Ushauri kwa mkuu wa mkoa wa zamani wa Dar es Salaam Paul Makonda

Ushauri kwa mkuu wa mkoa wa zamani wa Dar es Salaam Paul Makonda

Mkuu, please usinitag kwenye hizi threads, am not interested wala sihitaji haya mazoea ya ku mention watu hivi, Tafadhari sana.
Sasa hapo ndipo ulipokosea kipenzi. Bora ungepiga kimya. Watu wanapenda kukera tu yani
 
" Mara ya mwisho Saanane alionekana ofisini kwa Mbowe" Said Kubenea
Upumbavu katika level ya juu kabisa, kupotea kwa binadamu ni police case sio politics!,unajionyesha ni jinsi gani ulivyokua katili na bado unajifanya unafunga na kwenda nyumba za ibada, tunazungumzia maisha ya binadamu mwenzetu hapa na sio maisha ya mjusi
 
Hukumu aliyopewa saanane ni ya kikatili sana.

JPM PhD yake ilikuwa ya mashaka sana. Hata body language yake ilikuwa inaonyesha kabisa kuwa tuna rais mtupu kichwani.

Kiingereza ziro, very poor English.

Sasa hiki ki bashite kiuwawe TU faster Ili iwe fundisho Kwa wengine.
Police ifanye kazi yake kisheria ya kufanya upelelezi kuhusiana na kupotea kwa Mr.Saanane...ipo siku ukweli utajitokeza tu
 
Back
Top Bottom