apewe ushauri gani?
Maana ya yake alikuwa ameoa bila shaka. Hii safi sana,inaleta heshima na ishara ya mtu mwenye akili.Huo umri sio mdogo, umri huo mzee wangu alikuwa na mtoto. Mwambie aache ujinga
Mzee wangu watu wa age wake wanaumia wakati akisimama na wanawe wote wanalingana, kuoa/ olewa mapema Kuna faida nyingi kuliko kujifanya kula ujana ambayo ni kutenda dhambiMaana ya yake alikuwa ameoa bila shaka. Hii safi sana,inaleta heshima na ishara ya mtu mwenye akili.
Umesema ukweli kabisa.Mzee wangu watu wa age wake wanaumia wakati akisimama na wanawe wote wanalingana, kuoa/ olewa mapema Kuna faida nyingi kuliko kujifanya kula ujana ambayo ni kutenda dhambi
Yeah ni nzuri sanaMzee wangu watu wa age wake wanaumia wakati akisimama na wanawe wote wanalingana, kuoa/ olewa mapema Kuna faida nyingi kuliko kujifanya kula ujana ambayo ni kutenda dhambi
Ndoa ni majukumu, umri nao unazingatiwa katika kuyahimili hayo majukumu....Usahihi wa mambo kijana anatakia aoe anapo baleghe tu. Shida malezi ya siiu hizi unakuta kijana ana miaka 25 bado hajielewi,yaani kujisimamia mwenyewe tu anashindwa,kuja kumsimamia mwanamke,kumuhudumia,kumungoza na kumtunza huwa muhali na hutokea kama ya huyu dogo.
Huyu dogo ni mjinga sana,mpaka nashindwa kutoa ushauri.
Umri gani sahihi kwa kuoa au binti kuolewa ?Ndoa ni majukumu, umri nao unazingatiwa katika kuyahimili hayo majukumu....
Kwangu mie, mawazo yangu mie...Umri gani sahihi kwa kuoa au binti kuolewa ?
Hujawa tayari, ukiwa tayari utaweza[emoji16][emoji16][emoji16].dogo kajifunga.
Najiuliza mnaokaa miaka 10 na kuendelea kwenye ndoa mnaweza vipi
Mimi sijaoa nina MWANAMKE mzuri Tu lakini nimeshamkinai.
Yaani nipo nae ila sina mapenzi kama ya mwanzo.
Okay.Kwangu mie, mawazo yangu mie...
Ke 20+
Me 30+ kama nawahi basi 28+
Mambo mengine ni kuyaacha kwenye quran ,sio kukariri kila kitu.Okay.
Mimi baada ya kubaleghe tu.
Mdogo wangu umri miaka 23,mwaka jana tu alimuomba mzee na marafiki kumuandalia harusi ili aweze kuaga ukapera.
Wazazi na marafiki wakafanya michango na kuandaa harusi kubwa tu na dogo akaoa.
Mchumba wake wamesoma naye hadi kidato cha nne shule moja na hivyo wanafahamiana kila kitu.
Miezi 6 tu imepita tangu aoe lakini cha ajabu ameanza kumkataa mke wake.
Sababu ambayo ametoa ni kuwa "YEYE NI MDOGO ,UMRI WAKE NI MDOGO ,AMEFANYA MAKOSA KUOA KWA SASA ,HATAKI HUYO MWANAMKE BADO HAJAKUA"
Tulipohitaji kujua kama alijua hivyo awali kwa nini aoe? Amejibu "HAJUI ILIKUWAJE AKAWA NA WAZO LA KUOA ,KWA KIFUPI HAJAWA TAYARI KUISHI NA MWANAMKE"
Huyu kijana apewe ushauri gani?
Hahahahah Huyo dogo kazingua watu tunaelekea kwenye u-senior bachelor yeye anawahi wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.
Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Mwanaume 23 years anaoa? Alikua anawahi nini labda... Kwakweli hiyo ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku.
Alidhani ndoa ni kufanya tu matusi! Mwambie aendelee tu na mke wake, kama anajiona bado mdogo atakulia tu humo humo ndoani
Sasa hili ndilo ulitakiwa usiliseme sababu linapingana na uhalisia na akili iliyo salama.Mambo mengine ni kuyaacha kwenye quran ,sio kukariri kila kitu.