cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Niibie na mie babuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Na tutawaibia mpaka muombe poo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niibie na mie babuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Na tutawaibia mpaka muombe poo.
Wewe sitakuibia. Tutaibiana. Ni swala la muda tu. Au huamini?Niibie na mie babuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutawaibia mpaka paouchi zenu. Nyie kaeni mkao wa kuibiwa ... acheni kualamika kama wajawazito.Michaga mijizi sana
Sasa hapo ndipo ulipokosea kipenzi. Bora ungepiga kimya. Watu wanapenda kukera tu yaniMkuu, please usinitag kwenye hizi threads, am not interested wala sihitaji haya mazoea ya ku mention watu hivi, Tafadhari sana.
Upumbavu katika level ya juu kabisa, kupotea kwa binadamu ni police case sio politics!,unajionyesha ni jinsi gani ulivyokua katili na bado unajifanya unafunga na kwenda nyumba za ibada, tunazungumzia maisha ya binadamu mwenzetu hapa na sio maisha ya mjusi" Mara ya mwisho Saanane alionekana ofisini kwa Mbowe" Said Kubenea
Police ifanye kazi yake kisheria ya kufanya upelelezi kuhusiana na kupotea kwa Mr.Saanane...ipo siku ukweli utajitokeza tuHukumu aliyopewa saanane ni ya kikatili sana.
JPM PhD yake ilikuwa ya mashaka sana. Hata body language yake ilikuwa inaonyesha kabisa kuwa tuna rais mtupu kichwani.
Kiingereza ziro, very poor English.
Sasa hiki ki bashite kiuwawe TU faster Ili iwe fundisho Kwa wengine.
Sonofobia..fobia ya kutamani kunywa damu za binadamu wenzakoFobia" Mara ya mwisho Saanane alionekana ofisini kwa Mbowe" Said Kubenea
Makosa ganiSawa! Lakini hajawahi kutokea tangu uhuru mtu aliyepiga vita madawa ya kulevya kama Makonda. Kafanya mengi mazuri mnamshupalia kwa makosa machache kwa nini?